Maisha ya mtanzania wa kawaida yamekua na mzunguko unaoelekeana sana. Anazaliwa, anakua, anasoma, anapata kazi/biashara, anaoa (anaanza kulalamika majukumu mengi ya familia, anahangaika na kipato na kumridhisha mke na watoto). Anasomesha, anazeeka, anaanza kuwategemea watoto wake.
Swali huwa...