johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,902
- 141,845
Kongamano kubwa la amani na maendeleo linafanyika leo katika ukumbi wa Golden Tulip jijini Dsm.
Mwezeshaji wa kongamano hilo ni askofu Gamanywa wa BCIC na wanenaji watakakuwa askofu Kakobe askofu Dr Malasusa na shehe Abdallah.
Kongamano hilo litarushwa mubashara na runinga za TBC, Channel ten na radio ya WAPO kuanzia saa 2:30 asubuhi.
Wote mnakaribishwa.
Source Shallom tv
Up dates;
Mwezeshaji wa kongamano askofu Gamanywa ameshafungua mjadala na sasa mwakilishi wa Katibu mkuu wa TEC Dr Kitima ambaye alikuwa atoe mada, ndio anazungumza.
Askofu Kakobe anasema uchaguzi huu Polisi wamekuwa soft sana kiasi cha kusukumwa na kukaa kimya hivyo amewasihi polisi kuangalia viashiria vya uvunjifu wa amani na kuchukua tahadhari.
Shekh Alhad Salum anasema Waislamu na Wakristo ni kitu kimoja na mama yake Yesu yaani Mariam ana sura yake kamili katika kitabu kitakatifu cha Quran inaitwa Surat Mariam
Askofu Malasusa amepingana na askofu Kakobe na amesema polisi hawako soft bali wanatumia hekima ili kuleta amani kwa watu wote
Maendeleo hayana vyama!
Mwezeshaji wa kongamano hilo ni askofu Gamanywa wa BCIC na wanenaji watakakuwa askofu Kakobe askofu Dr Malasusa na shehe Abdallah.
Kongamano hilo litarushwa mubashara na runinga za TBC, Channel ten na radio ya WAPO kuanzia saa 2:30 asubuhi.
Wote mnakaribishwa.
Source Shallom tv
Up dates;
Mwezeshaji wa kongamano askofu Gamanywa ameshafungua mjadala na sasa mwakilishi wa Katibu mkuu wa TEC Dr Kitima ambaye alikuwa atoe mada, ndio anazungumza.
Askofu Kakobe anasema uchaguzi huu Polisi wamekuwa soft sana kiasi cha kusukumwa na kukaa kimya hivyo amewasihi polisi kuangalia viashiria vya uvunjifu wa amani na kuchukua tahadhari.
Shekh Alhad Salum anasema Waislamu na Wakristo ni kitu kimoja na mama yake Yesu yaani Mariam ana sura yake kamili katika kitabu kitakatifu cha Quran inaitwa Surat Mariam
Askofu Malasusa amepingana na askofu Kakobe na amesema polisi hawako soft bali wanatumia hekima ili kuleta amani kwa watu wote
Maendeleo hayana vyama!