Kumbe hata Afrika Kusini nao pia wana 'Wasomi Mapopoma' tu kama wanaopatikana kwa Wingi Mitaa ile ya Twiga na Jangwani?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,516
108,791
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa nimeshangazwa kusikia kuwa aliyekuwa Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Klabu Bingwa nchini Tanzania ya Simba Sports Club Senzo Mbatha Mazingisa ameenda kuwa Mshauri Elekezi wa Mchakato wa kuelekea katika Mabadiliko ndani ya Klabu ya 'hovyo hovyo' duniani ya Yanga Sports Club.

Kwa Akili ya kawaida tu hivi unawezaje kuacha Kazi ambayo kwa kuwepo Kwako Simba SC kama CEO Wao tena huku Timu yenyewe nayo ikiwa na 'Mafanikio' na inazidi kuelekea katika 'Mafanikio' na unakubali kwenda katika ya Yanga SC ambayo hata tu 10% ya 'Mchakato' wake wa kuelekea katika 'Mafanikio' ya awali waliyonayo Simba SC bado hawajafikia?

Mliosoma sana na 'Werevu' mtanisaidia Kunielekeza hapa hivi kwa Senzo Mbatha Mazingisa aliyekuwa CEO wa Simba SC kuachana na Simba SC na hiyo nafasi na kwenda kuwa tu Mshauri Elekezi wa Yanga Sports Club kuelekea katika 'Mchakato' wake wa 'Mabadiliko' hapa amezidi Kujiongezea CV yake au ndiyo 'ameshaizika' rasmi CV yake 'Kaburini' na kuonekana ni wa hovyo hovyo tu?

Kwa jinsi nchi ya Afrika Kusini ilivyo na 'Maendeleo' sikuwahi Kudhani kuwa nao pia huwa wana 'Wasomi Mapopoma' huku maeneo mengine Afrika.
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa nimeshangazwa kusikia kuwa aliyekuwa Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Klabu Bingwa nchini Tanzania ya Simba Sports Club Senzo Mbatha Mazingisa ameenda kuwa Mshauri Elekezi wa Mchakato wa kuelekea katika Mabadiliko ndani ya Klabu ya 'hovyo hovyo' duniani ya Yanga Sports Club.

Kwa Akili ya kawaida tu hivi unawezaje kuacha Kazi ambayo kwa kuwepo Kwako Simba SC kama CEO Wao tena huku Timu yenyewe nayo ikiwa na 'Mafanikio' na inazidi kuelekea katika 'Mafanikio' na unakubali kwenda katika ya Yanga SC ambayo hata tu 10% ya 'Mchakato' wake wa kuelekea katika 'Mafanikio' ya awali waliyonayo Simba SC bado hawajafikia?

Mliosoma sana na 'Werevu' mtanisaidia Kunielekeza hapa hivi kwa Senzo Mbatha Mazingisa aliyekuwa CEO wa Simba SC kuachana na Simba SC na hiyo nafasi na kwenda kuwa tu Mshauri Elekezi wa Yanga Sports Club kuelekea katika 'Mchakato' wake wa 'Mabadiliko' hapa amezidi Kujiongezea CV yake au ndiyo 'ameshaizika' rasmi CV yake 'Kaburini' na kuonekana ni wa hovyo hovyo tu?

Kwa jinsi nchi ya Afrika Kusini ilivyo na 'Maendeleo' sikuwahi Kudhani kuwa nao pia huwa wana 'Wasomi Mapopoma' huku maeneo mengine Afrika.
Kifupi alichoka kufanya kazi na waswahili kina Mudi, Haji, Kadu na wengineo! Ameona pale Yanga atapata fursa ya kufanya kazi yake kiweledi! Mwacheni bhana ni maamuzi yake!
 
Baada ya Fidel Castro na Che Guevara kufanikisha mapinduzi ya kikomunisti nchini Cuba, Che aliombwa aachane na harakati za mapinduzi na awe waziri katika serikali mpya ya Cuba. Mwamba alikataa na akaamua kuendelea na mapambano. Alichokifanya Senzo ni sawa na alichokifanya Ernesto Che.


By rhe way, nasikia yule mwizi wa magari Sauzi juzi katest mitambo kwa kupita na iPhone mbili za msaidizi wa Moudy Dewji
 
Ile kusema tu Senzo amekwenda klabu ya hovyo hovyo kama Yanga, inadhihirisha ni jinsi gani unavyoshindwa kufikiri na kufikia mantiki.

Senzo amewahi kufanya kazi katika level za juu na kwa weledi wa juu kote alikopita ameacha alama.
Wakati mwingine nalazimika kuamini kwamba ukiwa mbumbumbu fc basi unawaza kimbumbumbu.
 
Ile kusema tu Senzo amekwenda klabu ya hovyo hovyo kama Yanga, inadhihirisha ni jinsi gani unavyoshindwa kufikiri na kufikia mantiki.

Senzo amewahi kufanya kazi katika level za juu na kwa weledi wa juu kote alikopita ameacha alama.
Wakati mwingine nalazimika kuamini kwamba ukiwa mbumbumbu fc basi unawaza kimbumbumbu.
Sehemu gani alipofanya aliacha alama, maana Simba hajaacha alama yoyote
 
Ivi mbumbumbu fc Nani amewaloga, Simba inamafanikio gani? Simba mbaka Sasa haina mafanikio yoyote imebadilisha mfumo lakini hakuna namna yoyote inayo onyesha klabu inajitegemea. Simba inamtegemea 99% MO. Simba ni tegemezi haina vyanzo vyake vya Mapato ambavyo vinaweza kuindesha timu ata kwa mwezi mmoja.Kama Kuna mtu anaweza kunifafanulia mafanikio ya Simba kujikomboa ki uchumi tafadhali anifafanulie.
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa nimeshangazwa kusikia kuwa aliyekuwa Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Klabu Bingwa nchini Tanzania ya Simba Sports Club Senzo Mbatha Mazingisa ameenda kuwa Mshauri Elekezi wa Mchakato wa kuelekea katika Mabadiliko ndani ya Klabu ya 'hovyo hovyo' duniani ya Yanga Sports Club.

Kwa Akili ya kawaida tu hivi unawezaje kuacha Kazi ambayo kwa kuwepo Kwako Simba SC kama CEO Wao tena huku Timu yenyewe nayo ikiwa na 'Mafanikio' na inazidi kuelekea katika 'Mafanikio' na unakubali kwenda katika ya Yanga SC ambayo hata tu 10% ya 'Mchakato' wake wa kuelekea katika 'Mafanikio' ya awali waliyonayo Simba SC bado hawajafikia?

Mliosoma sana na 'Werevu' mtanisaidia Kunielekeza hapa hivi kwa Senzo Mbatha Mazingisa aliyekuwa CEO wa Simba SC kuachana na Simba SC na hiyo nafasi na kwenda kuwa tu Mshauri Elekezi wa Yanga Sports Club kuelekea katika 'Mchakato' wake wa 'Mabadiliko' hapa amezidi Kujiongezea CV yake au ndiyo 'ameshaizika' rasmi CV yake 'Kaburini' na kuonekana ni wa hovyo hovyo tu?

Kwa jinsi nchi ya Afrika Kusini ilivyo na 'Maendeleo' sikuwahi Kudhani kuwa nao pia huwa wana 'Wasomi Mapopoma' huku maeneo mengine Afrika.
Wewe umeona jd yake aliyopewa na yanga?
 
Back
Top Bottom