Mambo ya Mungu huwa ni makuu sana, nawaambieni enyi watanzania, kuna watu walibarikiwa tangu wakiwa Tumboni mwa mama zao
Samia Suluhu ni mfano hai tulionao mpaka sasa achilia mbali manabii wa zamani waliochaguliwa angali bado wapo tumboni,
Samia suluhu hakuwai kuwa mwanaharakati wala mpambanaji wa chama wala hakuwa na wafuasi na makundibya watu , alikua mpole tu na mnyenyekevu lakini jicho la Bwana kupitia Hayati Johm Magufuli lilimuona na kumchagua kuwa makamu wa Rais,
Hizo ni njia ambazo Mungu alikua anamtengenezea.
Wazee wa CCM wamesota sana kuutafuta Urais wametengeneza makundi kwa makundi wameunda makandokando wametengeneza channel ndani na nje ya nchi, wamemwaga pesa nyingi wameunda ukaribu na matajili ili tu wawe marais wa JMT imeshindikana
Lakini Samia ameukwaa Urais kiulaini tu bila gharama yyte kama kumsukuma mlevi
Samia kashika nchi ikiwa kwenye taharuki, uchumi umeyumba lakini mpaka sasa bado nchi imetulia,
Huo ni mkono wa bwana u ndani yake halleluya!
Kama si Bwana aliekua naye israel na aseme sasa!
Hakika Mungu akisema ndiyo hakuna atakayepinga, Nyote mlioko ndani ya chama na ndani ya serikali ambao kwa namna moja mnajaribu kumuhujumu Rais mtahaibika, kwa mlango mmoja mtaingia lakini mtatawanyika kwa milango saba! ni bora mcheze na sumu kuliko kucheza na chaguo la Bwana wa Majeshi,
Samia umebarikiwa kabla ya kuzaliwa kwako.
Mungu atasimama na wewe mpaka kipindi chako chote kitakapoisha 2030
watakaompinga ndani ya Chama 2025 nawapa pole, maana mtapotea kabisa katika ulimwengu wa siasa za Tanzania
Piga kazi Iron Lady, kipenzi cha watu mama wa Taifa, Samia Suluhu Hassan the Big Boss
Samia Suluhu ni mfano hai tulionao mpaka sasa achilia mbali manabii wa zamani waliochaguliwa angali bado wapo tumboni,
Samia suluhu hakuwai kuwa mwanaharakati wala mpambanaji wa chama wala hakuwa na wafuasi na makundibya watu , alikua mpole tu na mnyenyekevu lakini jicho la Bwana kupitia Hayati Johm Magufuli lilimuona na kumchagua kuwa makamu wa Rais,
Hizo ni njia ambazo Mungu alikua anamtengenezea.
Wazee wa CCM wamesota sana kuutafuta Urais wametengeneza makundi kwa makundi wameunda makandokando wametengeneza channel ndani na nje ya nchi, wamemwaga pesa nyingi wameunda ukaribu na matajili ili tu wawe marais wa JMT imeshindikana
Lakini Samia ameukwaa Urais kiulaini tu bila gharama yyte kama kumsukuma mlevi
Samia kashika nchi ikiwa kwenye taharuki, uchumi umeyumba lakini mpaka sasa bado nchi imetulia,
Huo ni mkono wa bwana u ndani yake halleluya!
Kama si Bwana aliekua naye israel na aseme sasa!
Hakika Mungu akisema ndiyo hakuna atakayepinga, Nyote mlioko ndani ya chama na ndani ya serikali ambao kwa namna moja mnajaribu kumuhujumu Rais mtahaibika, kwa mlango mmoja mtaingia lakini mtatawanyika kwa milango saba! ni bora mcheze na sumu kuliko kucheza na chaguo la Bwana wa Majeshi,
Samia umebarikiwa kabla ya kuzaliwa kwako.
Mungu atasimama na wewe mpaka kipindi chako chote kitakapoisha 2030
watakaompinga ndani ya Chama 2025 nawapa pole, maana mtapotea kabisa katika ulimwengu wa siasa za Tanzania
Piga kazi Iron Lady, kipenzi cha watu mama wa Taifa, Samia Suluhu Hassan the Big Boss