Habari wadau.
Nimegundua wazazi wengi wakristo wa Tanzania bara wagumu sana kusapot watoto wao nje ya kulipa ada za shule na vyuo.
Hata kama wana uwezo Ukiomba mtaji hawakupi ila ukitaka kusoma mpaka phd ada italipwa.
Nina jamaa nawaona wana wazazi wapo vizuri ila hawapewi sapot za maisha kama kupewa mitaji ya biashara mapema.
Naona sana mitaani, watoto wa hizo familia zenye kauwezo anakuja kurithi mali baada ya wazaz kufariki akiwa na age ya 35 ama 40. Ndipo anaanza kuanzisha familia na yeye maana enzi za wazazi alishindwa hata kuoa alikuwa hawezi kutunza mke ama familia. Huku mali wazazi walikuwa nazo zamani na hawajamgaia hata kamtaji. Watu wa pwani na Zanzibar wanasapot sana watoto ndio maana wajukuu wanawaona mapema
Mtu una vihela why usimtoe mwanao mapema zimsaidie ukiwa upo hai mzazi
Nimegundua wazazi wengi wakristo wa Tanzania bara wagumu sana kusapot watoto wao nje ya kulipa ada za shule na vyuo.
Hata kama wana uwezo Ukiomba mtaji hawakupi ila ukitaka kusoma mpaka phd ada italipwa.
Nina jamaa nawaona wana wazazi wapo vizuri ila hawapewi sapot za maisha kama kupewa mitaji ya biashara mapema.
Naona sana mitaani, watoto wa hizo familia zenye kauwezo anakuja kurithi mali baada ya wazaz kufariki akiwa na age ya 35 ama 40. Ndipo anaanza kuanzisha familia na yeye maana enzi za wazazi alishindwa hata kuoa alikuwa hawezi kutunza mke ama familia. Huku mali wazazi walikuwa nazo zamani na hawajamgaia hata kamtaji. Watu wa pwani na Zanzibar wanasapot sana watoto ndio maana wajukuu wanawaona mapema
Mtu una vihela why usimtoe mwanao mapema zimsaidie ukiwa upo hai mzazi