madereva

  1. SN.BARRY

    Ajira 80 za madereva - Galco Limited

    Madereva ajira hizo. Pelekeni barua ofisini. Usitoe rushwa kupata ajira.
  2. Kiume3000

    Kwanini madereva wa mabasi ya mikoa wanasimamisha gari za abiria hotel za bei mbaya?

    Serikali yetu hembu tusaidieni sisi wanyonge na hii tabia ya madereva inazidi shamiri sna kwa wale ndugu zetu wanao safiri mikoa ya mbali #Dar_to_mwnza, #Dar_to_mbya, #Dar_to_kgma, #Dar_to_Arusha kuna tabia na utaratibu wa mabasi walio jiwekea bila kuhofia abiria wao na sio rafiki kabisa...
  3. D

    Kwanini kozi fupi za madereva NIT ni gharama sana?

    Kama kichwa cha habari kinavyo eleza hapo juu! Hivi hiki chuo si serikali jaman? Kozi ya mwezi mmoja laki nne. Wanyonge wanasaidiwaje maana wengi hawana uwezo huo wa kumudu hzo gharama.
  4. M

    Kwanini madereva wa Uber, Bolt ni walalamishi?

    Sipandagi mara nyingi Kwa ajili ya uchumi lakini mara zote nikipanda dereva atalalamika mwanzo Hadi mwisho wa safari mara tajiri yuko nje Hana gari anapata hela ya bure mara anatukata asilimia 25, mara siku hizi hakuna bonus hivi ukijiunga huwezi kutoka kama Freemason?. Mnateseka kuzima data...
  5. Kingsharon92

    Kwenu madereva na wamiliki wa vyombo vya moto njooni tusemezane hapa

    Natumai wote my wazima. Poleni na majukumu ya kusaka ngohora. Moja kwa moja niende kwenye hoja. Kwa muda mrefu madereva tulip wengi pia wamiliki wa vyombo vya usafiri magari pikipiki Bajaj. Tumekuwa na lawama Sana kwa vyombo vya Dola haswa Traffik na polisi. Kwa unyanyasaji wao kwa sisi madereva...
  6. J

    Mbunge wa Dodoma Mjini, Mavunde akabidhi sare kwa kituo cha madereva taksi wa Uwanja wa Ndege Dodoma

    Mbunge wa Dodoma Mjini Mhe Mavunde Leo amekabidhi sare kwa kituo cha madereva taksi wa Uwanja wa Ndege Dodoma ikiwa ni sehemu ya kuboresha huduma ya usafirishaji Jijini Dodoma. "Nimekabidhi sare hizo leo kwa madereva taksi 30 zenye thamani ya Tsh 1,500,000 katika eneo la Uwanja wa Ndege kwa...
  7. Zionist

    Kwa madereva: Tuliowahi kutokewa na mauzauza barabarani tupeane uzoefu

    Habari wana JF, Nimekua nikisikia kwamba barabarani Kuna vitimbwi vya mauza uza nikawa siamini, sasa ni juzi nilikua natoka Arusha kuelekea Kibaha. Nilifika sehemu jina silifahamu, ni kijiji baada ya kutoka Mombo. Ni kwamba nikiwa kwenye mwendo alitokea mtu upande wa kushoto akawa anaingia...
  8. PureView zeiss

    Ushauri wa bure: Madereva wa private cars tembeeni usiku kama unafanya Safari ndefu

    Imekuwa desturi na mazoea kwa madereva wengi wanaoendesha magari yao binafsi kufanya safari zao ndefu muda wa mchana ingawa ni jambo jema ila kwa mtazamo wangu mimi naona ni shida na usumbufu mwingi njiani. Naongea hivyo kwasababu ndani ya mwezi Machi nilifanya safari ndefu ya kwenda Mwanza na...
  9. I

    Madereva mwendokasi hebu jaribuni kuwa waungwana

    Tukiwa tunasubiri gari ya Kivukoni stendi ya Kimara terminal leo Ijumaa Mida hii saa 7:50. limekuja gari la Kivukoni Express likasimama sehemu ya mabasi ya gerezani badala ya sehemu yake ya kivukoni. Abiria tukakimbilia kutaka kupanda cha ajabu baada ya idadi ndogo ya watu kupanda na abiria...
  10. R

    Waziri Kitila Mkumbo: Mgomo wa madereva wa kiwanda cha Dangote umeisha, uongozi umekubali kuwalipa stahiki zao

    Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo, jana amekutana na kufanya mazungumzo na Madereva takribani 500 wa Kiwanda cha Dangote Mkoani Mtwara, waliokuwa wamegoma kwa siku 12, baada ya majadiliano Uongozi wa Kiwanda hicho umekubali kuwalipa stahiki zao ikiwemo mishahara na kuahidi...
  11. Tony254

    Tanzania imezuia madereva wa Kenya kuingia nchini humo

    Tanzania imeanzisha tena vita vya kiuchumi kama kawaida yao. Tanzania imezuia madereva wa Kenya kuingia nchini humo bila kutoa sababu zozote za kimsingi. Naona bado mnataka vita hamjatosheka. Mkimwaga mboga sisi tutamwaga ugali.
  12. kyagata

    Madereva wa mabasi ya Kanda ya Ziwa kuelekea Dar acheni ligi barabarani

    Tumetoka hapa Nyegezi Stand muda si mrefu. Aisee, haya mabasi yanakimbizwa hatari. Naona kuna ligi flani inafanywa barabarani. RTO wa mikoa husika chukueni hatua.
  13. J

    Spika Ndugai aahirisha Bunge na kuwataka Wabunge kuzingatia masharti ya Serikali kuhusu afya zao pia madereva wao wasikimbie hovyo

    Spika wa bunge Mh. Ndugai ameahirisha vikao vya bunge hadi watakapokutana tena kwenye mkutano wa vikao vya bajeti mwezi March, 30. Spika amewataka wabunge kuchukua tahadhari ya afya zao kulingana na miongozo inayotolewa na wizara ya afya kadhalika amewataka wabunge na madereva wao wawe makini...
  14. moneymakerman

    Changamoto za madereva na abiria wa Uber na Bolt. Tupia yako

    Habari za leo wanajamvii, natumai wote mko salama. Kuna vituko na visa vingi tunapitia kama abiria na madereva wa taxi mtandao yaani huduma za uber, bolt na nyinginezo. Hebu tutoeni ushuhuda wa matukio mbali mbali yaliyowahi kutupata na kutufurahisha ama kutukasorisha. Hii ilitokea kama dereva...
  15. The Palm Tree

    Kwa Waziri wa Mambo ya ndani, RPC & RTO Mwanza: Kwanini vijana wenu (Traffic Police) wanatubambakia faini madereva bila kujua..?

    Hii siyo haki na kamwe siyo halali hata kidogo. Sisemi kwamba madereva hawafanyi makosa ya usalama barabarani, yanafanyika lakini hata hivyo siku hizi kwa kiasi kikubwa madereva wengi wanajitahidi kuwa makini. Hili hata mimi nakubali. Hii haijaja hivihivi bali ni kwa sababu idara ya Polisi -...
  16. Ack

    Madereva wa mijini hasa Dar (kwenye lami) vs madereva wa mikoani (rough road )

    Kuna watu hujiita ni madereva na wapo hapa mjini kweli kwa mjini wanatesa sana na wanaendesha vizuri na control wanayo, Lakini ukija kwenye madereva wa mikoani hasa wale wanaotumia barabara za rough kiukweli wana uzoefu mkubwa mno i mean next level, hii n kutokana na changamoto wanazokutana...
  17. goukun wadey

    Kwanini baadhi ya madereva na makondakta wa daladala ni wachafu?

    Tanzania na hasa Dar es Salaam, kuna uchafu wa kutisha ambao hautajiki kabisa sijajua kwa nini, ni mazoea au hauonekani, sio rahisi kusikia utajwe na watu serikalini, binafsi, mashirika, wala viongozi wa umma. Nakumbuka usafi wa Jumamosi ulivyozingatiwa lakini huu wa makondakta na daladala zao...
  18. Kamarada

    Madereva wanaoendesha magari aina ya Subaru na Alteza

    UMOFIA KWENU! Uzi huu ni maalum kwa ajili ya kupata maoni au mtizamo wa jamii kwa namna inavyowachukulia madereva wanoendesha magari aina ya SUBARU na ALTEZA hapa Tz. Kwa kuanzia, mimi binafsi nawaona wengi wao kuwa ni: 1 - Vijana wa kiume 2 - Wanaendesha kwa 'rafu' sana. 3 - Over...
  19. Juakali jr

    Madereva tuache tabia hizi

    madereva wa siku hizi wamekua wakuda sana yani hadi kero. Ngoja kwanza tutambue ukuda ni upi. 1. Upo barabara kuu hamna matuta wala kizuizi chochote lakini wewe unaamua kuendesha 30 kmph (sio kosa), nyuma yako kuna gari linataka kuovertake lakini haliwezi sababu upande wa pili upo busy, pale...
  20. Samia atosha tukutane2030

    Madereva wa Serikali ndio wanufaika wakubwa wa zoezi la Serikali kuhamia Dodoma

    Dodoma sasa ni HQ ya Serikali hii ya JMT. Sijabahatika kuona umuhimu wa moja kwa moja kwa wananchi tangu Dodoma iwe makao makuu. Tuje kwenye point, madereva wa wizara mbalimbali na taasisi mbalimbali zilizohama Dar na kuhamia Dodoma ndio wanufaika wakubwa wa zoezi hili. Ukizingatia mishahara...
Back
Top Bottom