Nimemsikiliza,
Kwa haraka haraka kuna vitu viwili au vitatu vinakuja ukiwa unamasikiliza kwa hotuba ya leo.
👉kwanza, anajibizana na wakina mama wenzie, hapa naongelea Mange na Maria Sarungi. Ni wazi ndio anaojibizana nao na hata ukiangalia video ya Mange muda mfupi baadae unaona kabisa hawa...