Kumbukizi ya kuzaliwa kwangu

ladyfurahia

JF-Expert Member
May 10, 2011
14,699
9,460
Habari

Ni furaha iliyoje kuiona siku muhimu kama leo, Nawashukuru wazazi wangu
kunilea mpaka hapa nilipo Mungu awabariki na kuwapa siku nyingi za uhai wenu na awape afya njema.

Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuiona siku hii muhimu ya kumbukizi
ya kuzaliwa kwangu furahi pamoja nami siku hii

HAPPY BIRTHDAY TO ME
Ladyfurahia

cake.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom