life

  1. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Best life Advice from elderly people

    Whose advice was your favorite?
  2. Atlast nimempata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Binti! Jioneshe kwa uhalisia wako! Be natural! Don't fake life! Utaishia kwa fake guys!

    Leo kama zilivyo siku nyingi natumiaga pia usafiri wa umma. Leo nikapanda daladala za mlandizi wakati mimi natelemkia katikati kabla ya kufika mpaka wa Dar na Kibaha. Si unajua kwa mtu anayejielewa kubana matumizi?😏 Pale nilipopanda Mbezi mwisho, alipanda mdada mmoja umri wake yuko chini ya 20...
  3. Terrible Teen

    JamiiForums Tanzania Special Branch, Naomba Mfanye Life Style Audit ya Mawaziri Wafuatao na Kisha Mmpe Report Mheshimiwa Rais

    Kwa kuzingatia masuala kadhaa aliyozungumza Ndugu Pole Pole hasa suala la inefficiency in Government na hasa hoja kuwa nyumba haina mwenyewe. Naomba Special Branch inajijua ifanye special life style audit ya mawaziri wafuatao kwa kuangalia na kazi walizopewa na kisha wamkabidhi Mhe. Rais. 1...
  4. Kimbesa11

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuendelea kuishi na mwanamke ambaye anazaa nje ya ndoa akiwa ndani ya ndoa ni kujipunguzia life expectancy kwa mwanaume

    Nashangaa huko Instagram mwanamke anajitapa kuzaa inje ya ndoa watoto watatu halafu ndani ya ndoa mtoto mmoja Nini hiki wakuu mbona hatari sana. Najiuliza inakuwaje wanaume uendelee kuishi na mwanamke ambaye amezaa inje ya ndoa watoto wote hao au ni limbwata hilo Nini 🤣🤣🤣, Tatizo SS wanaume...
  5. Moto wa volcano

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume hata life likipiga u-turn usikubali kukaa kwa mwanamke

    Ushauri wangu kwa wanaume: hata maisha yakuchapa vipi, usikubali kukaa kwenye nyumba ya mwanamke wako Hata kama anakupenda kwa dhati, ipo siku utakumbushwa kuwa si kwako Jitahidi ujipange, hata kwa kidogo, ili ujenge heshima yako na nafasi yako kama mwanaume Mwanaume anatakiwa kuwa kichwa cha...
  6. No Escape

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi. Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua...
  7. C

    JamiiForums Tanzania Yamkini Wabunge wa hovyo hovyo watapitishwa ili waingie bungeni kuipeleka ajenda ya Samia for life

    Huenda Ndicho kinacho sukwa kwa sasa. Mtazinduka mmesha jikojolea tayari.
  8. Bigmaaan

    JamiiForums Tanzania Life Lesson: Usifanye deal na Mwanamke

    Kwema wakuu? Leo, nimepata tukio moja la masuala ya hela ambalo nilifanya na mwanamke mmoja, kazi imekamilika, zimeanza ngonjera. Hili ni tukio la Nne maishani mwangu, so nimejifunza, usifanye deal na mwanamke. NEVER.
  9. BabaMorgan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wenzetu mnawezaje kuishi decent life?

    Unakuta kijana mdogo full of potential ana harakati zake ana mke na watoto jumamosi asubuhi anaenda jumuiya jumapili yupo kanisani pengine unakuta kanisani ana kacheo kidogo kama ni muislamu anashiriki ibada kila mara. Hatumii kilevi chochote sio sigara, bangi, mirungi wala hajui ladha aina...
  10. Stability

    JamiiForums Tanzania Watu mliozaliwa 1985-1995, how is life?

    Mishe mishe, mitikasi, mapambano, maono, mafanikio, matatizo, matarajio, mafundisho?.
  11. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania Dah, life is not fai. Wale washikaji ambao walikuwa hawana akili kichwani tukiwa darasani Leo wanamaisha mazuri

    Wale washikaji ambao walikuwa hawana akili kichwani tukiwa darasani Leo hii wanakazi zao za maana na biashara za kutisha. Sisi ambao darasani tulikuwa na akili na morality ya kufatuta maisha lakini mpaka Leo maisha hatuna ajira hatuna. Kila siku tunaona watu wapo kwenye magari makali nyumba...
  12. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Newton 3rd law of motion: "For every reaction there is an equal and opposite re-action". How this is applicable in our daily life?

    Newton 3rd law of motion iko very clear kusema "......for every action there is an equal and opposite re-action...." Kwa ufafanuzi rahisi kwa Kiingereza hichohicho, maana yake ni kuwa👇; "......for every force or beating or torture or kindness etc exerted on one object or person, there is an...
  13. Bueno

    JamiiForums Tanzania Fast life, fast cars, ain't no slowing down

    [Hook - The Cataracs] [x2] I bet you think cause you saw me on the TV That you know my whole life story Let me tell you something you might not know Forget what you're talking bout, chick I get doe [x3] I get doe I get doe I get doe, I get doe, I get doe Bitch I get doe [Verse 1 - Glasses...
  14. GoldDhahabu

    JamiiForums Tanzania Silver Cord of life ni nini?

    Nilishawahi kukutana na huo msamiati humu JF. Lilihusushwa na utokaji nje ya mwili. Leo nimekutana nao kwenye Biblia! "Yes, remember your Creator now while you are young, before the silver Cord of life snaps and the golden bowl is broken. Don't wait until the water jar is smashed at the spring...
  15. Hharyson

    JamiiForums Tanzania 🏡 Build Your Dream Home with a Reliable Partner! Looking for a trustworthy construction company to bring your vision to life?

    🏡 Build Your Dream Home with a Reliable Partner! Looking for a trustworthy construction company to bring your vision to life? Mkuzibuilders is here for you — reliable, professional, and committed to quality. 📍 Visit us: Sinza, Dar es Salaam 📞 Call us today: +255 624 004 6
  16. K

    JamiiForums Tanzania Nimerudi kufanya kazi yangu ya mgambo.

    Nina kabachelor kangu,lkn nimekula za uso utumishi,tra na gbt. Sasa nimewahi kupitia mafunzo ya mgambo na kutunukiwa cheti. Nimeamua nijitose tu kwenda kuwa mlinzi,kwa kuanzia leo nimepata mchongo wa kwenda kukamata wahalifu flani wanaotuhumiwa na jamii kuwa wanauza bangi na kusumbua wananchi...
  17. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Life is short trip

    Iife is short trip Time flies but flies with people
  18. Sema kama nenga

    JamiiForums Tanzania Priceless human life is wasted in sexual indulgence but sexual desires are never satiated

    One of the disciples of Socrates asked his teacher,"my venerable master kindly, instruct me how many times a house-holder can have copulation with his legal wife?" Socrates replied, "only once in his life time" The disciple said, oh my lord! this is absolutely impossible for worldly men. pray...
  19. britanicca

    JamiiForums Tanzania That man ought to be serving a life sentence-rightfully held accountable for his central role in planning and executing crimes

    Rather than enjoying impunity, Mafwele ought to be serving a life sentence-rightfully held accountable for his central role in planning and executing crimes against humanity. The magnitude of his actions demands not just national condemnation but int'l judicial intervention. Britanicca
  20. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania This is a fact of life: Maisha ni fumbo gumu. Ishi leo yako ukiwa hapo, ipo kesho utakuwa mahali pengine. Amri moja nawaachia - Pendaneni..!!

    PICHA HII ILIPGWA JANUARI MWAKA 2010. UNAIKUMBUKA...? Wa kwanza kulia (waliokaa) ni Prof.Idris Mtulia, aliyekua Mbunge wa Rufiji. Anayemfuatia ni Prof.Mark Mwandosya wakati huo akiwa Waziri wa maji na umwagiliaji. Anayemfuatia ni aliyekua mkuu wa wilaya hiyo Bw.Kassim Majaliwa...
Back
Top Bottom