Kama Gwanda unalo semaWewe jamaaa tafuta pesa,
🤣🤣🤣watu wanapenda kitongaWewe jamaaa tafuta pesa.
Nunua kitambaa, shona kuanzia soksi, boksa, vest, mkanda wa suruali na full combatBaada ya zuio kuondolewa naomba mtu mmoja anisaidie kupata gwanda la chadema suruali +shati+ kofia,
Ama hata kimojawapo
Karibu PM tuyajenge Kwa aliye tayari