Chadema acheni kulalamikia kauli zinazodhilisha kukiri kushindwa kwenye nafasi ya uraisi. Jibuni hoja kwa kutumia Akili kubwa.

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
1,657
2,252
Naona mnalalamika Sana kauli za mgombea anayejiamini kushinda kuwa akiwekewa mtu wa chama kingine haleti maendeleo.

Kampeni Ina Visa na Mikasa yake. Kulalamikia kauli hizo NI kukili hamta shinda nafasi ya Uraisi. Kwanini mnakili hivyo Sasa.

Lazima muwe na watafiti wa kubaini NI Sera au kauli zipi zinaleta athari positive kwa wapiga kura.
Muwe na jopo la watu wenye uwezo wa kuchanganua hoja na kumpa hoja mgombea kuijibu hoja zinazotolewa kwa umakini mkubwa. Msimwachie mgombea pekee kutumia Akili yake pekee kujibu kila hoja hataweza.

Naona Kama mnabweteka hivi Kama mrema UCHAGUZI sio lelemama lazma mtumie wiki chache zilizobaki kuhuisha hoja na mbinu za hoja zenu kumfikia na kueleweka vizuri kwa kila mpiga Kura.
 
Naona mnalalamika Sana kauli za mgombea anayejiamini kushinda kuwa akiwekewa mtu wa chama kingine haleti maendeleo.

Kampeni Ina Visa na Mikasa yake. Kulalamikia kauli hizo NI kukili hamta shinda nafasi ya Uraisi. Kwanini mnakili hivyo Sasa.

Lazima muwe na watafiti wa kubaini NI Sera au kauli zipi zinaleta athari positive kwa wapiga kura.
Muwe na jopo la watu wenye uwezo wa kuchanganua hoja na kumpa hoja mgombea kuijibu hoja zinazotolewa kwa umakini mkubwa. Msimwachie mgombea pekee kutumia Akili yake pekee kujibu kila hoja hataweza.

Naona Kama mnabweteka hivi Kama mrema UCHAGUZI sio lelemama lazma mtumie wiki chache zilizobaki kuhuisha hoja na mbinu za hoja zenu kumfikia na kueleweka vizuri kwa kila mpiga Kura.
Hoja zenye afya ya kisiasa kama CHADEMA watatilia maanani.

Tuhuma za Lissu, dhidi ya Magufuli, ambazo kwa mtu yeyote aliyemsikiliza, atabaini ni za chuki binafsi na si za mgombea Urais. Kwa mfano:
√ uchumi kudodora: ni hoja inayoweza kutolewa na mtu ambaye hajui uchumi ni nini. Isitoshe kauli hiyo bila takwimu zinathibitisha uelewa wa Lissu una mashaka;
√ wafanyakazi kutokupata nyongeza: hii nayo ni hoja, ambayo kimsingi nyuma yake ni uchochezi. Haina takwimu za kuthibitisha hilo. Wafanyakazi wahusika watakuwa wanashangaa kusikia tuhuma hiyo;
√ wafanyabiashara kufunga shughuli zao pia haina ushahidi wowote zaidi ya hisia zake Lissu. Kama wafanya biashara wangekuwa wamefunga kwa kiasi anachodai Lissu, hali ya upatikanaji wa bidhaa ingekuwa mbaya sana, wakati ambapo nchi nyingi zimefunga mipaka, zikiwemo nchi jirani;

Hiyo ni mifano michache tu. Hata vitambulisho vya machinga (mada inayoendelea muda huu ITV) wahusika wanalaani sana kauli ya Lissu. Dar yenyewe, pale Kariakoo, wana umoja wenye wanachama zaidi ya 7,000. Iwapo wamejiandikisha kupiga kura ni mtaji wa kura kwa CCM.
 
Naona mnalalamika Sana kauli za mgombea anayejiamini kushinda kuwa akiwekewa mtu wa chama kingine haleti maendeleo.

Kampeni Ina Visa na Mikasa yake. Kulalamikia kauli hizo NI kukili hamta shinda nafasi ya Uraisi. Kwanini mnakili hivyo Sasa.

Lazima muwe na watafiti wa kubaini NI Sera au kauli zipi zinaleta athari positive kwa wapiga kura.
Muwe na jopo la watu wenye uwezo wa kuchanganua hoja na kumpa hoja mgombea kuijibu hoja zinazotolewa kwa umakini mkubwa. Msimwachie mgombea pekee kutumia Akili yake pekee kujibu kila hoja hataweza.

Naona Kama mnabweteka hivi Kama mrema UCHAGUZI sio lelemama lazma mtumie wiki chache zilizobaki kuhuisha hoja na mbinu za hoja zenu kumfikia na kueleweka vizuri kwa kila mpiga Kura.
Sio lazima na wewe uandike thread
 
Back
Top Bottom