Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Baada ya kuanza kampeni za kuwania Urais katikati ya kitovu cha nchi na kwenda mikoa mbalimbali, leo mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi amerejea mjini Dodoma na kulakiwa na wananchi mbalimbali wa mkoa.
Katika furaha isiyo kifani, Dkt Magufuli amecheza wimbo wa 'Tanzania ya sasa' uliombwa na msanii Zuchu ukipongeza juhudi zake alizozifanya kama Rais na chama chake cha Mapinduzi kuibadilisha Tanzania.
Katika furaha isiyo kifani, Dkt Magufuli amecheza wimbo wa 'Tanzania ya sasa' uliombwa na msanii Zuchu ukipongeza juhudi zake alizozifanya kama Rais na chama chake cha Mapinduzi kuibadilisha Tanzania.