kura

Rúben de Almeida Barbeiro (born August 21, 1987 in Leiria), better known by his stage name KURA, is a Portuguese electro house DJ and record producer. Kura has released tracks through labels such as Hardwell's Revealed Recordings, Flashover Recordings, Musical Freedom, and Spinnin' Records, among others.

View More On Wikipedia.org
  1. mama D

    Wapiga kura wa 2025 na kuendelea hawa hapa, wapinzani msije kusema mmeibiwa kura

    Pale watoto wanapojua serikali ya Chama tawala imewajengea shule, imewawekea miundimbinu na zana za kujifunzia, walimu na imeondoa ada ili kila mtoto apate elimu. Yajayo yanafurahisha😃😃😃
  2. Francis12

    Kwa heshima naombeni mpigie Kura Malisa GJ amekuwa mchango mkubwa sana kwa Jamii katika kugusa maisha ya Watanzania

    Anaandika Comrade Malisa GJ. Rafiki yangu mmoja kanitumia ujumbe "Malisa mbona huombi kura?" Ikabidi nimpigie kumuuliza kura za nini? Akaniambia za tuzo. Nikamuuliza tuzo zipi? Akaniambia umependekezwa kwenye tuzo ziitwazo Tanzania Inspiration Awards. Nikamwambia sina taarifa. Akanitumia...
  3. happyxxx

    Tumpe Zuchu kura za ndio na WCB Wasafi

    ingia kwenye link kisha vote https://www.mtvmama.com/info/aljvas/vote jamani mjitaidi kuvote ata kama uwapigii wengine akikisha umempigia mate wangu zuhura aka zuchu category ni breakthrough act
  4. T

    Hatutaki Rais Kijana wala Mzee ila tunahitaji kiongozi atakaye heshimu katiba yetu, shida zetu na kutuheshimu Wapiga Kura

    Nimeona nitoe ya moyoni kuelekea 2025 maana kwa Neema za Mungu tukikuwepo basi ningeomba swala la kutuchagulia vijana lisiwe agenda ila agenda iwe ni kumpata kiongozi mwenye busara na anaye heshimu katiba yetu na sheria zetu. Mvumilivu na mwenye kutambuwa sisi Watanzania ni waugwana hivyo...
  5. Mromboo

    Geita: Makada 50 wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wasimamishwa Uongozi kwa tuhuma za kuhujumu Chama kwenye Uchaguzi

    Wasalaam!! Halmashauri kuu ya CCM mkoa wa Geita imewafukuza uachama makada 50 baada ya kuchangia kupungua kura za Rais Uchaguzi mkuu 2020. Hayo yamesemwa na bwana Masele ambaye alisema waliojitokeza kupiga kura ni 56,000 badala ya 100,000 jambo ambalo lilichangiwa na fitna za makada hao. Habari...
  6. F

    Maendeleo Makubwa ya CHATO na tafsiri ya Makongoro Nyerere na Madaraka Nyerere kupata kura 5 na 2 respectively za maoni CCM 2020!

    Watanzania wenzangu heri ya Mwaka Mpya 2021. Nimewiwa kutoa mawazo yangu kufuatia kelele nyingi za " kijinga" zinazopigwa kuhusu maendeleo makubwa na ya haraka zinazopigwa Wilayani CHATO katika kipindi hiki cha Serikali ya Awamu ya Tano. Fact kubwa ambayo hatuwezi kuipinga ni kuwa Wilaya hiyo...
  7. M

    Kumbe wale wanaofanya siasa za upinzani mitandaoni ni wengine na Wapinzani Wanasiasa halisi ni wengine!

    Kuna vitu hapo awali nilikuwa sielewi kabisa, kuna wakati wanasiasa halisia walikuwa wanakosea kabisa na hata mtoto ukimuuliza anakwambia kuwa hilo ni kosa lakini wanasiasa wa mtandao walikuwa wanalipongeza sana. Wakati mwingine uliweza kuona hali ya siasa za upinzani zinapita katika shida na...
  8. USSR

    Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

    Watanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura Rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Afrika wa mwaka. Rais Magufuli anashindanishwa na Marais wa Djibouti, Afrika Kusini, Senegal na Ghana wakiwa kwenye tano bora Japo Magufuli anaongoza...
  9. Chagu wa Malunde

    Kulalamika tumeibiwa kura za kwenye mabegi huku hamuendi Mahakamani, tuwaeleweje?

    He who alleges must prove. Hii ni moja ya principle muhimu sana katika kuhakikisha haki inapatikana. Mnalalamika zaidi ya miezi miwili kuwa uchaguzi haukuwa huru. Mlikamata kura za kwenye mabegi ambao ulikuwa ni ushahidi tosha kuwa mmeibiwa. Mbona hamfungui kesi kupinga matokeo ya uchaguzi wa...
  10. Roving Journalist

    GE2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yamtangaza Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa awamu ya pili

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi imemtangaza Dkt. John Magufuli, aliyekuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM kuwa mshindi wa Uchaguzi uliofanyika Oktoba 28. Pia imemtangaza Mama Samia Suluhu Hassan kuwa Makamu wa Rais Mteule. Dkt. Magufuli ameshinda kwa kupata kura...
  11. Stroke

    Asili ya Jina lako ni nini? Je, umeridhika nalo? Nilipigiwa kura

    Hivi majuzi ikabuka hoja jamaa anadai mwanae anataka kubadili jina kisa hajavutiwa na aina ya matukio aliyokuwa nayo mwenye jina kama lake. Mzazi anadai aliamua kumpa jina hilo mwanae baada ya kusoma hadithi za mhusika kwenye biblia. Kwa muda mrefu sasa wazazi wamekuwa na haki ya kwanza ya...
  12. Miss Zomboko

    Liberia: Wananchi wapiga kura ya maoni kupunguza mihula ya Urais na Ubunge

    Waliberia wanashiriki leo katika zoezi la kura ya maoni kuhusu mpango wa Rais George Weah wa kupunguza mihula ya urais, huku wakosoaji wakihofia kuwa anaweza akayatumia mabadiliko hayo kubakia madarakani. Nguli huyo wa zamani wa kandanda Weah amewaambia wafuasi wake kwamba kubaki na kiongozi...
  13. BAK

    Kura zinavyohesabiwa Ghana

    hadi raha si kama hapa kwetu na hii Tume FAKE iliyojaa wahuni na majizi.
  14. safuher

    Hata kama inasemwa ameingia kwa kura za wizi, lakini bado ana sifa za kuwa kiongozi bora hapo kisiwani

    Kuingia kwa kura za wizi haina maana kuwa hawezi kuwa kiongozi sahihi. Uharamu wa mchakato hauwezi kubadilisha talanta yake kwa uhakika. Ana hekima, busara, ustaarabu, uvumilivu, anaweza kuchuja kipi aseme na kipi asiseme. Maalim Seif tupo njia panda kwa sababu anamjua huyu bwana uadilifu wake...
  15. D

    DED Manispaa ya Morogoro mbona Devotha Minja ulimuweza, unashindwa nini kupambana na mchwa wala rushwa za leseni za biashara?

    Maafisa biashara wanaofunga maduka ya wafanyabiashara wasio na leseni za biashara au ambaio leseni zimeisha wanachukua rushwa ya TZS 20,000. Ukishindwa wanafunga duka mpaka utakapo wapelekea wanakuja kufugua. DED fanya kazi kama Mhe. Magufuli pita Kata zote walizopita maafisa biashara wako...
  16. Analogia Malenga

    Mgombea Umeya Arusha alalamika wapiga kura kutekwa

    Diwani wa kata ya Daraja Mbili kupitia CCM, Prosper Msofe ambaye aligombea Umeya wa jiji la Arusha na kupata kura 9 amelalamikia yaliyotendeka katika uchaguzi huo. Msofe amelalamikia wapiga kura kutekwa na kuwekwa kwenye ‘bar’ ambao pia walikatiwa mawasiliano naye. Amesema viongozi kuingilia...
  17. Q

    Kura ya maoni ACT - Wazalendo kuamua Serikali ya Umoja

    Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa chama cha ACT-Wazalendo Zanzibar, Salum Bimani, amesema viongozi wa chama hicho wanafanya vikao na Wanachama wake katika majimbo ya Unguja na Pemba kufikia uamuzi wa endapo kishiriki kwenye Serikali ya Umoja. “Chama bado kinaendelea na vikao vyake kuhusu...
  18. M

    Video: Halima Mdee alipokamata kura feki Jimboni kwake

    Dada yetu Halima Mdee 1. Hivi unajua ni kiasi gani umewadharau wananchi wa Kawe maelfu kwa maelfu ambao kura zao kwako hazikuheshimiwa isipokuwa tu uamuzi wa Ndugai mtu mmoja eti ndo ukakuingiza bungeni? 2. Unajua ni kwa kiasi gani umehalalisha haramu, ambayo uliishuhudia kwa macho yako na...
  19. G Sam

    Hatukuwapa kura ili mkaendelee kushibisha matumbo yenu bali msimame kidete kutetea haki na uhuru wa kweli. Kwa hili hamvumiliki!

    Haiingii akilini eti mtumie kura zetu tulizowapa kwa jasho na damu mkashibishe matumbo yenu. Eleweni kuwa sisi tulishaapa kuwa katu hatutotambua kile kilicholetwa kama matokeo! Hatutatambua watu wao wala matendo yao! Niliyaona kwa macho yangu yale yaliyotokea. Leo unaenda kula kuku? Haiingii...
Back
Top Bottom