JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Jimbo la Alaska USA lina utajiri mkubwa wa MAFUTA.
Sasa serikali ya jimbo hilo kila mwaka hutoa kiasi fulani cha mapato yanayotokana na mafuta na kuwagawia wananchi moja kwa moja.
Nimejiuliza kwanini serikali ya Tanzania haitoi sehemu ya mapato ya gesi ya kusini na kuwagawia wakaazi wa mikoa ya Mtwara na Lindi?
Au kwanini serikali yetu haifanyi jambo lingine lolote lile la kijamii kwa ajili ya wananchi wa Mtwara na Lindi kutokana na mapato ya gesi yao?
NB
kigezo cha kulipwa fedha za mafuta ya Alaska ni uwe mkaazi wa jimbo hilo kwa mwaka mmoja kabla hujapatiwa fedha hizo, na uishi ktk jimbo hilo mwaka mmoja baada ya kulipwa.
cc Chige, Nguruvi3, tindo, johnthebaptist , Erythrocyte
Sasa serikali ya jimbo hilo kila mwaka hutoa kiasi fulani cha mapato yanayotokana na mafuta na kuwagawia wananchi moja kwa moja.
Nimejiuliza kwanini serikali ya Tanzania haitoi sehemu ya mapato ya gesi ya kusini na kuwagawia wakaazi wa mikoa ya Mtwara na Lindi?
Au kwanini serikali yetu haifanyi jambo lingine lolote lile la kijamii kwa ajili ya wananchi wa Mtwara na Lindi kutokana na mapato ya gesi yao?
NB
kigezo cha kulipwa fedha za mafuta ya Alaska ni uwe mkaazi wa jimbo hilo kwa mwaka mmoja kabla hujapatiwa fedha hizo, na uishi ktk jimbo hilo mwaka mmoja baada ya kulipwa.
cc Chige, Nguruvi3, tindo, johnthebaptist , Erythrocyte