Sema nwanamke anatakiwq aolewe akiwa na umri gani?Mtu anatakiwa aolewe akiwa na umri gani?
😅 hakuna mambo mengi,Fungua PM
Kabisa kaka inakuwaje anakuwa mpweke😅 hakuna mambo mengi,
Raha ya ngoma uingie mwenyewe uicheze!Tuliza komwe dada,upweke Wa ndoani ni mbaya kuliko Wa ubachera!
Ukipata asiye sahihi utaumia, ila ndoa ni tamu ukipata mtu sahihi.Tuliza komwe dada,upweke Wa ndoani ni mbaya kuliko Wa ubachera!
Uyo mtu sahihi anafananaje?Ukipata asiye sahihi utaumia, ila ndoa ni tamu ukipata mtu sahihi.
Hakuna umri maalum kwa kuolewa hasa katika dunia ya leo. Kna watu wanachagua kutoolewa kabisa. Na kuna wengine chini ya miaka 18. Nasema hivi kwa sababu unapoweka kigezo cha umri unakuwa unatengeneza tension kwa dada zetu hasa wakiona muda unaenda. Ukinibana sana niseme makadirio bila kujali niliyoelezea, nitasema kuanzia 25 years mpaka 35 years ni sahihi kwa mwanamke kuingia kwenye ndoa.Mtu anatakiwa aolewe akiwa na umri gani?
Ana akili timamu za kuweza ishi kwa akiliUyo mtu sahihi anafananaje?
Na ww wakiume unataka kuolewa ili ukafanye nn kwenye io ndoaMtu anatakiwa aolewe akiwa na umri gani?