chai ya rangi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2026
- 1,039
- 3,084
Mwanzo nilikua najua kwamba ili kuku watage mayai lazima wawe wamepandiwa na jogoo, nilikua na amini hivyo kwa miaka na miaka hadi siku za karibuni
Kiuhalisia ni kwamba kuku anataga kwa mzunguko wake wa kawaida hata bila jogoo lakini mayai yake hayataweza kutotolewa bila jogoo
Hicho ndo kitu nilichokigundua na nikashangaa sana kwamba nimekaa miaka yote na kuku bila kujua nikajua na watu wengi pia watakua hawajui hili ndo maana nime amua ku share
Kiuhalisia ni kwamba kuku anataga kwa mzunguko wake wa kawaida hata bila jogoo lakini mayai yake hayataweza kutotolewa bila jogoo
Hicho ndo kitu nilichokigundua na nikashangaa sana kwamba nimekaa miaka yote na kuku bila kujua nikajua na watu wengi pia watakua hawajui hili ndo maana nime amua ku share