Waziri Kabudi amekuja US kukutana na wawakilishi wa serikali ya Trump na World Bank.
Kwenye World bank alikuja kwa unyeyekevu na kuwahakikishia bank kwamba Tanzania itaweka shule maalumu za kulinda watoto waliopata mimba na hii wamehakikisha kapiga sahihi kabisa.
Pili amepeleka ujembe kutoka kwa Magufuli kwenda kwa Trump kuhusu uchaguzi huru, haki za binadamu na mambo mengine ambayo yamefanya Tanzania kwa mara ya kwanza kuingizwa kwenye list mbaya wa wananchi wake kusafiri kwenda US.
Kiukweli kabisa hii ziara ni ziara ya kuomba msamaha na kujaribu kurudisha uhusiano ambao Kikwete na Mkapa waliutengeneza.
Zile sera za kibabe na kuita watu mabeberu tunashukuru Kabudi ameona mwenyewe hazitupeleki mbele. Lakini amejua ukweli kwamba Dunia ni ndogo tuangalie Corana virus wote tupo kama binadamu ikipatikana kinga ambayo kampuni ya US inatengeneza ni ya Dunia nzima sio ya mabeberu pekee.
Hongereni kwa kujali taifa na kuanza kukutana na upinzani naona Magu kaona ukweli.
Kwenye World bank alikuja kwa unyeyekevu na kuwahakikishia bank kwamba Tanzania itaweka shule maalumu za kulinda watoto waliopata mimba na hii wamehakikisha kapiga sahihi kabisa.
Pili amepeleka ujembe kutoka kwa Magufuli kwenda kwa Trump kuhusu uchaguzi huru, haki za binadamu na mambo mengine ambayo yamefanya Tanzania kwa mara ya kwanza kuingizwa kwenye list mbaya wa wananchi wake kusafiri kwenda US.
Kiukweli kabisa hii ziara ni ziara ya kuomba msamaha na kujaribu kurudisha uhusiano ambao Kikwete na Mkapa waliutengeneza.
Zile sera za kibabe na kuita watu mabeberu tunashukuru Kabudi ameona mwenyewe hazitupeleki mbele. Lakini amejua ukweli kwamba Dunia ni ndogo tuangalie Corana virus wote tupo kama binadamu ikipatikana kinga ambayo kampuni ya US inatengeneza ni ya Dunia nzima sio ya mabeberu pekee.
Hongereni kwa kujali taifa na kuanza kukutana na upinzani naona Magu kaona ukweli.