Iwambi siyo kwa kujenga nyumba! Nyumba kubwa hata milion 15 nimekosa

Iwambi siyo kwa kujenga nyumba! Nyumba kubwa hata milion 15 nimekosa

Nilinunua kiwanja iwambi changanyikeni mwaka2016.
Nikajenga na nyumba ila miaka kumi inayo hata milion 15 pesa ya kununulia madafu Iringa nimeshindwa kuuza.

Iwambi mbeya hapana kwa kweli.
Ingekua Arusha ingekua milion 200
 
Nilinunua kiwanja iwambi changanyikeni mwaka2016.
Nikajenga na nyumba ila miaka kumi inayo hata milion 15 pesa ya kununulia madafu Iringa nimeshindwa kuuza.

Iwambi mbeya hapana kwa kweli.
Ingekua Arusha ingekua milion 200
 
Nilinunua kiwanja iwambi changanyikeni mwaka2016.
Nikajenga na nyumba ila miaka kumi inayo hata milion 15 pesa ya kununulia madafu Iringa nimeshindwa kuuza.

Iwambi mbeya hapana kwa kweli.
Ingekua Arusha ingekua milion 200
Weka picha ya mjengo tujiongeze mkuu.

Kuna matajiri wananataka kuja kujificha mbali na watekaji huko 😂😂
 
Nilinunua kiwanja iwambi changanyikeni mwaka2016.
Nikajenga na nyumba ila miaka kumi inayo hata milion 15 pesa ya kununulia madafu Iringa nimeshindwa kuuza.

Iwambi mbeya hapana kwa kweli.
Ingekua Arusha ingekua milion 200
Pole mkuu,hata Mbeya.Dodoma hiyo ungekuwa tajiri sana,Mimi nimejenga nyumba hapa Dodoma Kuna mtu anataka kunipa m150!Wife anakataa wakati najenga hata m10 haifiki pamoja na kiwanja,umeme,maji,mafundi,mwaka 2003.
 
Iwambi ipi hiyo unayozungumzia mzee? Au kule jirani na seminarini? Katika sehemu mbeya viwanja na nyumba zimeshika hela basi ni Veta, Iwambi, new forest na isyesye
Nilinunua kiwanja iwambi changanyikeni mwaka2016.
Nikajenga na nyumba ila miaka kumi inayo hata milion 15 pesa ya kununulia madafu Iringa nimeshindwa kuuza.

Iwambi mbeya hapana kwa kweli.
Ingekua Arusha ingekua milion 200
 
Iwambi ipi hiyo unayozungumzia mzee? Au kule jirani na seminarini? Katika sehemu mbeya viwanja na nyumba zimeshika hela basi ni Veta, Iwambi, new forest na isyesye
Zimeshika Hela unamaanisha nini mkuu?
 
Nilinunua kiwanja iwambi changanyikeni mwaka2016.
Nikajenga na nyumba ila miaka kumi inayo hata milion 15 pesa ya kununulia madafu Iringa nimeshindwa kuuza.

Iwambi mbeya hapana kwa kweli.
Ingekua Arusha ingekua milion 200
Gentleman,
jenga nyumba nyingi kadiri uwezavyo popote Tanzania na huna haja ya kuja kunishukuru baada ya kupata mafanikio ya kushangaza sana kiuchumi, muda mfupi tu ujao.

hizo ni assets za kuondoa umaskini kwa ukoo mzima, pakiwa na mkakati mzuri na malengo mahususi kiuchumi 🐒
 
Gentleman,
jenga nyumba nyingi kadiri uwezavyo popote Tanzania na huna haja ya kuja kunishukuru baada ya kupata mafanikio ya kushangaza sana kiuchumi, muda mfupi tu ujao.

hizo ni assets za kuondoa umaskini kwa ukoo mzima, pakiwa na mkakati mzuri na malengo mahususi kiuchumi 🐒
Tlaahtlaah katika mbili na moko!
 
Back
Top Bottom