bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,211
Wanabodi,
Ninachofurahi Sasa hivi, Hadi CCM Wanalia Lia kuhusu Hali ya maisha, nilidhani ni Chadema tu
Yani CCM ni wasahaulifu sana wamesahau kwamba wenyewe ndio walisema Serikali ya chama kimoja italeta maendeleo chap chap.
Wakateka watu, wakawaua, wakawapa kesi pia ili waonekane hawana sifa za kugombea na kuwa viongozi.
Mwendazake akawapitisha bila kupingwa wakataka pia kumuongezea muda wa kuongoza mpaka maisha.
Kaingia Mama, wakamsifia sana Ila leo kila mtu hasa CCM wanalalamika kuhusu ugumu wa maisha kwa Sasa.
#Suluhu ya yote
#Tumehuru ya uchaguzi
#katiba mpya
Ninachofurahi Sasa hivi, Hadi CCM Wanalia Lia kuhusu Hali ya maisha, nilidhani ni Chadema tu
Yani CCM ni wasahaulifu sana wamesahau kwamba wenyewe ndio walisema Serikali ya chama kimoja italeta maendeleo chap chap.
Wakateka watu, wakawaua, wakawapa kesi pia ili waonekane hawana sifa za kugombea na kuwa viongozi.
Mwendazake akawapitisha bila kupingwa wakataka pia kumuongezea muda wa kuongoza mpaka maisha.
Kaingia Mama, wakamsifia sana Ila leo kila mtu hasa CCM wanalalamika kuhusu ugumu wa maisha kwa Sasa.
#Suluhu ya yote
#Tumehuru ya uchaguzi
#katiba mpya