BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 422
- 1,049
Wameamua kuyachoma na kuyatupa ndani yam aji magari ya kifahari ya wanasiasa hasa kutoka familia hiyo
Watoto na ndugu wa familia hiyo wanamiliki magari ya mengi ya kifahari ikiwemo Rolls Royce, Lamborghini, Ferrari, Mclaren.
Wananchi wanalalamika hali ya maisha ni ngumu wakati familia hiyo inaishi kitajiri.
Source: Newschecker.in