kusini

Countdown at Kusini (also known as Cool Red) is a 1976 American-Nigerian action/drama film written by Howard Friedlander and Ed Spielman, and directed by Ossie Davis.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Corona: Shule Afrika Kusini zafungwa tena

    Moja kwa moja kwenye mada. Afrika Kusini wamezifunga tena shule zote kwa mwezi mmoja wanapoendelea kupambana na ugonjwa huu. Mapambano ni pamoja na tathmini ya wazi ya mirejesho pasipo na kujidanganya. Korea kusini, China nk, nako wanapita katika hali kama hizo hizo. Marekani ya Trump sasa...
  2. K

    Virusi vya Corona: Watu 572 wapoteza maisha Afrika Kusini kwa saa 24 zilizopita

    It goes without saying that the reason Africa will face the worst of Covid-19 last is because we are very poorly connected to the rest of the world. We do very little business with the rest of the world, which spared us the initial hit. Probably more people move from China to the US in a week...
  3. Requal

    Ilikuaje Sudan Kaskazini ikawa na watu wenye rangi nyeupe (Waarabu) na Kusini kukawa na watu weusi?

    Sudan ilikuwa ni nchi moja kabla ya kugawanyika na kuwa nchi mbili hivi karibuni. Sasa binafsi nashangazwa kidogo kwa namna hii nchi ilivokuwa yaani kule kaskazini raia wa kule ni weupe peee mpaka nywele zao ambazo ni ndefu kama waarabu halafu wa kusini ni weusi tiiii nadhani Afrika nzima ndio...
  4. M

    Upeo wa kisiki cha mpingo ni Kanda ya Kusini tu

    Jana Kisiki cha Mpingo kimepokelewa ACT-Wazalendo, na leo hii kimechukua fomu za kugombea Urais kupitia chama hicho. Katika hotuba yake wakati kikipokelewa ndani ya chama hicho, mbali na makosa ya ufahamu wa mahali kilipo, kilionesha uelewa mdogo sana wa Tanzania hii. Mara zote kikitoa solution...
  5. Miss Zomboko

    Afrika Kusini kurejesha masharti ya kutokutoka nje. Uuzaji wa pombe kupigwa marufuku

    Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa, Jumapili alitangaza kwamba serikali yake itarudisha marufuku iliyokuwepo ya uuzaji wa pombe na curfew ya kutoka nje usiku Hii alisema ni katika juhudi za kupunguza misongamano ya majeruhi, inayoshuhudiwa kwenye...
  6. MK254

    Hii ngoma ndio kama inaanza bandugu, Afrika Kusini wagonjwa 9,064 kwa siku

    Mliojichokea kwenye hii safari na kuacha watu wenu wajihangaikie wenyewe huko kwenye mitaa ya mabanda mnatakiwa mfahamu hiki kitu kinazidi kuwa hatari, Afrika Kusini namba zinapandisha balaa, karibu elfu kumi kwa siku. ===== South Africa has announced another record daily number of confirmed...
  7. mkiluvya

    Afrika Kusini kuanza majaribio ya chanjo ya Corona

    Afrika kusini imeanzisha majaribio ya kwanza ya chanjo ya virusi vya corona barani Afrika wiki hii, chuo kikuu kinachoongoza hatua hiyo kimesema leo, wakati nchi hiyo ikikabiliana na idadi ya juu ya kesi za maambukizi barani Afrika. Chanjo, iliyotengenezwa na taasisi ya Oxford Jenner, tayari...
  8. Influenza

    Namba 23: Mkuu wa mkoa wa Kusini Unguja, Ayoub Mohamed Mahmud achukua fomu kuwania Urais Zanzibar kupitia CCM

    Mkuu wa mkoa wa Kusini Unguja Ayoub Mohamed Mahmud amekuwa mgombea wa 23 kujitokeza kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar.
  9. MK254

    Afrika Kusini: Corona imeua watu 800 chini ya wiki mbili, jameni tusijichokee, hiki kitu ni balaa

    Mnaoendelea kupuuza na kukaidi ushauri wa tahadhari dhidi ya Corona mfahamu mnamtekenya simba na kucheza na masharubu yake, hiki kitu kinaua bila huruma, na ndio kinaendelea kupata kasi Afrika, yaani chini ya wiki mbili tayari kimelamba watu 800 nchini Afrika Kusini. ----- COVID-19, the...
  10. WilsonKaisary

    Nelson Mandela ni msaliti wa harakati za Uhuru wa Afrika Kusini na Afrika kiujumla?

    Kwa takribani miaka 27 Nelson Mandela (Tata/Madiba) amekuwa gerezani Hadi mwaka 1990 alipoachiwa. Hadi kufikia mwaka 1990 nchi zote za kiafrika zilikuwa zimepata Uhuru kutoka kwa wakoloni. Ikumbukwe Afrika Kusini ilipata Uhuru wake mnamo 1931, mwaka 1994 haukuwa mwaka wa kupata Uhuru kwa Afrika...
  11. MK254

    Korea Kaskazini yalipua Ubalozi wa pamoja waliokua nao na Korea Kusini, mwendo wa kumwaga mboga na unga

    Hali inazidi kuwa tete, hawa ndio ndugu muda wowote watazichapa, hawana muda wa kusubiri corona iishe. North Korea has blown up its liaison office with the South in a dramatic escalation of tensions between the old rivals. There are fears military conflict could erupt along the heavily...
  12. ndanda masasi

    Suleiman Bungara (BWEGE) Mbunge wa Kilwa Kusini: "Kwaheri CUF, hodi ACT Wazalendo"

    Mbunge wa Jimbo la Kilwa Kusini Mhe.Selemani Bungara (Bwege) ametangaza kukihama chama Cha Wananchi Cuf na kuhamia chama cha ACT Wazalendo azalendo mara baada ya bunge kuvunjwa hapo kesho. --- Ifahamike kuwa, nimeitumikia nafasi ya uwakilishi wa wananchi kwa maana ya ubunge wa Kilwa Kusini...
  13. MK254

    Dada yake Kim wa Korea Kaskazini aanza kuchomoa makucha, aionya Korea Kusini uwezekano wa kichapo

    Huyu mdada huwa kimya muda mwingi lakini wengi wanafahamu nguvu alizo nazo kwenye himaya, na hufanya mambo mengi nyuma ya pazia, ila ameanza kujitokeza na tayari katupia mkwara mzito dhidi ya serikali ya Korea Kusini, akiwaonya dhidi ya kupokea watoro, na wakiendelea hivyo watapokea hatari hivi...
  14. B

    Corona: Sudan ya Kusini hali ni tete, tuwasaidie. Uzoefu tunao

    Hali ni mbaya sana Sudani Kusini kuhusiana na huu ugonjwa. Kama ilivyokuwa kwetu na kugongelewa vilivyo na Mh. Makonda: "Watu huko wanapukutika kweli kweli." Hii siyo siri ya kuficha tena. Ndani ya mwezi mmoja tu hali iko hivi: Horror as South Sudan Loses 35 Generals, Senior Officials in one...
  15. M

    Natafuta Hotuba ya Mwalimu Bunge la Afrika Kusini

    Natafuta hotuba nzima ya Mwalimu Nyerere katika Bunge la Afrika Kusini. Kila ninapotafuta Youtube napata clip fupi za dakika 2 au tatu. Wapi naweza kupata hotuba nzima?
  16. Gia kubwa

    Afrika Kusini wamefungua shule za msingi | Je, sisi ni lini?

    Wanabodi nauliza tu hivi Corona bado ipo bongo? Jana niliona Al Jazeera Africa Kusini watoto wadogo nao wamerudi shule! Wao nadhani hawaogopi sana kufa kwa korona sababu kwasasa wana maambukizi 35,000, sisi 0.1! Nauliza tu, hapa kwetu ni lini tunafungua shule za msingi na chekechea aka vidudu...
  17. Sky Eclat

    Salamu na ushauri kutoka Afrika ya Kusini kwa dada aliyedhalilishwa kuwa aliiba mume wa mtu

    Dada aliyedhalilishwa kwa kupigwa ikisadikika kwa kufumaniwa na mme wa mtu amesema wakati wa shamlashamla aliibiwa shilingi laki tisa Mimi sham natuma salamu Kwanza pole kwako kwa kudhalilishwa mimi Kama mwanamke niliumia sana kwa kitendo ulichofanyiwa, hata Kama alikuwa hivyo haikuwa lazima...
  18. mkiluvya

    Watanzania waliokwama kwa lockdown Afrika Kusini warejea nchini

    Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Meja Jenerali (Mst) Gaudence Milanzi Jumatatu Mei 25, 2020 amesimamia zoezi la repatriation (usafirishaji) wa dharura) ya Watanzania pamoja na raia kadhaa wa nchi hiyo waliokwama kutokana na Lockdown na kusitishwa safari za ndege inayoendelea huko, kutoka...
  19. mkiluvya

    Afrika Kusini kulegeza masharti kukabiliana na Corona

    Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema maambukizi ya virusi vya Corona nchini mwake yanaendelea kuongezeka kama ilivyobashiriwa na wanasayansi. Katikati mwa wiki iliyopita wanasayansi nchini Afrika Kusini walionya kuwa huenda watu 50,000 wakapoteza maisha na wengine zaidi ya Milioni tatu...
  20. beth

    Afrika Kusini: Rais Ramaphosa asema mlipuko wa Corona utakuwa mbaya zaidi nchini humo

    Rais wa Afrika Kusini ametehadharisha kuwa hali ya mlipuko wa virusi vya corona inaelekea kuwa mbaya zaidi, wakati akitangaza kulegeza masharti ya kubaki nyumbani. Cyril Ramaphosa amesema zaidi ya watu 22,000 wamerekodiwa kuwa na maambukizi juma lililopita. Pamoja na hayo , rais amesema kuwa...
Back
Top Bottom