kuzaliwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Kipimo cha DNA kingekuwepo kipindi cha kuzaliwa Yesu kristo, wangethubutu kusema na kuandika haya waliyoyaandika juu ya zilipotoka ‘chromosome’ 23?

    Binadamu huwa na ‘Chromosome’ 46 katika kila kiini cha seli ya mwili wake, 23 hutoka kwa mama na 23 hutoka kwa baba. Na ukipima kwa kulinganisha na za baba yake na mama yake unaweza kudhibitisha au kukanusha juu ya baba/ mama kuwa ni wake kweli au ni wa kusingiziwa. Sasa je, tungepima za Yesu...
  2. P

    JamiiForums Tanzania Chuo cha Siasa Kivukoni ni muda wa kuzaliwa upya, hawa ma-DC na ma-RC ni matokeo ya kutopigwa msasa kiuongozi

    Miaka ile ya awamu ya kwanza kulikuwa na chuo cha kufundisha viongozi masuala yote muhimu ya kiuongozi. Kilikuwepo pale kivukoni. Kiliwapika viongozi na matendo yao yakaonekana baada ya kupewa ukuu wa wilaya na ukuu wa mikoa. Walikuwa ni viongozi wenye maadili yasiyohojika. Taratibu muda...
  3. ladyfurahia

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi ya kuzaliwa kwangu

    Habari Ni furaha iliyoje kuiona siku muhimu kama leo, Nawashukuru wazazi wangu kunilea mpaka hapa nilipo Mungu awabariki na kuwapa siku nyingi za uhai wenu na awape afya njema. Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuiona siku hii muhimu ya kumbukizi ya kuzaliwa kwangu furahi pamoja nami siku hii...
  4. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kuzaliwa masikini inatokea lakini kufa masikini ni chaguo

  5. U

    JamiiForums Tanzania Leo ni siku ya Kuzaliwa Kocha Msaidizi wa Simba Selemani Matola

    Happy birthday Selemani Matola
  6. Kurzweil

    JamiiForums Tanzania Kuzaliwa Njiti kunaweza kumuacha Mtoto na ulemavu

    Inakadiriwa kuwa takriban Watoto Milioni 15 wanazaliwa kabla ya Wakati kila mwaka Duniani kote Watoto Milioni 1 waliozaliwa kabla ya Wakati au wakiwa na uzito wa chini hufariki Dunia kwa sababu mbalimbali Watoto wengi huishi lakini wapo ambao wanapata changamoto ya kuwa na ulemavu wa maisha...
  7. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Leo ni siku ya kuzaliwa Mh. Tundu Antipas Lissu

    Leo amezaliwa Mh. Tundu Lissu tuungane kumtakia maisha marefu, comment yeye atasoma Coment yako.
  8. J

    JamiiForums Tanzania Kuzaliwa au kujifungua mtoto njiti sio laana au mkosi

    Takwimu zinaonesha kuwa kila mwaka watoto milioni 15 wanazaliwa njiti, yaani ujauzito ukiwa haujatimiza wiki 37 wakiwa na uzito mdogo Jamii inapaswa kujua #WatotoNjiti wanauwezo wa kukua kama Watoto wengine hivyo imani potofu hazina budi kukoma Watoto Njiti wanahitaji uangalizi maalumu kwani...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Prof. Kabudi: Imani, uelewa na msimamo wako kuhusu Utumishi wa Umma ni nguzo kuu ya kuzaliwa Taifa mfu

    Nimemsikiliza Profesa Kabudi akieleza nini Mtumishi wa Umma anapaswa kufanya, baadhi ya Mambo anayosisitiza ni pamoja na mtumishi wa Umma: 1. Kutii (obey) mamlaka iliyopo juu yake. 2. Kama ataki kuendana na mamlaka iliyopo juu yake aache kazi. Katika karne ya sasa utii wa mamlaka za...
  10. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Vipaji vingine ni vya kuzaliwa navyo

    Walimu shuleni wanapata tabu kumbe matatizo yalianzia mbali.
  11. U

    JamiiForums Tanzania Jasusi Mbobezi na Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Marekani, Mike Pompeo leo anaadhimisha siku yake ya kuzaliwa

    Alizaliwa Disemba 30, 1963 Amehudumu akiwa Mkuu wa Idara ya Ujasusi Marekani (CIA) na sasa ndiye Waziri wa Mambo Ya Nje Wa Marekani Pamoja na kupokea taarifa nyingi kutoka nchi mbalimbali, Mike Pompeo anasifika kwa umakini mkubwa kwenye maamuzi yake ambayo huzingatia uchunguzi wa kina! Kwa...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Tunaanza kutengeneza kizazi cha watoto au watanzania wasiojua vizuri kiswahili kama ilivyo kwa wahindi licha ya kuzaliwa na kukulia humu nchini

    Kila kitu kina faida na hasara zake.Moja ya faida ya hizi shule za kisasa ni watoto kujua lugha ya malaika angali wakiwa na umri mdogo na kuwa fluent tofauti na wale wanaosoma shule za St. Kayumba. Hata hivyo, kuna kasoro naiona na ambayo baada ya muda, tutakuja kuiona huko mbele na hii si...
  13. Leslie Mbena

    JamiiForums Tanzania CHADEMA mpya ya Mwenyekiti Halima Mdee kuzaliwa miezi mitatu ijayo ndani ya CHADEMA ya sasa

    CHADEMA MPYA YA MWENYEKITI HALIMA MDEE KUZALIWA MIEZI MITATU IJAYO NDANI YA CHADEMA YA SASA. Leo 22:20hrs 28/11/2020 Phase IV ya "the art of political war" kama inavyotafsiriwa kwenye stage 10 za Communist Party of China, itaisha kwa Chadema Mpya kuzaliwa ndani ya Chadema ya sasa baada ya...
  14. dvj nasmiletz

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje tarehe na mwezi wa kuzaliwa na kufa vinafanana?

    Yaani unazaliwa tareh 1 mwezi wa 3 1999 na unakufa tarehe 1 mwezi wa 3 2000
  15. Faza 99

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Najuta kuzaliwa kwenye familia ya kilokole

    Mimi ni mtoto wa tatu katika familia ya watoto 6, baada ya Dada na braza me nilifuatia. Faza etu ni pastor wa kanisa Fulani la kilokole na ni mcha mungu katika kweli kabisa ya mungu in short familia nzima ni ya kilokole ya kiimani sana. Katika kulelewa kwetu tumekuzwa katika misingi ya kiimani...
Back
Top Bottom