magufuli

  1. G Sam

    JamiiForums Tanzania GE2020 Rais Magufuli aingilia kampeni za Tundu Lissu Kazuramimba Kigoma

    Wakati Tundu Lissu akiwa uwanjani huko Kazuramimba Kigoma amepita Rais Magufuli akasimama barabarani na kufanya mkutano karibu kabisa na alipo Tundu Lissu ambapo ameahidi kutoa milioni 10 siku chache zijazo. Kwa mujibu wa ratiba ya tume, Magufuli leo hapaswi kuwepo Kigoma kwa ajili ya kampeni...
  2. Deogratias Mutungi

    JamiiForums Tanzania Dkt. Magufuli anakubalika zaidi Kagera, mengineyo ni propaganda

    Nawasalimu wana JF. Kwa ufupi nagusia uvumi na maneno yanayosambazwa mitandaoni kuwa Mgombea wa CCM Dkt Magufuli amekataliwa Mkoani Kagera na wala hakubaliki hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu, Nawajulisha kuwa utafiti uliopo unaonyesha wazi kuwa Mgombea wa CCM anakubalika kwa asilimia...
  3. R

    JamiiForums Tanzania GE2020 Moja ya mambo mazuri aliyofanya Rais Magufuli kuhusu kodi

    Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani mwaka 2015, kodi ya majengo (property tax) iliyokuwa inatozwa kila mwaka na serikali za mitaa (LGA) kwa kila nyumba/jengo ilitegemea thamani ya nyumba. Kodi hiyo ilitozwa kwa asilimia 0.1. Hivyo watu wote wenye nyumba/majengo mijini katika maeneo...
  4. Fundi Madirisha

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kuichagua CCM ni kuchagua mateso makubwa

    Kuchagua CCM ni kuwafungia zigo la mateso makubwa Wananchi. Ni kuchagua maumivu makubwa kwa Watanzania ni lazima tuwe makini zaidi. 1. Kuchagua CCM ni kuchagua watu kuendelea kupotea bila kujua walipo, ni kuchagua watu kuendelea kupigwa risasi na wasiojulikana bila kuwajua ni kina nani. 2...
  5. Replica

    JamiiForums Tanzania KIGOMA: Rais wa Burundi, Evariste Ndaishimiye apokelewa na Rais Magufuli uwanja wa Lake Tanganyika, asema ana uhakika Dkt. Magufuli atashinda uchaguzi

    Leo Rais wa Burundi, Evarist Nditiye amewasili nchini kwa ziara ya kiserikali na anapokelewa punde na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma. 3:30 Asubuhi: Rais Magufuli ameshaingia uwanjani, kwa sasa wasanii kadhaa wanatoa burudani...
  6. kavulata

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli anajaribu kuifutia CCM dhambi zake

    Tanzania ilipata Uhuru kutoka kwa mkoloni miaka karibu miaka 60 iliyopita. Miaka 60 Ni mingi sana, inatosha kwa wananchi wote kupatiwa maji, umeme, viwanda, hospitali, shule, mabwawa ya umeme na umwagiliaji, reli, barabara kutokana na wingi wa rasilimali zilizoko nchini. Kwa miaka 60 CCM...
  7. Mathayo Fungo

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mitano ya Magufuli, Serikali imeshughulikia kero mbalimbali za wananchi

    Na Debora C. Kiyuga ✍🏽 Mitano ya Magufuli, Serikali imeshughulikia kero mbalimbali za wananchi, hususan wakulima, wavuvi, wafugaji, wafanyabiashara, wafanyakazi, wajasiliamali na bila kusahau migogoro ya ardhi. Mitano ya Magufuli, kwa upande wa wakulima, wavuvi, wafugaji na wafanyabiashara...
  8. Sami Omary Khamis

    JamiiForums Tanzania GE2020 Yaliyojiri Kutoka Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma: Kampeni za Dkt. Magufuli kusaka urais 2020-2025

    Mgombea Urais wa JMT, Dkt. John Magufuli yupo Kigoma leo Septemba 18, 2020. Updates zote zitawekwa hapa: Video: Ngoma ya kinamama wa kabila la Wabembe wa kata ya Kitongani Kigoma mjini wakitumbuiza katika Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani humo katika kunogesha mkutano wa kampeni wa JPM leo...
  9. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Mgombea Dkt. John Magufuli kuna wakati anamlaumu sana Rais John Magufuli

    Katika kpindi hiki kigumu kuna maajabu mengi sana yanaendelea kutokea. Kwa kiasi kikubwa chanzo cha maajabu yote haya ni huyu Tundu Lissu. Mfano wa maajabu ni suala la bei ya umeme. Kule Kigoma mgombea wa CCM Dkt.Magufuli amemlaumu na kumshangaa Rais Magufuli kwa kushindwa kuweka ahueni ya...
  10. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Uthubutu wake, Kukabiliana Kwake na Umakini wake dhidi ya Janga la 'CORONA' lamfanya Rais Dkt. Magufuli akubalike kama 'Malaika' nchini Uganda

    Watanzania najua baadhi yetu tunaweza ama tukawa hatujui 'Thamani' ya Rais Dkt. Magufuli au 'Umuhimu' wake Kwetu ila itoshe tu kusema kwamba pamoja na kwamba 'Kibinadamu' anaweza akawa na 'Mapungufu' yake kama niliyonayo Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ila kwa Tanzania 'Kumpata' Kiongozi kama...
  11. G Sam

    JamiiForums Tanzania Bado natafuta mantiki ya kujenga hili Daraja la Kigongo - Busisi kwa Tshs. Bilioni 700

    Hapa ndipo daraja la Tshs bilioni 700, fedha ambazo hata hazikujadiliwa na bunge zinatumika. Eneo ni Kigongo-Busisi. Kwakweli Bunge la Ndugai litajibu haya mbele za Mungu! Nawaza tu bilioni 700 Tshs ambazo ni hela nyingi sana yani hata Richmond haioni nusu yake. Kama zingetumika kwa mtu kuona...
  12. B

    JamiiForums Tanzania GE2020 Dkt. Magufuli, Oktoba atavuna alichopanda

    Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada. Kiswahili lugha ya mama zetu iliyo shehenishwa na semi mbalimbali, ama kwa hakika ni kitamu kweli kweli. Hujafa hujaumbika, utavuna ulichopanda, usitukane wakunga, usiwatukane mamba, nk nk ni baadhi ya semi hizo ambazo kwa hakika...
  13. Mystery

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hivi Rais Magufuli kuwaahidi nafasi za uteuzi akina Andrew Chenge, siyo kutonesha kidonda kwa mamilioni ya vijana wasiokuwa na Ajira?

    Tulimsikia alipokuwa kwenye mkutano wa kampeni, huko Bariadi akimuahidi Mzee Andrew Chenge, ambaye alishinda kura za maoni jimboni kwake, kuwa atampa nafasi "nzuri" ya uteuzi, miongoni ya nafasi zake nyingi za uteuzi, kwa sharti tu la kumuunga mkono mgombea "wao" wa vikao vya juu vya Central...
  14. B

    JamiiForums Tanzania GE2020 CHADEMA yaahidi kumtunza Dkt. Magufuli kama Rais Mstaafu

    17 September 2020 CHADEMA YAAHIDI KUMTUNZA RAIS JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KAMA RAIS MSTAAFU WA 5 Chama kikuu cha upinzani Tanzania, Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimeahidi kumtunza kwa vyema Rais John Pombe Joseph Magufuli kwa heshima zote baada ya uchaguzi kuisha Oktoba 2020...
  15. T

    JamiiForums Tanzania GE2020 Dkt. Magufuli: Mtu aliyethubutu kumpinga Dkt. Mpango siwezi kumteua nafasi yoyote

    Rais amesema anashangaa sana kuona mtu anajitokeza kumpinga Dkt. Mpango, kwani kwa namna Dkt. Mpango alivyosimamia uchumi vizuri, hakupaswa kupingwa na mtu yeyote. Cha ajabu ni kwamba, muda mfupi kabla ya kusema hayo mheshimiwa alisifia ukomavu wa demokrasia ndani ya CCM.
  16. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Kishindo cha Rais Magufuli katika Diplomasia na Uhusiano wa Kimataifa

    Raisi Magufuli awashangaa wanaodhani kujenga diplomasia ya mahusiano ya kimataifa ni kufanya safari za kwenda ulaya!! Raisi Magufuli atema cheche asema asema ana mialiko ila hataenda atatuma balozi yeye anajenga nchi Ninakubaliana naye Uingereza na Marekani wana mahusiano mazuri sana na nchi...
  17. E

    JamiiForums Tanzania GE2020 Sababu zinazofanya Magufuli apendwe na Watanzania wengi

    Habari ndugu zangu wana JamiiForums. Katika uzi huu nitaelezea sababu zinazofanya Magufuli apendwe na watanzania wengi zaidi. Mimi mwenyewe binafsi najikuta sana navutiwa na mwanasiasa mchapakazi Dkt Magufuli kama ilivyo kwa watanzania wengine hili hata wanasiasa wa vyama upinzani wanalijua na...
  18. S

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tulimjaribu Magufuli na CCM yake miaka mitano - Tumeangukia pua sasa tunaijaribu CHADEMA - CCM tulieni

    Tume waacheni CCM waangalie hali yao na sio mnawabeba,mnajua wananchi kwa kigezo cha uchaguzi walimchagua Magufuli fundi wa barabara mjenzi mahiri miaka mitano ya Uraisi kuwaongoza wa Tanzania inamalizika mwezi ujao,kwa kweli hakuna maendeleo na hela mfukoni imekimbia au imezidi kukimbia. Kama...
  19. VUTA-NKUVUTE

    JamiiForums Tanzania Nimejiridhisha: Wana-Kagera ni 'nshomile' kweli. Waliyoyaamua dhidi ya Dkt. Magufuli mioyoni mwao ni mazito!

    Niko ndani ya mkoa wa Kagera kwa siku tatu sasa. Nimekuwa katika tafiti 'fit' za kikampeni. Nimefuatilia pia mikutano yote ya kampeni ya mgombea wetu wa Urais wa CCM Dkt. John Pombe Magufuli Nimeingia na 'site' mbalimbali hapa Kagera. Wana-Kagera nimewakubali. Wamenidhihirishia kuwa wao wamesoma...
  20. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Dkt. Magufuli: Wasanii ni watu muhimu

    Mgombea urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema sekta ya usanii na michezo imekuwa ya tatu katika kukuza uchumi wa nchi. Amesema kuna watu wanawadhihaki au kuwadharau wasanii lakini wasanii ni watu muhimu katika kuelimisha jamii...
Back
Top Bottom