CCM bado inamuenzi hayati Julius Nyerere na vizazi vya akina hayati JPM kulinda ustawi wa taifa letu.
Au CCM imegeuka kuwa Chama cha mafisadi na sasa inaendeleza kutafuna mali za umma.
Maana yake nini? Mama Samia amerudisha CCM ile ya Kagoda, Meremeta, Symbion n.k?
My take; CCM inatakiwa iwe...