Fundi Madirisha
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 184
- 987
Viona mbali tulisema kwamba mzee baba kuwabana wapinzani wasifanye mikutano ni kuzuia waseme ya moyoni ili upate kujirekebisha. Ilikua ni wakati sahihi kuwaacha wazunguke kisha utathmini siasa zao majukwaani kisha uone madhaifu yao. Sasa umewaambia hakuna mikutano ya hadhara wajifungie kwenye kumbi wafanye mikutano ya ndani ambayo nayo ilikua ikipigwa marufuku.Hapa ungejua inakubalika kwa kiasi gani.
Sasa Baba yangu wapinzani wako umewawekea imewazuia kufanya mikutano, wewe unafanya ziara unazunguka nchi nzima huku wasaidizi wako wakuu wa wilaya na mikoa wakiwatia ndani masaa 48 wapinzani wako, kikweli hukupata muda wa kujipima na wa kujifunza baba, walibakia wale wanaokusudia tu kwa vile uliwapa vyeo.
Sasa CCM mmeingia kwenye kampeni mkidhani mmeshafanya kazi kubwa ya kukijenga chama na nchi kumbe watu wako kimya wanawaangalia tu. Matokeo yake sasa mnafanya siasa huku mnatekeleza ahadi ambazo mlitakuwa msifanye kipindi chote za miaka 5, huku siyo kuwadanganyia wapiga kura ni nini?
Kura hatuwapi kwa sababu ni waongo hamsemi ukweli mnatudanganya.
Sasa Baba yangu wapinzani wako umewawekea imewazuia kufanya mikutano, wewe unafanya ziara unazunguka nchi nzima huku wasaidizi wako wakuu wa wilaya na mikoa wakiwatia ndani masaa 48 wapinzani wako, kikweli hukupata muda wa kujipima na wa kujifunza baba, walibakia wale wanaokusudia tu kwa vile uliwapa vyeo.
Sasa CCM mmeingia kwenye kampeni mkidhani mmeshafanya kazi kubwa ya kukijenga chama na nchi kumbe watu wako kimya wanawaangalia tu. Matokeo yake sasa mnafanya siasa huku mnatekeleza ahadi ambazo mlitakuwa msifanye kipindi chote za miaka 5, huku siyo kuwadanganyia wapiga kura ni nini?
Kura hatuwapi kwa sababu ni waongo hamsemi ukweli mnatudanganya.