Habari Wakuu
Binafsi naona nchi ile iliacha kupata viongozi kwa maana sifa za Uongozi mwaka 2015
Waliofatia wote,kila mtu anajionea. Wamekuwa wakali, hawana uvumilivu, hawana subira,hawataki kusikiliza maoni, hawataki kukosolewa, wapinzani cha moto wanakiona, visingizio na malalamiko mengi...