kubwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. CHADEMA pamoja na kushindwa uchaguzi bado mna deni kubwa wa watanzania

    Najua fika kuwa mlitegemea hili anguko ila mlifanya siasa kwa mazoea kwa kudhania kuwa Tanzania ya 1995- 2015 bado ni ile ile. Hapana kabisa Tanzania ya leo sio kama hiyo mliodhania na kufikiria, sio Tanzania ambayo inahitaji wanaharakati au wanasiasa wajanja wajanja kama mlivyokuwa...
  2. S

    Kamati Kuu ya CHADEMA, mkiteua wabunge wa Viti Maalumu kuingia Bungeni, mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana

    Kwanza nianze kwa kusema kuwa, Katika vitu ambavyo CCM kwa sasa wanatamani vitokee, ni kupata wabunge wa upinzani japo wachache ili kuondoa dhana ya Bunge kuitwa Bunge la CCM-Bunge la chama kimoja. Kwa sababu hiyo, tarajieni kuona wale wale waliowadhulumu haki zenu wakigeuka wema kwenu na...
  3. B

    Tanzania Taifa kubwa, Magufuli baba lao

    Mabibi na mabwana kutokea taarifa za habari jana na pia baada ya kujiridhisha: He! Kumbe yule mgeni wetu mpendwa kabisa, mwalikwa tokea pande za pale Burundi aliingizana nchini kwa kutumia moja ya madege yetu yale mapya mapya ya ATCL chapa ya twiga? Ikizingatiwa uwanja wa ndege Bujumbura...
  4. Afisa mpya ya Kamishna wa Kulinda Data atalinda maelezo kuhusu Wakenya yanayohifadhiwa na kampuni za kubwa za kiteknolojia kama vile Facebook, Twitter

    AFISI mpya ya Kamishna wa Kulinda Data italinda maelezo kuhusu Wakenya yanayohifadhiwa na kampuni za kubwa za kiteknolojia kama vile Facebook, Twitter na Google, Immaculate Kassait ambaye ameteuliwa kushikilia wadhifa huo amewahakikishia wabunge. Bi Kassait, ambaye kabla ya Rais Uhuru Kenyatta...
  5. Makosa makubwa kwa viongozi wanaoomba ridhaa ya uongozi wa kisiasa kwa Watanzania

    #Upandachondichouvunacho: Makosa makubwa kwa viongozi wanaoomba kura kutoka kwa wananchi wa Tanzania kupewa uongozi wa kisiasa ni haya. 1. Kumshambulia mgombea mshindani kwa tuhuma zisizothibitishwa na chuki dhahiri za binafsi; 2. Kulazimisha wananchi wakatae kukiri wanachokiona kimetendwa...
  6. L

    Pokeeni mgeni wanaJf, hii ni siku kubwa kwetu

    Naomba mnipokee na ninawasalimu wakubwa kwa wadogo humu ukumbini. Leo ni siku kubwa kwetu nchi yetu ikiwa kwenye uchaguzi mkuu wa kitaifa, namimi nikaona niweke kumbukumbu kwa kuwa mwanachama rasmi wa jamii forum baada ya kuww msomaji kwa miaka kadhaa. Naomba mnipokee.
  7. B

    Jinsi ya kucalculate kiasi cha kodi kinachozidi endapo CIF ya gari itakuwa kubwa zaidi ya CIF ya kwenye calculator ya TRA.

    Habari za muda wakuu, Naomba kupata ufafanuzi ni jinsi gani TRA wanacalculate kodi endapo itatokea gharama za CIF uliyonunulia gari imekuwa kubwa kuliko ya kwenye calculator yao.
  8. Akili Kubwa - Tractors made in Kenya

    Shujaa Tractors ...karibuni sana
  9. N

    GE2020 Dar: CCM yapata aibu kubwa TPDC Mikocheni

    Kati hali isiyo ya kawaida, Viongozi wa CCM waambulia watu 6 katika kikao kilichotegemewa kuwa na isiyo ya kawaida. Kwani TPDC peke yake in Kaya 72 na Mikocheni B ikiwa na watu ,5000 Mwezi uliopota, wafanyakazi wote wanaoishi kwenye nyumba za TPDC na wakazi wa Mikocheni wallabies wafike bila...
  10. Asilimia kubwa ya Wanawake huanza enjoy Mapenzi kuanzia kwa Mwanaume wa Tatu na kuendelea

    Utafiti huu nmeufanya kwa wanawake zaidi ya 100 wengi wanakiri hawakuwa waki enjoy mapenzi na their first boyfriends. Mpaka kuanzia wa tatu na kuendelea au wa pili. Kisaikolojia image ya tendo la siku ya kwanza hubaki kichwani na kuonesha hali ya maumivu kila wanapoingilia kimwil hujenga picha...
  11. Akili kubwa kwenye kilimo biashara - Kenyan fresh produce nets Sh235m at Italian expo

    Thirty-six Kenyan vegetable and fruit companies sold Sh235.22 million worth of produce at this year’s Macfrut Digital Trade Fair in Rimini, Italy. The three-day event, which was in collaboration with the International Trade Centre, was postponed in May amid disruptions brought about by the...
  12. J

    Kongamano la amani: Wanenaji ni Askofu Kakobe, Askofu Malasusa na Sheikh Abdallah

    Kongamano kubwa la amani na maendeleo linafanyika leo katika ukumbi wa Golden Tulip jijini Dsm. Mwezeshaji wa kongamano hilo ni askofu Gamanywa wa BCIC na wanenaji watakakuwa askofu Kakobe askofu Dr Malasusa na shehe Abdallah. Kongamano hilo litarushwa mubashara na runinga za TBC, Channel ten...
  13. Mnaonaje kama watumishi wa serikali na taasisi kubwa binafsi wakianza kulipwa mishahara yao kila baada ya wiki mbili na sio wiki nne (mwezi mmoja)?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Ndugu zangu Watanzania; Mnaonaje kama watumishi wote wa serikali pamoja na wale wa taasisi kubwa binafsi wakianza kulipwa mishahara yao kila baada ya wiki mbili na sio wiki nne (mwezi mmoja) kama ilivyozoeleka sasa? Kwanini serikali pamoja na...
  14. Akili kubwa - Kenya locally made helicopters

    Ok sawa... since some people have insisted, I also met this beautiful locally assembled chopper. Kenya kuna mambo! All you need to do is #TembeaTujengeKenya By the way, the airstrip in Nanyuki is being extended. Asanteni sana watu wa Laikipia!!!! #TembeaKenya #TTK #IsuzuDelivers #ShellFuelSave...
  15. Q

    GE2020 Kosa kubwa walilofanya CCM kwenye kampeni zao ni kupoteza muda kusifia yaliyopita badala ya kueleza watafanya nini

    Kawaida na hulka ya binadamu ni kutamani kusikia au kuona kitu kipya kuliko cha zamani, wazungu wanasema test the difference. Tangu kampeni zianze CCM wamekuwa wakipoteza muda mwingi kuelezea vitu walivyo fanya wakasahau kuwaeleza wapiga kura nini kipya watawafanyia wananchi endapo...
  16. R

    Siku ya leo muda huu Utopolo wangekuwa na huzuni

    Ni kama mechi isingeairishwa muda huu utopolo wangekuwa kimya wamechanganyikiwa na kipigo ambacho wangepata hakuna cha calinyo wala mwamnyeto wangekuja kuibuka baada ya wiki mbili na sababu kibao ila tunawasubiri November 7
  17. Akili Kubwa - wakenya wanawiri ugenini

  18. Vijana wa Kitanzania, mna deni kubwa kwa Lissu

    Kwa tathmini yangu, kama kuna kundi ambalo future yao imeharibiwa sana na sera, maamuzi na mienendo ya serikali ya Magufuli, basi kundi hilo ni la vijana. Kwanza, tukianzia kwenye sheria kandamizi zinazotingwa kila siku ambazo zinafunga mianya hata ile midogo iliyokuwa imebaki ya vijana kuweza...
  19. AKili kubwa - Kenyan made military drone

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…