Rúben de Almeida Barbeiro (born August 21, 1987 in Leiria), better known by his stage name KURA, is a Portuguese electro house DJ and record producer. Kura has released tracks through labels such as Hardwell's Revealed Recordings, Flashover Recordings, Musical Freedom, and Spinnin' Records, among others.
Wakati kura zikiendelea kuhesabiwa kufuatia Uchaguzi Mkuu nchini Marekani, mtandao wa Twitter umetoa tahadhari kuhusu chapisho la Rais wa Marekani, Donald Trump alilochapisha katika mtandao wake wa kijamii wa Twitter akiwashutumu wapinzani wake (Joe Biden) kuiba kura.
Trump aliandika...
Mzuka wanaJF!
Yani gauni tu gharama yake ni zaidi ya kiwanja, zaidi ya IST ada za shule za watoto kadhaa. Wote tu tutarudi mavumbini. It's fundamentally wrong and totally unacceptable to spend 5000 sterling pound on just a dress.
Katika uchaguzi wa rais uliofanyika Cote d'Ivoire siku ya Jumamosi, tume ya uchaguzi ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi imemtangaza Rais Alassane Ouattara kuwa mshindi kwa asilimia 94.27 ya kura zote zilizopigwa
Tume ya Uchaguzi ya Ivory Coast imetangaza Alassane Outtara kama mshindi wa uchaguzi...
Maajabu ya uchaguzi yanaendelea, Lipumba akiwa anaongea na vyombo vya habari ameshangazwa na kitendo cha mgombea ubunge jimbo la Temeke kupitia chama anachokiongoza cha CUF, Zainab Mndolwa kuambulia kura sifuri kwenye kituo ambacho yeye na wana-familia saba walienda kupiga kura.
Lipumba amesema...
Marekebisho ya katiba yamepitishwa kwa asilimia 66.8 ya kura zilizopigwa na robo ya wananchi waliojiandikisha kushiriki kwenye zoezi la upigaji kura nchini Algeria.
Akizungumza na waandishi wa habari leo hii, Mwenyekiti wa Tume Kuu ya Uchaguzi ya Algeria Muhammed Shurfi alisema kuwa pingamizi...
Ni juzi tu Rais Trump kapata nyomi la watu elfu 57 lakini hutakuja kusikia CNN wala MSMBC, n.K wakiripoti hivi vitu.
Kwa ukweli ni kwamba Wamarekani wenggi wameacha kufatilia main stream media, watu wengi wanaofatilia hizi media ni raia wa nje ya marekani wakiwemo Watanzania wa humu Jamii...
Natamani hapa nilipo ningeletewa mashekhe,wachungaji,mapadre na waganga wakienyeji waniapishe ili nikisema uongo basi nguvu za kiroho za kokote baina yao zinihukumu.
Hapa mtaani kwetu tuna chama chetu cha kufa na kuzikana na huwa tunagawana madaraka kila baada ya miaka mitano.Kwenye uchaguzi wa...
Kufuatia kauli aliyotoa bwana Polepole kuwa CHADEMA walichapisha kura fake ili kuchafua uchaguzi, ni vyema CCM ikawashtaki hawa CHADEMA kwa kutenda kosa hilo la jinai.
Kama ambavyo CCM imekuwa ikijinasibu kuwa ipo kwa ajili ya kupigania maslahi ya wananchi wanyonge ni vyema sasa ikaonesha kwa...
Mitandao ya kijamii ni eneo pana na lenye kuweza kuwekwa picha mbambali za video iwe za miaka ya nyuma, miaka hii au hivi karibuni.
Kwasababu la kiusalama inawezekana kabisa kuzuia mitandao isiwezeshe video za namna hii kutumika kueneza uchochezi na uvunjifu wa amani katika nchi yetu bila...
Yani kuacha Magufuli na Lissu, unakuja kugundua kuwa mshindi aliyeshika nafasi ya tatu kati ya hao 15 ni kura zilizo haribika. Yani zaidi ya kura laki mbili ziliharibika. Ni kura nyingi kuliko za mgombea Ibrahim Lipumba ambaye alizunguka nchi nzima kuomba kura.
Ni kura nyingi kuliko kura za...
Takwimu za tume ya Taifa ya uchaguzi zinaonyesha wapiga kura waliopiga kura upinzani ni takribani milioni tatu kati ya milioni kumi na tano waliojitokeza na kati ya milioni 29 walioandikishwa.
Pamoja na watanzania hawa kuwa wachache kwa msingi wa tume ya uchaguzi ila mtaani inaonekana nguvu yao...
Kama nilivyosema katika uzi wangu wa asubuhi ya leo,mpaka muda huu viongozi hawa wako kimya kabisa licha ya Magufuli kutangazwa mshindi wa kitu cha urais.
Inawezekana chama kinajiandaa kutoa tamko rasmi wakati wowote ule, ila bado nilitarajia kutokana na furaha ya ushindi, mmoja wa viongozi...
Habari watani wetu wa jadi..!
Ndugu zangu w upinzani naomba niwakumbushe matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, kipindi ambacho Chadema ilikubalika chini ya Dr. slaa n ndio kipindi ambacho CCM ilichokwa.
1. KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO: 96, 933 (1.12%)
2. KIKWETE JAKAYA MRISHO/CCM...
MATOKEO RASMI YA JUMLA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Idadi ya wapiga kura waliojiandikisha ni 29,759,699
Wapiga kura waliojitokeza Kura ni 15,910,950
Idadi ya kura halali ni 14,830,195
Idadi ya Kura zilizokataliwa ni 261,755
Kura Walizopata Wagombea
Dkt John Pombe Magufuli wa...
MATOKEO - LIVE:
Wakuu,
Tunawaletea matukio na matokeo rasmi kwa nafasi ya Urais kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC kama yatakavyokuwa yakitangazwa.
Orodha rasmi ya wagombea wanaowania Urais kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Kama ilivyo kwenye karatasi ya kupigia kura)
1...
bunge
ccm
chadema
ded
kampeni
kura
lissu
maendeleo
magufuli
matokeo
mshindi
rais
rais magufuli
tanzania
tundu lissu
ubunge
uchaguzi
uchaguzi mkuu
uchaguzi mkuu 2020
upinzani
urais
ushindi
vyama
vyombo vya habari
watanzania
zitto
Yafuatayo yatafuata ndani ya miaka mitano ijayo 2020-2025.
1. Madeni yahusianayo na miradi mikubwa ya maendeleo kuwaelemea Watanzania. Miradi hiyo kukwama kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo Riba au kutokukopesheka.
1a. Kuwalalamikia wapinzani kama chanzo cha kukwama miradi hiyo ilihali kila...
MREMA NA MAENDELEO YA VUNJO 2010 - 2015
UTANGULIZI
Awali ya yote napenda kumshukuru mwenyezi mungu aliyenipa uhai, afya na nguvu kuweza kuwatumikia wananchi wa Jimbo la Vunjo kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita, napenda kuwashukuru wananchi wote wa Jimbo la Vunjo, kwa ushirikiano mkubwa walionipa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.