Juzi nafasi za kazi nyeti ya polisi zimetoka.
Sharti la kwanza la kuomba kazi ni uwe raia wa kuzaliwa wa Tanzania.
Kumbe kuna tofauti ya uzito wa uraia wa Tanzania, sijui imeandikwa wapi kisheria.
Lakini kama ni suala la “busara” na sio sheria hivi waziri mwenye siri za cabinet sio muhimu kama polisi mwenye siri za wezi wa pikipiki ?
Tunakuwaje na viongozi wakubwa wenye uraia wa kuomba magazetini ?
Sharti la kwanza la kuomba kazi ni uwe raia wa kuzaliwa wa Tanzania.
Kumbe kuna tofauti ya uzito wa uraia wa Tanzania, sijui imeandikwa wapi kisheria.
Lakini kama ni suala la “busara” na sio sheria hivi waziri mwenye siri za cabinet sio muhimu kama polisi mwenye siri za wezi wa pikipiki ?
Tunakuwaje na viongozi wakubwa wenye uraia wa kuomba magazetini ?