mafanikio

  1. Mtamba wa Panya

    Mafanikio yangu ya mwaka 2020 na mipango yangu ya 2021

    Tukutane December 2021..
  2. Millionaire Mindset

    Karibu kwenye njia ya mwendokasi kuelekea utajiri na mafanikio, huku ni spidi kali kama unaogopa basi shika

    Njia ya mwendokasi ni njia spidi kali, kuingia njia hii lazima kwanza uachane na hofu, ukihofu mara nyingi utakanyaga pedali ya breki bila sababu, na spidi yako itapungua na utapitwa na kuachwa nyuma. Njia hii ina changamoto nyingi, na ndiyo maana watu wengi wanaamua kupita kwenye njia ya mguu...
  3. Millionaire Mindset

    Tumia vigezo hivi vitano (5) kuichuja njia ya polepole na nyinginezo za kuelekea kwenye mafanikio yako na utajiri

    KIGEZO #1: MAHITAJI YA NJIA YA FOLENI Ukisikiliza swaga za watu wa njia ya foleni ni kama hizi; “Nikasomee kitu gani, kitakachonifanya nipate mshahara mkubwa?”, “Hivi ni kampuni gani nikaajiriwe, inayolipa vizuri kuliko nyingine?”, “Nikiajiriwa serikalini itakuwa poa sana, Nitakuwa na uhakika wa...
  4. Millionaire Mindset

    Tusidanganyane; njia ya foleni kuelekea kwenye mafanikio na utajiri haina “future” kwa watoto wetu wala kizazi kijacho!

    Unafikiri ninapozungumzia habari za kuondoka kwenye njia ya foleni na kuhamia mwendokasi ninazungumzia ubinafsi wako na kupenda sifa kwako? Eti umesoma, una cheo, mtaa mzima wanakujua, kampuni yote wewe ndo wewe, na una vyeti kama vyote! Ninazungumzia habari za watoto wako na mamilioni ya kizazi...
  5. Millionaire Mindset

    Usikae sana kwenye njia ya foleni katika safari ya kuelekea mafanikio au utajiri, utachelewa!

    NJIA YA FOLENI (POLE POLE NDIYO MWENDO) Njia ya foleni ni njia ya wazee wa “polepole ndiyo mwendo”, wao huamini kuwa ili kuelekea mafanikio au umilionea inakulazimu kuwa na mvumilivu sana na mwenye subira. Watu hawa wana maarifa na wengi wao wamesoma sana, kiasi kwamba wanashindwa kujichunguza...
  6. Millionaire Mindset

    Usitembee kwa mguu kuelekea kwenye utajiri au mafanikio utakwama!

    Njia ya watembea kwa mguu kuielekea safari ya mafanikio na ukwasi Watembea kwa mguu watachukua muda mrefu sana kufika mwisho wa safari yao. Umbali kati ya Mwanza mpaka Dar ni kilometa karibu 853. Kwa umbali huu, mwenda kwa miguu anaweza kutumia zaidi ya masaa 420, sawa na siku 17; yaani hapo...
  7. Jackson94

    Rafiki na adui nani anafaa katika mafanikio?

    Habari rafiki, karibu tena katika wasaa mzuri kwenye mtandao huu wa Falsafa za Mafanikio. Leo tunaenda kujifunza mtu muhimu katika mafanikio kati ya rafiki na adui. Bila shaka umeshaanza kupata picha na una majibu tayari kichwani kwako lakini naomba uungane nami ili nipate kukushirikisha kitu...
  8. Tajiri Tanzanite

    Kwanini watu ambao hawajasoma huwa wakiwa na mafanikio kidogo au zaidi wanakuwa na madharau?

    Hapo vipi? Ni utafiti ambao nimefanya muda mrefu sana...watu wengi ambao hawaja soma alafu wakapata mafanikio kidogo huwa hubikwa na dharau pamoja na kiburi. Hii nitofaauti na watu ambao wamesoma alafu wakawa na mafanikio kama wakina Bill Gate na Marehemu Reginald Memgi. Kulikuwa na majamaa...
  9. Mr simple M

    Ukweli kuhusu formula ya maisha na mafanikio

    Nimekuwa nikisikia na kusoma hoja na mijadala mbalimbali hapa JF na kwa mara great thinker wengine mbalimbali kuhusu formula ya maisha watu wakidai maisha hayana formula ni bahati tu ya mtu wengine wakidai juhudi na bidii ndio formula ya maisha na wengine wakaenda mbali zaidi na kusema maisha ni...
  10. Afrolink-Tz Consult Ltd

    MAKALA: Falsafa ya biashara ili kuleta tija na mafanikio kibiashara

    Falsafa ya biashara ni nini? Falsafa ya biashara ni seti ya kanuni, taratibu na mienendo ambayo mfanyabiashara au kampuni anaamini na hutumia kuamua jinsi ya kushughulikia maeneo tofauti ya utendaji. Falsafa ya biashara inaelezea kusudi la biashara na malengo yake. Inaweza pia kuorodhesha...
  11. H

    Msaada - Kampuni za kusafirisha mizigo kwa ndege toka China

    Habari nyote. Kama maelezo yasemavyo hapo juu naomba kufahamu kampuni za kusafirisha mizigo kwa ndege kutoka China kwa bei nafuu. Nimekuwa nikitumia Unique aircargo lakini kiukweli mizigo inatumia muda mrefu kufika. Hivyo naomba uzoefu wenu wadau wa jukwaa hili la biashara kuweza kupata njia...
  12. Analogia Malenga

    WHO : COVID-19 bado tishio licha ya mafanikio ya majaribio ya chanjo

    Tedros Adhanom Ghebreyesus Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Tedros Adhanom Ghebreyesus anasema kuna kazi kubwa inayohitajika kupambana na janga la virusi vya corona licha ya kuwepo na habari nzuri wiki hii kuhusiana na mafanikio ya majaribio ya chanjo. Akizungumza kutoka Geneva...
  13. Makirita Amani

    Leo Kampigie Kura Mtu Huyu Mmoja Na Atayabadili Kabisa Maisha Yako Kwa Miaka Mitano Ijayo

    “Miaka mitano ijayo utakuwa sawa na ulivyo leo, isipokuwa kwa watu utakaokutana nao na vitabu utakavyosoma.” ― Charlie Tremendous Jones Rafiki yangu mpendwa, Leo tarehe 28/10/2020 ni siku ya kipekee kwenye maisha ya kila Mtanzania, kwani tunapata nafasi ya kwenda kushiriki kuamua ni watu gani...
  14. Mackanackyyy

    Kutoka Mbagala, namsikiliza JK akimnadi Magufuli, JK anazungumzia mafanikio ya Serikali yake badala ya kazi za Magufuli

    Tatizo la Rushwa: Serikali ya Awamu ya 4 ndo iliona tatizo hilo ndo maana akiwa Mwenyekiti wa CCM akataka jambo hilo liingizwe kwenye Ilani ya CCM na kumkabidhi Magufuli, kwa hiyo kazi ya kupambana na Rushwa aliianza yeye Elimu bure: Mwishoni Mwa Utawala Wake kulikuwa na Mjadala Mkali...
  15. sky soldier

    Kuwakaripia vijana "Tazama wenzako mafanikio walionayo" huchangia stress, kufariki mapema na kuishia jela

    Mara nyingi kauli hizi hutoka kwa wazazi, ndugu, n.k wa muhusika ambaye mara nyingi huwa ni kijana ambaye kachoka kiuchum na mbaya zaidi kahitimu chuo maana wengi wanaomwambia hivi hudhani chuo ji muhuri wa mafanikio. Unakuta mtoto wa jirani kaja na gari kusalimia wazazi wake basi majirani...
  16. sky soldier

    Vijana Ujasiriamali sio Muhuri wa utajiri: Mafanikio yake hayana utofauti na ya mwajiriwa, mkulima, mwanasiasa, mwanamuziki au Mcheza mpira

    Nimecopy na kuileta humu Naomba unisikilize na unielewe vzr sana. Ujasiriamali/biashara ni career sijui nisemaje ulielewe, yani ni lifestyle km ilivyo kuwa mwajiriwa au mkulima au mwanasiasa au mwanamuziki Sio waajiriwa wote wataishia kuwa CEO ktk kampuni kubwa km Vodacom, TBL au Delloite...
  17. M

    Tujikumbushe: Waziri Magufuli alipotoa waraka wa mafanikio ya Rais Kikwete kwenye mambo ya ujenzi kuanzia mwaka 2005 hadi 2015

    Mwaka 2015 aliyekuwa Waziri wa Ujenzi , ambaye leo ni Rais wa Tanzania ndugu Magufuli, alitoa waraka wa mafanikio ya ya serikali ya awamu ya Nne ya ndugu Jakaya Kikwete, katika mafanikio hayo aliorodhesha mamiradi mengi mengi tu yaliyofanywa na serikali ya Mzee Kikwete. Sasa najiuliza kama...
  18. Yoyo Zhou

    Shenzhen: Alama ya mafanikio ya sera ya mageuzi na ufunguaji mlango nchini China

    Miaka 40 baada ya kuanzishwa kama eneo maalum la kwanza la Ukanda wa Kiuchumi nchini China, Shenzhen imeibuka na kuwa alama ya mageuzi na ufunguaji mlango wa China. Mji huo umebadilika kutoka kijiji cha uvuvi na kuwa mji mkubwa wa viwanda na fedha. Utafiti uliofanywa na Program ya Makazi ya...
  19. Sami Omary Khamis

    GE2020 Chagua CCM 28 Oktoba 2020

    Ni uchaguzi rahisi kwa CCM, uchaguzi mwepesi kuwahi kutokea katika historia ya nchi hii. Ni uchaguzi wa mafanikio ya CCM dhidi ya ahadi za Wapinzani. CCM inakwenda ktk uchaguzi huu kuonesha mafanikio iliyoyafanya kwa miaka mitano iliyopita (ambayo kimsingi ni mengi) wakati wapinzani wanakwenda...
  20. K

    GE2020 Serikali yaanza kuprint vipeperushi vya mafanikio ya Awamu ya Tano, tuvisome?

    Nimeona vipeperushi vinaelezea mafanikio ya awamu ya tano. Vipeperushi hivi vinakuja baada ya joto la uchaguzi kuwa kali na kuonekana ngoma si kama tulivyoivalia kibwebwe. Ushauri: CCM achaneni na mliyofanya, jikiteni kuwaeleza wananchi mtakayofanya. TBC kwa miaka mitano imekuwa inatueleza...
Back
Top Bottom