Yani na ushujaa wote huo bado unawalaumu halafu sikiliza hizo sauti Yani alitaka kujiuwa mbele ya rais.
Hizi takwimu zenu peleka kule... acheni kukaririshwa mambo ya ovyoTuna lakujifinza, watu wamechanganyikiwa na utafiti upo wazi kwa kila watanzania 4, ...... basi watatu vichaa isipokuw mmoja
Yaani 3/4 ni vichaa na 1/4 salama
Yaani robotatu vichaa na robomoja ndio salama
Ili ujiunge na Jeshi la Polisi, lazima uwe UMEFAIL kuanzia DIV 4 ya 28. Nadhani hadi hapo unaelewa kwa nini wanafanya hivyo!pamoja na kurisk maisha yao lakini kitendo walichofanya ni cha kijinga na kinazidi kutuacha uchu kama primitive society....
Mhusika hakuwa na nia ya kujiua bali alikuwa anatania, kitendo cha hao askari kumpandia juu na yeye alikuwa na nia ya kufa si angekuwa tayari ameshajiachia?... askari walipata wapi ujasiri wa kumpandia mtu anayehitaji kujiua na ambaye ukionyesha tu nia ya kumfuata basi atajiachia....? tayari mhusika amekubali kushuka kwa nini uanze kumcharaza mikanda huko juu, na kwanini umpige wakati sheria zipo?
Askari wetu wanahitaji mafunzo ya hali ya juu pamoja na motisha ili waweze kufanya kazi zao kwa ufanisi pasipo kuleta madhara....uwezo wao wengi wao uko chini ya mahitaji kwenye jamii..
Hao maaskari akili zao ndogo kabisa,yaani hawana taaluma ya uokoaji wa wa suicide misions.niulize why so?Angalia hii video halafu Tia neno la pongezi kwa Hawa Askari.
Hizi takwimu zenu peleka kule... acheni kukaririshwa mambo ya ovyo
Yaani hapa nilipo achilia mbali washkaji wanne niliokaa nao hapa bali hata majirani zangu wote wapo fresh kabisa hakuna mental retarded kabisa halafu leo mtu aje from the blue eti robotatu sijui nini nini... alaa!
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Shida inaanzia kwenye mfumo wa malezi yetu waafrika.Watoto ulelewa kwa kipigo na sio kufunzwa.So mtoto anaogopa kipigo na sio kifunzo.pamoja na kurisk maisha yao lakini kitendo walichofanya ni cha kijinga na kinazidi kutuacha uchu kama primitive society....
Mhusika hakuwa na nia ya kujiua bali alikuwa anatania, kitendo cha hao askari kumpandia juu na yeye alikuwa na nia ya kufa si angekuwa tayari ameshajiachia?... askari walipata wapi ujasiri wa kumpandia mtu anayehitaji kujiua na ambaye ukionyesha tu nia ya kumfuata basi atajiachia....? tayari mhusika amekubali kushuka kwa nini uanze kumcharaza mikanda huko juu, na kwanini umpige wakati sheria zipo?
Askari wetu wanahitaji mafunzo ya hali ya juu pamoja na motisha ili waweze kufanya kazi zao kwa ufanisi pasipo kuleta madhara....uwezo wao wengi wao uko chini ya mahitaji kwenye jamii..
Kabisa inaonekana jamaa hasikilizwiProblem Attention
Namna ya kutaka kusikilizwa shida zako ikiwa umetumia kila njia ila mamlaka haitaki kukusikiliza
Hii ni mbinu ya mwisho ya kivita na ukikosea hata kidogo basi utaliwa kichwa
Yaah! That's allKabisa inaonekana jamaa hasikilizwi