kuzaliwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sky Eclat

    Leo ni siku ya kuzaliwa Mh. Tundu Antipas Lissu

    Leo amezaliwa Mh. Tundu Lissu tuungane kumtakia maisha marefu, comment yeye atasoma Coment yako.
  2. J

    Kuzaliwa au kujifungua mtoto njiti sio laana au mkosi

    Takwimu zinaonesha kuwa kila mwaka watoto milioni 15 wanazaliwa njiti, yaani ujauzito ukiwa haujatimiza wiki 37 wakiwa na uzito mdogo Jamii inapaswa kujua #WatotoNjiti wanauwezo wa kukua kama Watoto wengine hivyo imani potofu hazina budi kukoma Watoto Njiti wanahitaji uangalizi maalumu kwani...
  3. B

    Prof. Kabudi: Imani, uelewa na msimamo wako kuhusu Utumishi wa Umma ni nguzo kuu ya kuzaliwa Taifa mfu

    Nimemsikiliza Profesa Kabudi akieleza nini Mtumishi wa Umma anapaswa kufanya, baadhi ya Mambo anayosisitiza ni pamoja na mtumishi wa Umma: 1. Kutii (obey) mamlaka iliyopo juu yake. 2. Kama ataki kuendana na mamlaka iliyopo juu yake aache kazi. Katika karne ya sasa utii wa mamlaka za...
  4. Sky Eclat

    Vipaji vingine ni vya kuzaliwa navyo

    Walimu shuleni wanapata tabu kumbe matatizo yalianzia mbali.
  5. U

    Jasusi Mbobezi na Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Marekani, Mike Pompeo leo anaadhimisha siku yake ya kuzaliwa

    Alizaliwa Disemba 30, 1963 Amehudumu akiwa Mkuu wa Idara ya Ujasusi Marekani (CIA) na sasa ndiye Waziri wa Mambo Ya Nje Wa Marekani Pamoja na kupokea taarifa nyingi kutoka nchi mbalimbali, Mike Pompeo anasifika kwa umakini mkubwa kwenye maamuzi yake ambayo huzingatia uchunguzi wa kina! Kwa...
  6. S

    Tunaanza kutengeneza kizazi cha watoto au watanzania wasiojua vizuri kiswahili kama ilivyo kwa wahindi licha ya kuzaliwa na kukulia humu nchini

    Kila kitu kina faida na hasara zake.Moja ya faida ya hizi shule za kisasa ni watoto kujua lugha ya malaika angali wakiwa na umri mdogo na kuwa fluent tofauti na wale wanaosoma shule za St. Kayumba. Hata hivyo, kuna kasoro naiona na ambayo baada ya muda, tutakuja kuiona huko mbele na hii si...
  7. Leslie Mbena

    CHADEMA mpya ya Mwenyekiti Halima Mdee kuzaliwa miezi mitatu ijayo ndani ya CHADEMA ya sasa

    CHADEMA MPYA YA MWENYEKITI HALIMA MDEE KUZALIWA MIEZI MITATU IJAYO NDANI YA CHADEMA YA SASA. Leo 22:20hrs 28/11/2020 Phase IV ya "the art of political war" kama inavyotafsiriwa kwenye stage 10 za Communist Party of China, itaisha kwa Chadema Mpya kuzaliwa ndani ya Chadema ya sasa baada ya...
  8. dvj nasmiletz

    Inakuwaje tarehe na mwezi wa kuzaliwa na kufa vinafanana?

    Yaani unazaliwa tareh 1 mwezi wa 3 1999 na unakufa tarehe 1 mwezi wa 3 2000
  9. Faza 99

    Najuta kuzaliwa kwenye familia ya kilokole

    Mimi ni mtoto wa tatu katika familia ya watoto 6, baada ya Dada na braza me nilifuatia. Faza etu ni pastor wa kanisa Fulani la kilokole na ni mcha mungu katika kweli kabisa ya mungu in short familia nzima ni ya kilokole ya kiimani sana. Katika kulelewa kwetu tumekuzwa katika misingi ya kiimani...
Back
Top Bottom