life

  1. BabaMorgan

    Wenzetu mnawezaje kuishi decent life?

    Unakuta kijana mdogo full of potential ana harakati zake ana mke na watoto jumamosi asubuhi anaenda jumuiya jumapili yupo kanisani pengine unakuta kanisani ana kacheo kidogo kama ni muislamu anashiriki ibada kila mara. Hatumii kilevi chochote sio sigara, bangi, mirungi wala hajui ladha aina...
  2. Stability

    Watu mliozaliwa 1985-1995, how is life?

    Mishe mishe, mitikasi, mapambano, maono, mafanikio, matatizo, matarajio, mafundisho?.
  3. Mr Beach Boy

    Dah, life is not fai. Wale washikaji ambao walikuwa hawana akili kichwani tukiwa darasani Leo wanamaisha mazuri

    Wale washikaji ambao walikuwa hawana akili kichwani tukiwa darasani Leo hii wanakazi zao za maana na biashara za kutisha. Sisi ambao darasani tulikuwa na akili na morality ya kufatuta maisha lakini mpaka Leo maisha hatuna ajira hatuna. Kila siku tunaona watu wapo kwenye magari makali nyumba...
  4. The Palm Beach

    Newton 3rd law of motion: "For every reaction there is an equal and opposite re-action". How this is applicable in our daily life?

    Newton 3rd law of motion iko very clear kusema "......for every action there is an equal and opposite re-action...." Kwa ufafanuzi rahisi kwa Kiingereza hichohicho, maana yake ni kuwa👇; "......for every force or beating or torture or kindness etc exerted on one object or person, there is an...
  5. Bueno

    Fast life, fast cars, ain't no slowing down

    [Hook - The Cataracs] [x2] I bet you think cause you saw me on the TV That you know my whole life story Let me tell you something you might not know Forget what you're talking bout, chick I get doe [x3] I get doe I get doe I get doe, I get doe, I get doe Bitch I get doe [Verse 1 - Glasses...
  6. GoldDhahabu

    Silver Cord of life ni nini?

    Nilishawahi kukutana na huo msamiati humu JF. Lilihusushwa na utokaji nje ya mwili. Leo nimekutana nao kwenye Biblia! "Yes, remember your Creator now while you are young, before the silver Cord of life snaps and the golden bowl is broken. Don't wait until the water jar is smashed at the spring...
  7. Hharyson

    🏡 Build Your Dream Home with a Reliable Partner! Looking for a trustworthy construction company to bring your vision to life?

    🏡 Build Your Dream Home with a Reliable Partner! Looking for a trustworthy construction company to bring your vision to life? Mkuzibuilders is here for you — reliable, professional, and committed to quality. 📍 Visit us: Sinza, Dar es Salaam 📞 Call us today: +255 624 004 6
  8. K

    Nimerudi kufanya kazi yangu ya mgambo.

    Nina kabachelor kangu,lkn nimekula za uso utumishi,tra na gbt. Sasa nimewahi kupitia mafunzo ya mgambo na kutunukiwa cheti. Nimeamua nijitose tu kwenda kuwa mlinzi,kwa kuanzia leo nimepata mchongo wa kwenda kukamata wahalifu flani wanaotuhumiwa na jamii kuwa wanauza bangi na kusumbua wananchi...
  9. DR HAYA LAND

    Life is short trip

    Iife is short trip Time flies but flies with people
  10. Sema kama nenga

    Priceless human life is wasted in sexual indulgence but sexual desires are never satiated

    One of the disciples of Socrates asked his teacher,"my venerable master kindly, instruct me how many times a house-holder can have copulation with his legal wife?" Socrates replied, "only once in his life time" The disciple said, oh my lord! this is absolutely impossible for worldly men. pray...
  11. britanicca

    That man ought to be serving a life sentence-rightfully held accountable for his central role in planning and executing crimes

    Rather than enjoying impunity, Mafwele ought to be serving a life sentence-rightfully held accountable for his central role in planning and executing crimes against humanity. The magnitude of his actions demands not just national condemnation but int'l judicial intervention. Britanicca
  12. The Palm Beach

    This is a fact of life: Maisha ni fumbo gumu. Ishi leo yako ukiwa hapo, ipo kesho utakuwa mahali pengine. Amri moja nawaachia - Pendaneni..!!

    PICHA HII ILIPGWA JANUARI MWAKA 2010. UNAIKUMBUKA...? Wa kwanza kulia (waliokaa) ni Prof.Idris Mtulia, aliyekua Mbunge wa Rufiji. Anayemfuatia ni Prof.Mark Mwandosya wakati huo akiwa Waziri wa maji na umwagiliaji. Anayemfuatia ni aliyekua mkuu wa wilaya hiyo Bw.Kassim Majaliwa...
  13. N'yadikwa

    Wasomi Eleweni: Life Rewards Action, Not Intelligence

    Katika jamii nyingi, hasa zile zenye utamaduni wa kuheshimu elimu na shahada, wasomi mara nyingi huamini kuwa akili na maarifa yao ndiyo msingi wa mafanikio. Wamejifunza kwa bidii, wakapata vyeti, na sasa wanahisi maisha yanapaswa kuwazawadia kwa sababu ya "kujua zaidi." Lakini ukweli wa maisha...
  14. Nyafwili

    Enai Na Abes Life

    Sasa Enai anarudi duniani kama binadamu tena, akiwa na jukumu moja kuu la kukusanya vipande 7 vya roho yake kabla ya siku 50 kuisha. . Kijana anayeitwa Enai anafariki ghafla. Kabla ya kuenda moja kwa moja peponi au kuzimu, anakwama katika hali iitwayo "Abes Life" – sehemu ya mpito ambapo roho...
  15. Leejay49

    Hivi ni kweli watu huwa mnapitia changamoto na mkishazikabiri huwa kuna mafunzo mnapata na hamfanyi tena hayo makosa?

    Habari za usiku wakuu,. Husika na mada tajwa hapo juu Hivi ni kweli watu huwa mnapitia changamoto na mkishazikabiri huwa kuna mafunzo mnapata na hamfanyi tena hayo makosa??, au labda yanaweza kurudia kwa namna nyingine na kwa kutumia uzoefu mnayaepuka au hamyarudii kabisa?? Mie nadhani kwangu...
  16. Prof_Adventure_guide

    Vijana Jikomboeni! Msikubali Kuishia Mtaani – Njooni Nifungue Akili Zenu, Life Haikosi Hope!

    Listen up vijana! Msisoteseke bure mitaani mkijiona kama dunia imewageuka – it's time to wake up and boss up. I’m here to open your minds na siyo kwa dharau au kujifanya najua, but kwa sababu I feel your pain. Najua hali ya nchi ilivyo, najua pressure iko juu, but trust me, kuna njia ya kutoka...
  17. Prof_Adventure_guide

    Siasa hazitulipi, life is real out here!

    Yaani bro, let’s keep it 100—sio kwamba hatujui kinachoendelea kwenye hii nchi, au hatujali siasa… we know everything, tupo macho, but truth be told hatuna muda na hizo stress. Life yenyewe ni ngumu kinoma, tunaibeba kichwani daily, halafu unataka tuongeze na stress za siasa juu? Hell no bro...
  18. Mwl.RCT

    Marriage Confession: I Became the 'Other Woman' in My Own Life

    Marriage Confession: I Became the 'Other Woman' in My Own Life https://www.youtube.com/watch?v=DAYVqZDbFkw I Used to Judge Wives Like You, Until I Realized I Was Talking About Myself There's something I need to get off my chest, something I've never really said out loud, not like this. It’s...
  19. Elton Tonny

    Simulizi - Dosari (a life full of flaws)

    DOSARI A Story by Elton Tonny Familia, Urafiki, Mapenzi, Kazi, Siri, Tamaa, Hila, Usaliti, Uhalifu, Ukatili, Mauaji, Mambo Yasiyotazamiwa R-rated 18+ Enjoy! ★★★★★★★★★★★★★ SEHEMU YA KWANZA ★★★★★★★★★★★★★ Ni usiku wa saa tatu ndani ya hospitali moja ya mtaa, ambapo kuna watu wengi hapa...
  20. Last_Joker

    Watu Wanaopost Maisha ya Kifahari: Motivational au Ushawishi wa Kujichukia? 🤑📱

    Unawahi kufungua Instagram asubuhi tu, bado upo kitandani, halafu kitu cha kwanza unakutana nacho ni mtu kaweka picha ya breakfast ya kifahari – croissant, avocado toast, na kahawa ya Starbucks… huku wewe unatafuna mkate wa jana na chai ya majani? 😅 Kila siku timeline inajaa na watu wanaoishi...
Back
Top Bottom