Mwita Waitara apokelewa na maelfu ya wapiga kura wake, hii ni uthibitisho kuwa aliiangusha ngome ya CHADEMA Tarime

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,273
6,637
Mbunge wa tarime vijijini na naibu waziri wa ujenzi amelakiwa na wapiga kura wake huku wakisema ni mbunge wa kuigwa na kutiliwa mfano, tofauti na mtangulizi wake aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo kupitia Chadema. Hii ni uthibitisho kuwa ushawishi wake na nguvu zake kisiasa ziliisambaratisha ngome ya Chadema.

IMG_20210418_113111.jpg
IMG_20210418_113119.jpg
IMG_20210418_113125.jpg
 
Mbunge wa tarime vijijini na naibu waziri wa ujenzi amelakiwa na wapiga kura wake huku wakisema ni mbunge wa kuigwa na kutiliwa mfano, tofauti na mtangulizi wake aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo kupitia Chadema. Hii ni uthibitisho kuwa ushawishi wake na nguvu zake kisiasa ziliisambaratisha ngome ya Chadema
View attachment 1755278View attachment 1755280View attachment 1755281
Huo ndiyo umati? Hao ni wana ukoo wake tu. Huyu alipewa ubunge wa kura za kwenye mabegi. Magufuli alituharibia Taifa letu sana asante Mungu kumuondoa kwenye uso wa nchi
 
Mbunge wa tarime vijijini na naibu waziri wa ujenzi amelakiwa na wapiga kura wake huku wakisema ni mbunge wa kuigwa na kutiliwa mfano, tofauti na mtangulizi wake aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo kupitia Chadema. Hii ni uthibitisho kuwa ushawishi wake na nguvu zake kisiasa ziliisambaratisha ngome ya Chadema
View attachment 1755278View attachment 1755280View attachment 1755281
Waitara hajawahi kukubalika Tarime since 2010 alinyimwa ubunge hta bila kura kuibwa tukapoteza jimbo kwa poor strategy na kampeni za kikoo.

Heche na matiko ni senior figures hapo sijaona wa kuwaangusha zaidi ya ubabe kutumika tu. Ngoja M4C itue hapo ndio utaelewa maana ya nyomi.

Mimi nimepita serengeti kule CCM haikubaliki kabisa mkaengua wagombea karibu wote ili mbebe wilaya but kiukweli Mara wameshaichoka CCM huo ni ukweli ndio maana JPM aliishia kuwatisha wapiga kura kuwa atawanyima miradi wakirudisha upinzani.
 
Waitara hajawahi kukubalika Tarime since 2010 alinyimwa ubunge hta bila kura kuibwa tukapoteza jimbo kwa poor strategy na kampeni za kikoo...
Maneno kama haya kila baada ya uchaguzi huwa lazima wapinzani wayatamke.
 
Maneno kama haya kila baada ya uchaguzi huwa lazima wapinzani wayatamke.
Kila uchaguzi? Tarime miaka yote ni ngome ya upinzani tokea miaka ya 90 hilo lipo wazi.... Hilo jimbo CCM walibeba 2010 na kelele zikawa nyingi sana ila 2015 likagawanywa na bado yakabebwa na upinzani na halmashauri ikabebwa.

So hata 2025 yatarudi tu CHADEMA maadam uchaguzi utakua fair walau kma 2015 na 2010!

Ni mpumbavu tu anayeweza kuamini majimbo yote yaliichagua CCM hiko kitu hakipo duniani kote hata Mandela na umaarufu wote ule alishinda kwa 60% pekee na bado makaburu yakazoa viti zaidi ya 80!! Demokrasia ni two way traffic
 
Back
Top Bottom