Huu mchanganyiko ni mkubwa sana kwa Mawaziri, Manaibu, Makatibu Wakuu, Manaibu, Wakuu wa Mikoa na Wilaya, Wakurugenzi na Wabunge ambao wanajua hawakuweza kutembea ilibidi wabebwe.
Wengi watarudi kwa Waganga na wengine Nyumba za Ibada kuomba Ghofilo kwa yale waliyopata nena na kutenda. Wakiomba...