Uingereza UK Great Britain ndio taifa tata na kubwa duniani

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,417
30,926
Amin usiamini uingereza ndio taifa tata zaidi kuliko lolote lile duniani.

Hakuna Cha USA Wala Israel baba Yao mkuu Alie domant ni uk.

Uingereza ameamua to mkimya na mpole kwenye anga za kimataifa ila kila Jambo kubwa duniani anahusika nalo Yani Yuko behind it. Liwe baya au zuri.

Mfano

Industrial revolution niwao.
Slave trade abolition niwao.
Israel creation niwao.
USA creation niwao.
Brexit niwao.
Taiwan vs China wapo.
World war one walikuwepo.
World war tu niwao.

Kiufupi uk ndio baba wa dunia muoneni vilevile .

Nitaanza kuwaletea picha zangu binafsi nilizopiga Edinburgh Scotland na pale London ila nutaziedit kidogo sura au mnaonaje......!

Tofauti Kati ya England great Britain Ireland Scotland na Wales najua wengi mnaijua.

Nani anaepinga kwamba uingereza sio baba lao? Beberu kuu la mabeberu.

Superbug...!
 
Tuliosomasoma pale Morey House college tukutane wajameni.
 
Mwenye picha aliyopiga pale roundabout ya Simba Manchester aiweke hapa
 
Wabongo kila kitu ni Simba vs Yanga, sasa unataka hapo watu wajadili nini ? Waanze kubishana kama yanga vs simba au? isitoshe kwani wewe ni English?

Low IQ!
 
Amin usiamini uingereza ndio taifa tata zaidi kuliko lolote lile duniani.

Hakuna Cha USA Wala Israel baba Yao mkuu Alie domant ni uk.

Uingereza ameamua to mkimya na mpole kwenye anga za kimataifa ila kila Jambo kubwa duniani anahusika nalo Yani Yuko behind it. Liwe baya au zuri.

Mfano

Industrial revolution niwao.
Slave trade abolition niwao.
Israel creation niwao.
USA creation niwao.
Brexit niwao.
Taiwan vs China wapo.
World war one walikuwepo.
World war tu niwao.

Kiufupi uk ndio baba wa dunia muoneni vilevile .

Nitaanza kuwaletea picha zangu binafsi nilizopiga Edinburgh Scotland na pale London ila nutaziedit kidogo sura au mnaonaje......!

Tofauti Kati ya England great Britain Ireland Scotland na Wales najua wengi mnaijua.

Nani anaepinga kwamba uingereza sio baba lao? Beberu kuu la mabeberu.

Superbug...!
Usidanganyike mkuu.
Britain is no longer Great, na wala si super power.
Waingereza kihistoria ni watu wachokozi na wabishi kupita kiasi.
Hata wakikosea wanapenda waonekane wao ni wao.

Kwa sababu za kibiashara na nguvu za kijeshi miaka ya 1800s, ndio wakajiita “Great” Britain na walikuwa wakipora, yes walikuwa wakipora malighafi dunia nzima ili kuanzisha viwanda kwao.

Mambo yalianza kugeuka pale waliokuwa wanawatawala miaka ya mwanzoni mwa 1900s , kisiasa wakaja juu.
Hakuna jeshi linaloweza kutosha kuzima maasi dunia nzima.
Hata sasa tunaona Marekani yenyewe, polisi wa dunia anavyopata shida pamoja na miguvu yake ya kijeshi.

Vita kuu ya kwanza Waingereza walitikiswa kidogo, ile ya vita kuu ya pili walitikiswa sana.
Isingekuwa msaada mkubwa wa Marekani kuisaidia Uingereza kijeshi na kimsaada mkubwa wa bidhaa na chakula, Uingereza ilisha kuwa hoi bin taaban.

Uingereza kweli taifa kubwa, lakini kiuchumi linaendelea kudorora.
Kuna China, Ujerumani na Japan ambao uchumi wa nchi zao unatoa changamoto kubwa.

Je ni lini umetumia bidhaa ya Uingereza?
Je hata sasa umehesabu magari mangapi ya Uingereza barabarani
Je umevaa nguo toka Uingereza?
Je baiskeli ya Raleigh(famous wakati tunapata uhuru), umeiona barabarani?
Je umeziona popote pikipiki famous za BSA toka uingereza?

Viwanda vingi sana vimekufa miji kama Nottingham, ambako niliona kiwanda cha kutengeneza baiskeli na kusambaza dunia nzima kwenye makoloni, kimekufa.
Miji mingi maeneo ya Midlands iliyokuwa ni ya viwanda ni kwishney.
Leeds,Birmingham, Conventry, Manchester na mingine mingi si miji ya viwanda kama ilivyokuwa wakati wa ukoloni wetu.

Mimi nimefika Uingereza na kukaa huko kwa muda, kama kuna kuielewa tabia ya mswahili hapa bongo, na mwingereza yuko hivyo hivyo- maneno mingi sana lakini mvivu wa kazi.

Hiyo ndo uingereza ninayoifahamu.
 
Bila kusahau lugha yao ndio lugha ya biashara duniani. Uko sahihi ndugu yangu
Amin usiamini uingereza ndio taifa tata zaidi kuliko lolote lile duniani.

Hakuna Cha USA Wala Israel baba Yao mkuu Alie domant ni uk.

Uingereza ameamua to mkimya na mpole kwenye anga za kimataifa ila kila Jambo kubwa duniani anahusika nalo Yani Yuko behind it. Liwe baya au zuri.

Mfano

Industrial revolution niwao.
Slave trade abolition niwao.
Israel creation niwao.
USA creation niwao.
Brexit niwao.
Taiwan vs China wapo.
World war one walikuwepo.
World war tu niwao.

Kiufupi uk ndio baba wa dunia muoneni vilevile .

Nitaanza kuwaletea picha zangu binafsi nilizopiga Edinburgh Scotland na pale London ila nutaziedit kidogo sura au mnaonaje......!

Tofauti Kati ya England great Britain Ireland Scotland na Wales najua wengi mnaijua.

Nani anaepinga kwamba uingereza sio baba lao? Beberu kuu la mabeberu.

Superbug...!
 
Huu uzi mbona haueleweki!!!

Ukifuatilia comment za mwanzo unaona mambo ya ccm
Zaa kati mambo ya simba na yanga

Then mwisho inaongelea uk

Ina maana contents za huu uzi zinabadilishwa au binadamu wameamua tu
 
Kweli Waingereza ni wavivu sana wa kazi na wanapenda sana sifa kwamba wao ni taifa kubwa, walitawala dunia pye3 kibao. Kwa taarifa yako taifa hilo linaenda kuwa masikini! Waafrika wengi wanaoenda huko huaminishwa kwamba mwingereza ni raia namba moja duniani kitu ambacho siyo kweli! Umemuona Mjerumani? Umefika kwake? Tembelea huko utashangaa walivyo endelea! Uk cha mtoto! Harafu mjerumani ni vigumu kumkuta amevaa suti, yeye hapa kazi tu. uk kila wakati suti wanaona kama itawasaidia sana! Nawashauri wafanye kazi mambo ya ujanja2 wa kuja kunyonya afrika kwa kuhonga viongozi wasiyokuwa na uzalendo na nchi zao na kisha kupora mali sio dili!
 
Back
Top Bottom