Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha CHAUMA, Hashimu Rungwe amejikita katika ahadi ya kuhakikisha watanzania wanapata lishe bora kwanza, wali-kuku imekuwa ndio kibwagizo chake, na amekuwa akijitahidi kulitekeleza hilo kwa vitendo kwenye kampeni zake kwa kuleta kweli wali na kuku, na wananchi...
Mwaka huu(2020) mwanzon niliamua kuanza ufugaji wa kuku chotara. Niliamua kuanza na kuku 120. Nlinunua vifaranga wa mwez mmoja
Changamoto
Magonjwa, hii ilkuwa changamoto ndogo magonjwa hayakuwa meng. Niliweza kuyatibu kwa wakati Ukuaji, niliambiwa wataanza kutaga wakifikisha miez minne.. lakn...
Najaribu kujiwekea Akiba ya hivi visenti vyangu kwa kuangalia tofauti ya taasisi mbali mbali. Kitu kinachonishangaza ni kwamba utaratibu wa mamlaka kutoa elimu ya kwenye haya masoko ya hisa imekuwa mgumu binafsi nimekwenda zaidi ya mara kadhaa DSE na UTT ila kiukweli sijaelewa chochote mbaya...
Juzi hapa China ilikuta kwamba baadhi ya mifuko ya kuku na kamba ilikutwa ina wadudu wa Corona (Covid-19). KIlichofuata ni kwamba serikali ya China ilianza kujiuliza maswali mengi kuhusu jinsi gani hao wadudu waliingia kwenye kuku na kamba ambavyo viliagizwa kutoka nchi ya Brazil.
China...
Wakuu nimekula mayai ya kienyeji nimetosheka, sasa nahitaji niyabadili kuwa vifaranga ili nifuge kuku.
Naomba anaetoa huduma tajwa hapo juu kwa Dodoma anijulishe nimletee mayai anitotoleshee. Ahsante.
Kuna mtu anajiita JATU na yeye ana model kama ya Mr kuku, ile ya kwamba toa pesa ulimiwe na uvuniwe.
Huyu JATU kawavuta watu wengi sana mara mashamba Kitetto mara Morogoro.
Model anayo tumia ni ya upatu ni Pyramid ambapo watu wa mwanzo hufaidika ili kuvuta watu wa mwesho ambao huja kuwa...
Watu ambao wana comment negatively ni kwa sababu ya kutokua na uelewewa na concept mpya ya crowd farming.
Crowd farming ni kuanzisha kilimo aidha cha matunda au ufugaji wa kuku au ngombe nk. lakini kwa kushirikisha wadau wa kawaida kama Mimi na wewe ambao hatuna muda wa kusimamia ufugaji na pia...
Jatu LIMITED COMPANY ni kampuni ya umma inayowaunganisha wakulima na kuwawezesha kulima kisasa na baada ya mavuno kampuni hununua mavuno yote na kuandaa bidhaa ambazo huuzwa kwa mawakala na wanachama wa JATU kwa mfumo maalumu unaomhakikishia mteja gawio la faida kila mwezi.
Pia ni kampuni...
Corona inawafinya kisawasawa hawa.
======
Businessman turns school into poultry farm as Covid-19 bites
A businessman in Kirinyaga County has converted his private school into a poultry farm as Covid-19 pandemic wrecks havoc in the education sector.
Joseph Maina, the proprietor of...
Mwanaume wa miaka 33, mkazi wa Lira, Uganda anashikiliwa na polisi baada ya kuwaua ndnguze waliomtuhumu kuiba kuku na redio
Mtu huyo alimkataka mjomba wake, Jackson Olong na alimshambulia mke wa mjomba wake na kumkata koromeo. Mtu huyo aliwalaumu nduguze kwa kuchafua jina lake kuwa amewaibia...
Amesema Rais Magufuli huku akiwa ameshatangazwa kuwa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM kwenye Uchaguzi wa Oktoba 2020 ametoa rushwa Wilayani Kibiti kwa mujibu wa Fomu ya Kuweka Mapingamizi dhidi ya Mgombea Urais Amesema Rais Magufuli alipokuwa akigawa fedha kwa ajili ya madawati na shule...
Inawezekana hii ni mojawapo ya sababu ya kujitokeza mamia ya watia nia kwenye kura za maoni kwenye kiti cha mgombea urais 2015, urais Z'bar 2020 na ubunge 2020, sio kukua kwa demokrasia kama inavyodaiwa na viongozi mbali mbali wa CCM.
Je, tunafikiri viongozi watangulizi walikuwa hawapewi...
Chama cha Sauti ya Umma (SAU) kimesema kina sera ya kuboresha maisha ya Mtanzania kwa kuhakikisha Mtanzania anakula lishe bora, ili mtu aweze kula kuku mzima na kama anakunywa chai basi aweze kuwa na siagi, matunda, mayai na mboga.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Moshi Mjini kupitia SAU amesema...
Habari wadau wa JF,
Wamiliki wa Samaki samaki waja na brand nyingine ya migahawa yao inayojulikana kama KUKU KUKU,mainly chakula chake kitakuwa Kuku Choma,Kuku Mchemsho etc
Nawasilisha.
Uko uzi umu watu walikuwa wanauliza kama ule uwekezaji wa kuku uko vizuri ili wajiunge.
Kama uko hapa jukwaani na umelizwa ni vizuri utupe mrejesho. Hii "story" huwezi kuisikia sana sababu watu wengi wanaolizwa mahela mengi mchana kweupe katika hizi fursa za uwekezaji ambazo zina "trend"...
Mahitaji (Kutumiwa na watu wa 4)
・Mapaja 2 ya kuku (gramu 500)
・1/2 kijiko kidogo cha chumvi (gramu 2.5)
・Pilipili manga kwa ajili ya kutia ladha
・Vijiko vikubwa 2 vya sosi ya soya (mililita 30)
・Vijiko vidogo 2 vya maji maji ya tangawizi (mililita 10) juice ya tangawizi kamua.
・Unga wa ngano...
Wadau habari za usiku. Najua JamiiForums ni kisima cha maarifa, naomba ushauri kwa anayefahamu. Nina miti yangu ya matunda nataka kuotesha, nyumbani ninayo mbolea ya kuku (mavi ya kuku) nilitaka niitumie ila kuna watu wameniambia kuwa si nzuri kama ya mbuzi au ng'ombe, wanasema eti inainguza...
Mahitaji
Nyama ya Kuku
Viazi/mbatata - 3
Kitunguu maji - 1
Kitunguu saumu(thomu/galic) - 5 chembe
Pilipili mbichi - 2
Nyanya ya kusaga - 1 kijiko cha chai
Pilipili manga ya unga - ½ kijiko cha chai
Haldi/tumeric/bizari ya manjano - ¼ kijiko cha chai
Mafuta ya zaytuni - 2 vijiko vya supu...
Nauza majogoo ya kienyeji tsh 15,000 na majogoo mengine yenye uzito wa kilo 2 yanapatikana kwa tsh 23,000 . Napatikana morogoro mjini kwa mawasiliano unaweza kunipata kwa namba 0622482679 . Plz support my hustle 🙏 WAPO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.