Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
CCM bado inamuenzi hayati Julius Nyerere na vizazi vya akina hayati JPM kulinda ustawi wa taifa letu.
Au CCM imegeuka kuwa Chama cha mafisadi na sasa inaendeleza kutafuna mali za umma.
Maana yake nini? Mama Samia amerudisha CCM ile ya Kagoda, Meremeta, Symbion n.k?
My take; CCM inatakiwa iwe ileile ya enzi za Hayati Julius Nyerere.
Au CCM imegeuka kuwa Chama cha mafisadi na sasa inaendeleza kutafuna mali za umma.
Maana yake nini? Mama Samia amerudisha CCM ile ya Kagoda, Meremeta, Symbion n.k?
My take; CCM inatakiwa iwe ileile ya enzi za Hayati Julius Nyerere.