kubwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sababu kubwa zinazo pelekea sisi wa mikoani kufanikiwa Dar es Salaam

    Habari zenu ndugu zangu wa JF kwa utafiti wangu niliofanya kwa nini sisi wa mikoani tunafanikiwa sana hapa Dar ni kama zifuatazo.. Wenyeji wavivu hawapendi kazi ngumu sisi wa mikoani kazi ngumu kwetu ni kama kumsukuma mlevi. Malezi imara sisi wa mikoani tuna malezi imara na kuheshimu jamii...
  2. Tatizo kubwa hapa ni elimu yetu na pia hao walio mfanyia tathmini ya ajira huyu afisa wa serikali

    Kama stakabadhi ya ofisi ya serikali Ina makosa ya kiuandishi namna hii, tena kwa lugha ya taifa. Hii inaashiria nini?
  3. Akili kubwa - Brilliant Kenyan Students Bag Cash in Global Competition For Unique Innovation

    JKUAT students, Michael Mwaisakenyi and Ken Gicira at 2020 Imagine Cup Competition in March 2020 FILE Two Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology (Jkuat) students have bagged Ksh828,000 after trouncing nine other students from African, Middle-Eastern and European countries...
  4. Mfano tumechukua Nchi Tuanze na nani kumfukuza kwenye taasisi kubwa?

    Nafamu upepo sio mzuri na mpaka muda huu Kuna people zinapumlia mashine. Mm mwaka huu ata watu wote wakatae barabarani nitaingia. Miaka 30 ya umri wangu elimu yangu unaenda kufanya interview ya kazi serikalini unawapita wote Ila wakigudua una kadi ya upinzani wanakuengua. This time around...
  5. GE2020 Tundu Lissu: Wito wa Polisi siyo barua ya kirafiki, Nitaendelea na ratiba yangu ya kikao na mabalozi

    Tundu Lissu katika Ukurasa wake wa Twitter, ameweka Barua ya Polisi na kuandika Maneno haya "Wito wa polisi sio barua ya kirafiki, ni amri ya kisheria. Wito huo unatakiwa kueleza kosa la mtuhumiwa. Barua hii haielezi kosa ninaloitiwa na imepelekwa kwa Mwenyekiti wa chama. Huu sio wito wa polisi...
  6. Chadema acheni kulalamikia kauli zinazodhilisha kukiri kushindwa kwenye nafasi ya uraisi. Jibuni hoja kwa kutumia Akili kubwa.

    Naona mnalalamika Sana kauli za mgombea anayejiamini kushinda kuwa akiwekewa mtu wa chama kingine haleti maendeleo. Kampeni Ina Visa na Mikasa yake. Kulalamikia kauli hizo NI kukili hamta shinda nafasi ya Uraisi. Kwanini mnakili hivyo Sasa. Lazima muwe na watafiti wa kubaini NI Sera au kauli...
  7. Kuondoka kwa Mzee Mkapa ni pigo kubwa sana kwa Serikali ya CCM

    Heshima kwenu wanajamvi. Wakati huu ambao bado machungu ya kuondokewa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tau Mzee Mkapa hayajaisha, naona ndani ya CCM wana wakati mgumu sana kwani Mzee mkapa ndiye aliyekuwa kama nguzo kwa huyu mgombea anayetetea nafasi kwa mara ya pili. DALILI ZOTE ZINAONESHA KUWA...
  8. Akili kubwa - Forbes Honours 28-Year-Old Kenyan Woman Building International Energy Empire

    WEX Africa founder Ogutu Okudo poses with a trophy at the Women in Energy Awards gala in Nairobi in 2018 FILE JERICONSULTING.COM A 28-year-old Kenyan woman, Ogutu Okudo, is among big names from across the continent featured in Forbes Africa's 30 Under 30 List for 2020. Okudo is the founder and...
  9. Akili kubwa - 5 Kenyans Selected for Ksh5B Ford Global Fellowship Program

    From left: Teresa Njoroge (a criminal justice reform advocate), Wawira Njiru (CEO Food4Education) and Nanjira Sambuli (Political analyst & researcher) Five Kenyans were on June 1, 2020, selected to join the Ford Global Fellowship run by the Ford Foundation - an American private foundation with...
  10. Akili Kubwa - Nyeri company - Ekas to start making phones

    Kampuni hii ya Nyeri ambayo hutengeneza "speed governors" sasa inaanza utengenezaji wa simu za rununu.. Kenya yasonga mbele ========= Wambugu Nyamu is a tech builder and the proprietor of Ekas Technologies Limited based in King’ong’o, Nyeri County. The 53-year-old holds a Bachelor of...
  11. Akili Kubwa - Kenyan engineers recycling plastic using own machines

    Hizi mashine wanazotumia wamejitengenezea wenyewe... "plastic extruder machine" pana machezo kaka
  12. Hizi ndizo sababu kubwa...

    Jana nlienda mtembelea jamaa yangu alikuwa na issue ya kumtandika kisawasawa mke wake. Nlishangaa sababu jamaa alikuwa kiukweli ni mpole sana. Mara nyingi ukienda home kwake yeye ndo utamwona anahangaika kukuhudumia vinywaji chakula n.k mkewe anacheck tu movie au anachezea simu. Nisiwachoshe...
  13. IGP wewe ni mzoefu katika hiki chombo sasa ni wakati wa kutumia weledi japo kuna shinikizo kubwa

    Habari IGP Sirro. Matumaini yangu nikuwa huwa naamini katika utendaji wako uko makini! Na mbaya zaidi hiki chombo cha Polisi unakielewa vizuri sana kwa kuzingatia wewe umepitia ngazi mbali mbali katika jeshi hili!,Umekuwa ukifanya kazi kwa weledi sana. Mimi nitoe Rai kwako hasa katika kipindi...
  14. Kusema uwongo (purjury) ni kosa kubwa sana (felony) hapa duniani na mbinguni. Je, Wagombea wana kinga ya kosa hili?

    Kusema na kueneza uwongo hapa hasa ukiwa chini ya kiapo ni kosa kubwa sana (felony) kwenye nchi yo yote hapa duniani. Na baya zaidi hasa uwongo huo unaweza kusababisha uvunjifu wa amani. Hata vitabu vitakatifu vya biblia Qurani vinaliorodhesha kosa hili kuwa kati ya dhambi kubwa ambalo adhabu...
  15. GE2020 Upinzani waitumie rasimu ya Jaji Warioba kuisoma hadharani ili kutoa mawazo hasi kwamba mapendekezo ya ilani zao ni mawazo yao binafsi

    Nimeipitia kwa mhutasali rasimu ya jaji warioba, Ni nzuri na imebeba mawazo halisi ya wananchi, nikagundua, ila za vyama makini vya upinzani vimekopy KUTOKA rasimu ya Jaji Warioba. Nashauri wapinzani kuisoma Tena hadharani ili wananchi wakumbushwe tu kuwa, rasmu ya katiba mpya ni nzuri kiasi...
  16. F

    Molinga falcao kusajiliwa na timu kubwa ya Zesco ni aibu kwa ma scout wa Yanga. Mkwassa hii ni aibu kubwa

    Papaa molinga yanga wamemsema sana.. ila timu kubwa ya zesco imeamua kumsajili.. Ikatokea molinga akafanya vizuri zesco.. scout wa yanga pamoja na viongozibmkwassa na msolla watawajibika yanga. Mimi kama mwanayanga sitawaelewa milele.. Maana Kalinyo yule nahisi tumepigwa.
  17. CCM wanatumia gharama kubwa kutafuta wananchi huku wananchi wanatumia gharama kubwa kumtafuta Lissu

    Karibu kila chombo cha Habari kinaonekana kupigia chapuo chama cha Mapinduzi. Gharama Kubwa inaonekana kutumika kwa CCM kutafuta wananchi watakaoipigia Kura CCM. Kinyume chake naona wananchi wanatumia gharama kubwa kumtafuta Lissu popote alipo hasa mitandaoni. Ukikuta Kikundi cha watu kikao...
  18. Uingereza UK Great Britain ndio taifa tata na kubwa duniani

    Amin usiamini uingereza ndio taifa tata zaidi kuliko lolote lile duniani. Hakuna Cha USA Wala Israel baba Yao mkuu Alie domant ni uk. Uingereza ameamua to mkimya na mpole kwenye anga za kimataifa ila kila Jambo kubwa duniani anahusika nalo Yani Yuko behind it. Liwe baya au zuri. Mfano...
  19. Utapeli Kariakoo: Kuna tofauti kubwa sana kati ya kusoma na kuwa na akili nyingi. Kuna watu waliishia darasa la saba (7) tu kwa sababu ya umasikini

    S.hikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Ndugu zangu Watanzania; Kuna tofauti kubwa sana kati ya kusoma na kuwa na akili nyingi. Kuna watu waliishia darasa la (7) tu kwa sababu ya umasikini wa nyumbani kwao wakashindwa kuendelea na masomo. Kuna watu hawajasoma sana (unakuta mtu...
  20. F

    GE2020 Mfumo wa Majimbo wa Lissu na CHADEMA unatumika katika Mataifa na Taasisi kubwa duniani kuleta ufanisi wa kimaendeleo

    Wanangwa, Jana nilikuwa kanisani, mimi ni m- KKKT, na kama mnavyojua KKKT ni moja kati ya Taasisi kubwa sana hapa Tanzania ya kidini. Sasa wakati Mzee wa kanisa anasoma matangazo kikaja kipengele cha mapato, akasoma yote kisha akasema "Baki usharikani ni Tshs kadhaa", pia akataja asilimia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…