Nafamu upepo sio mzuri na mpaka muda huu Kuna people zinapumlia mashine. Mm mwaka huu ata watu wote wakatae barabarani nitaingia. Miaka 30 ya umri wangu elimu yangu unaenda kufanya interview ya kazi serikalini unawapita wote Ila wakigudua una kadi ya upinzani wanakuengua. This time around imekula kwao nasema Tena imekula kwao wafanye watakalo wengine ata baba zetu hatukuwai kuwaona tunaenda kuzeeka na hiki chama? By the way ikitokea tumechukua Nchi Tuanze na wakuu gani wa taasisi kuwagawana.