macho

  1. R

    JamiiForums Tanzania Kitaalamu, chura aweza tumia macho ya tai?

    Salaam! Ikiwa msaidizi mwenye macho ya tai ameona umuhimu wa chura kupewa macho ya tai Ili kuona sawa sawa, Kitaalamu hili linawezekana? Karibuni 🙏
  2. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Wenye Makanisa kama Mwamposa muwe macho na sadaka zenu

    KIJANA ANASWA AKIBA SADAKA KANISANI KWA KUTUMIA GUNDI KWENYE KIJITI JIJINI NAIROBI Mtaa wa Githurai 45 ulijaa kicheko na mshangao baada ya kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la ‘Kevo’ kunaswa akitekeleza wizi wa aina yake ndani ya kanisa la mtaa huo. Kevo, ambaye mara nyingi huonekana akiwa wa...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Msaada please, CCBRT wanakubali bima ya Macho NHIF?

    Nisaidie kujua kama CCBRT wanakubali NHIF ( bima ya afya ya Taifa serikali) kwa matibabu ya macho? ASANTE
  4. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanayoendelea kama movie vile kwa mkapa kha haya mashindano yangu macho

    Hii mipira sio ya kuendekeza sana unaweza shangaa Pressure shinikizo la damu gafla limekuzamia kumwilii Naangalia yanayoendelea huko taifa kwa mkapa Sina hamu
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna Shortcut: Hii ndiyo nguzo ya maendeleo inayofanya Rwanda kuendelea kwa kasi kubwa na muda sio mrefu kuiacha Tanzania

    Mods please msihamishe wala kujoin Hakuna Shortcut, Maendeleo yanahitaji nidhamu.
  6. Fbn

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabraza zenu hapa JF kwa vijana wa kiume kama vipato vyenu vya kusuasua achana na wanawake ambao kila mwanaume anatoa macho

    Ukweli mchungu ila ndo hivyo tena. Kama kijana wa kiume unataka kujitafuta na kuepuka mengine.Mwanamke mwenye muonekano wa mbele za wanaume ogopa sana. Leo jumapili dogo wa maviatu yale yenye masoli makubwa mdogo wake na mke wangu amekuja kunilalamikia kachukuliwa mpezi wake na bosi ambaye...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mohammed said ametufumbua macho watanzania

    Amefumbua macho kuhusu wanaharakati wa mwanzo Kabla ya maandishi yake: Majina kama Abdulwahid Sykes, Ally Kleist Sykes, na African Association yalikuwa hayajulikani kwa umma Historia ya uhuru ilianza, kwa vitabu vingi, karibu na kuanzishwa kwa TANU (1954) Kupitia tafiti na nyaraka, Mohamed Said...
  8. G

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Vijana ni changa la macho kwa vijana

    Moja ya wizara za kwanza kabisa kuundwa mara baada ya Tanganyika kupata uhuru ni ya vijana, iiitwa "wizara ya utamaduni wa taifa na vijana" (ministry of national culture and youth). Waziri wa wizara hiyo aliitwa Leo Nang'wanda Sijaona akitokea huko huko kwa akina Nanauka. Lakini Leo Nang'wanda...
  9. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa msasani macho

    Habari maboss Nyumba inauzwa Msasani karibu na kituo cha standi ya daladala. Kituo kinautwa macho bila Shaka ni standi maarufu sana msasani. Nyumba inaangalia barabara ya Lami. Kiwanja cha nyumba ni skwata. Hakuna mgogoro wowote Bei ni milion 500 Kwa maongezi ya Bei utaongea na wenye...
  10. jamaikatz

    JamiiForums Tanzania Ni kitu wahenga hawaamini macho yao mpaka sasa

    Ni kitu wahenga hawaamini macho yao mpaka sasa Kwa ile misemo yao waliyo itunga.
  11. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Kwa macho ya kawaida utaona ni haki inagombaniwa, ila kwa taarifa za uhakika kinachopikwa ni Tanzania kuwa Congo ya pili

    CCM imekuwa chama imara sana katika kupigania nchi hii, toka 1961 msimamo wake haujawahi kupinda kutetea maslahi ya wananchi wake, kwa nje utaona ni vita ya kugombania haki ila kuna watu waliisubiri sana hii siku waonyeshe rangi zao halisi, Kinachoendelea ni vita kubwa ya kiuchumi...
  12. Tajiri wa kinyankole

    JamiiForums Tanzania Nawakumbusha viongozi wa Vyombo vya Dola: Utekaji unaoendelea baada ya kiini macho cha uchaguzi siyo afya kwa jamii, mnachochea moto

    Mimi najiuliza hivi ni kweli IGP wambura hana washauli wazuri wakumshauli namna bora ya utendaji kazi wa jeshi la polisi katika kutekeleza majukumu yake zaidi ya haya mambo yanayoendele ya utekaji baada ya kiini macho cha uchaguzi yaliyofanyika october29. ? Hawa viongozi hawajui kama kuendelea...
  13. TODAYS

    JamiiForums Tanzania DODOMA: Kama Kuna Mdau Muda Huu Upo Macho

    Usingizi umepotea ukiwa Dodoma basi tuambie kinachoendelea toka saa 23hrs hadi muda huu?. Nimepita hapo naelekea Singida nyuma nasikia kimewaka kwenye baadhi ya mitaa, kuwa njugo zina rushwa ovyo!. Je, ni kweli ?.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ni mimi pekee au wenye macho mmeng'amua

    Mbona kama Samia ameapishwa na Gwaride lenye mapungufu ya kimamlaka. Pia hawa Askari wa Gwaride walilazimishwa au ilikuwaje? CCM msipuuzie hili, nchi iko chini ya Jeshi now, wamemnyima mamlaka yake kwa mkakati maalumu, ili wamtoe wakitaka... CCM jisafisheni haraka kabla jeshi halijawafuta...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kutokupinga wauaji na watekaji ni kushiriki nao utekaji na mauaji. Tena kheri wauaji na watekaji kuliko wanaonyamazia maovu

    Hamjambo! 1. Nilikuwa nimetoka leo kwenda mjini. Njiani ya gari ikatokea mjadala kuhusu maandamano. 2. Wengi walionyesha kuyaunga mkono lakini walikiri wanawoga hivyo hawatashiriki. 3. Mama mmoja jirani yangu akasema, aache kufanya mambo yake aandamane. Akaongeza wanaoandamana hawana kazi za...
  16. Logikos

    JamiiForums Tanzania Siasa Mamboleo: Macho yanapojaribu Kudanganya Akili (Ufahamu)

    Katika kukumbushana hapo kabla nilisema haya..... https://www.jamiiforums.com/threads/siasa-mamboleo-mdomo-unapojaribu-kulidanganya-sikio.2123568/ Lakini sasa naona kuna mengine ya kushangaza; tunafuja mali ili kwa macho tuonekane tupo vizuri kuliko uhalisia.... Wakati hatuna ambulance za...
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Polepole alikuwa akiishi na wasaidizi wawili lakini wakati anatekwa hawakuwepo, muda wote alikuwa nchini

    Hii ndio update ndogo niliiyoweza kuipata toka kwa wanafamilia wa Polepole
  18. Tanzania Nchi Yetu Sote

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM na ahadi za kiini macho

    Kilichoshindikana siku 1000 kitawezekana siku 100?
  19. Mashamba Makubwa Nalima

    JamiiForums Tanzania GE2025 Uteuzi Mkuu 2025 Tumeukwepa, Asante Lissu kwa kutufungua macho, Asanteni pia mliomchagua mwenyekiti

    Haikuwa rahisi kuyakwepa haya maigizo. Asanteni sana.
  20. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Afrobarometer: Demokrasia iko kwenye macho ya anayetazama

    Katika hali ya kustaajabisha African Media Barometer imefanya survey inayoonesha kuwa watz wanaamini wana demokrasia. Kutokana na uhalisia wanasema kweli demokrasia iko kwenye macho ya anayetazama. Yaani demokrasia sio tena suala la kufuatwa kwa principles bali ni namna mtu anavyoona inafaa...
Back
Top Bottom