GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia, nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga, mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli
ITV Tanzania / Nipashe
Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ally na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!
ITV Tanzania / Nipashe
Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ally na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!