KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Habari IGP Sirro.
Matumaini yangu nikuwa huwa naamini katika utendaji wako uko makini!
Na mbaya zaidi hiki chombo cha Polisi unakielewa vizuri sana kwa kuzingatia wewe umepitia ngazi mbali mbali katika jeshi hili!,Umekuwa ukifanya kazi kwa weledi sana. Mimi nitoe Rai kwako hasa katika kipindi hiki kigumu kwako kwakuwa ni uchaguzi mkuu wa kwanza ukiwa kama IGP kwamaana sasa lawama zote utatwishwa wewe!
Hapa unatakiwa kutumia sayansi kutenda kazi yako katika Jeshi la Polisi ili unapostaafu unaacha alama na tukikutana uswahilini tunajumuika pamoja kama zamani tulivyokuwa tukijumuika maeneo yetu kama Tegeta,Bunju na kwingineko!.
Wanasiasa huwa wanatabia ya kufitinisha watu hivyo nikuombe hepuka kufitinishwa japo unaweza kupokea amri ipokee lakini hapo tumia sayansi ya kijeshi ku neutrize makali ya amri kulinda amani kunaanzia kwako IGP kwa sasa tupo kwenye mtego mkubwa jilinde ustaafu vizuri nchi za magharibi zinakuangalia wewe!.
Hivi vitendo vya kushambulia wagombea wa urais sidhani kama vina tija wambie makamanda wamikoa hata kama wamepewa amri na RC,RSO,Waziri,waepuke kutumia nguvu kwa sababu wagombea wote wapo katika category moja !.
Mimi mzee wangu IGP nakuomba tumia ile sayansi yako yakupoza mihemuko katika jeshi.
Matumaini yangu nikuwa huwa naamini katika utendaji wako uko makini!
Na mbaya zaidi hiki chombo cha Polisi unakielewa vizuri sana kwa kuzingatia wewe umepitia ngazi mbali mbali katika jeshi hili!,Umekuwa ukifanya kazi kwa weledi sana. Mimi nitoe Rai kwako hasa katika kipindi hiki kigumu kwako kwakuwa ni uchaguzi mkuu wa kwanza ukiwa kama IGP kwamaana sasa lawama zote utatwishwa wewe!
Hapa unatakiwa kutumia sayansi kutenda kazi yako katika Jeshi la Polisi ili unapostaafu unaacha alama na tukikutana uswahilini tunajumuika pamoja kama zamani tulivyokuwa tukijumuika maeneo yetu kama Tegeta,Bunju na kwingineko!.
Wanasiasa huwa wanatabia ya kufitinisha watu hivyo nikuombe hepuka kufitinishwa japo unaweza kupokea amri ipokee lakini hapo tumia sayansi ya kijeshi ku neutrize makali ya amri kulinda amani kunaanzia kwako IGP kwa sasa tupo kwenye mtego mkubwa jilinde ustaafu vizuri nchi za magharibi zinakuangalia wewe!.
Hivi vitendo vya kushambulia wagombea wa urais sidhani kama vina tija wambie makamanda wamikoa hata kama wamepewa amri na RC,RSO,Waziri,waepuke kutumia nguvu kwa sababu wagombea wote wapo katika category moja !.
Mimi mzee wangu IGP nakuomba tumia ile sayansi yako yakupoza mihemuko katika jeshi.