Kwahiyo wakakague maduka ya mikuki sio??Wakakague maduka yote ya spears watavipata tu
Kubomoa hakunaga ufundi hao wanakuaga wazuri kwenye kubomoa tu lakini ukiwaambia walirudishe kama mwanzo lilivyokua wanasandaHao wezi wanafaa kupewa ajira kitengo cha upareshen za dharura. Nadhani wagonjwa wengi wangeokolewa
Huku uswahilini maduka mengi sana ya spare yameandikwa hivyo...Duka la vifaa vya computer na software kaandika softwereKwahiyo wakakague maduka ya mikuki sio??
Hapo hawajabomoa wamefungua mkuu. Kulirejesha lilivyokuwa ni rahisiKubomoa hakunaga ufundi hao wanakuaga wazuri kwenye kubomoa tu lakini ukiwaambia walirudishe kama mwanzo lilivyokua wanasanda
Huku uswahilini maduka mengi sana ya spare yameandikwa hivyo...Duka la vifaa vya conputer na software kaandika softwere
Huyo walimuulumia huku kuna jamaa alikuwa anapenda kulaza ka fuso kake nje siku moja alikuta wauni wamefungua dif wakasepa nayoKuna MTU aliamka akakuta gari yake ipo juu ya mawe.
Watu wametembea na matairi
Vioo vinanamba za gari husika ni ngumu kidogo kufanya biashara yakembona hawaja toa kioo cha mbele na iko cha nyuma ambavyo ndo vikubwa