Muda wote tulisheherekea Uhuru wa Tanganyika tarehe sawa na Mwenyekiti wa Chadema Taifa ndiyo huwa siku ya kuzaliwa. Naona leo Familia imemuwish mapema sana kabla ya 9 December kufika kupita kipande cha Gazeti?
Nani aliudanganya UMMA kuwa freeman kazaliwa 9 December na Si tarehe 14 September ya leo?
Nani aliudanganya UMMA kuwa freeman kazaliwa 9 December na Si tarehe 14 September ya leo?