Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 13,216
- 20,548
Jaji Chande, Jaji Ibrahim Juma, Jaji Mwambegele na Jaji Francis Mutungi.
Hawa ndiyo Majaji walioshusha hadhi ya mahakama hapa Tanzania. Hawa ni Majaji macho kumchuzi. Hawa ndiyo wamewafedhehesha Majaji na mahakimu wote Tanzania. Majaji hawa wameonyesha kujali sana matumbo yao kuliko taaluma yao. Haki kwao si lo lote wala cho chote bali manufaa kwa familia zao.
Majaji zamani walikuwa wakiheshimiwa sana na raia wote kuwa ni watu wa HAKI BIN HAKI, wanajali utu wa mtu na si fedha na watu wenye misimamo isiyo yumba.
Kwa Watanzania hivi sasa wanawaona Majaji kama watu wa hovyo sana, mafisadi na waroho wa mali za dhuluma.
Hakika Majaji macho kumchuzi wamenajisi mahakama ya Tanzania!
Hawa ndiyo Majaji walioshusha hadhi ya mahakama hapa Tanzania. Hawa ni Majaji macho kumchuzi. Hawa ndiyo wamewafedhehesha Majaji na mahakimu wote Tanzania. Majaji hawa wameonyesha kujali sana matumbo yao kuliko taaluma yao. Haki kwao si lo lote wala cho chote bali manufaa kwa familia zao.
Majaji zamani walikuwa wakiheshimiwa sana na raia wote kuwa ni watu wa HAKI BIN HAKI, wanajali utu wa mtu na si fedha na watu wenye misimamo isiyo yumba.
Kwa Watanzania hivi sasa wanawaona Majaji kama watu wa hovyo sana, mafisadi na waroho wa mali za dhuluma.
Hakika Majaji macho kumchuzi wamenajisi mahakama ya Tanzania!