Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania;
Mnaonaje kama watumishi wote wa serikali pamoja na wale wa taasisi kubwa binafsi wakianza kulipwa mishahara yao kila baada ya wiki mbili na sio wiki nne (mwezi mmoja) kama ilivyozoeleka sasa?
Kwanini serikali pamoja na taasisi kubwa binafsi hulipa mishahara ya watumishi wao kila baada ya wiki nne (mwezi mmoja) na sio wiki mbili au wiki nane (miezi miwili)?
Huu utaratibu wa mishahara kila mwezi umetokea wapi? What's the logic behind all this?
Leo kuna mtoto wa shangazi yangu ameenda kuanza kazi katika Bank moja kule Mbeya baada ya kufaulu vema usaili wake, na swali la kwanza kuulizwa na wazazi wake pamoja na watu wa karibu ni kwamba, "wanakulipa mshahara kiasi gani kwa mwezi?"
Kwanini mshahara ni wa mwezi (wiki 4) na sio wiki 2 au wiki nane (miezi 2)?
Yaaani kama mtu kwa mwezi take-home salary yake ni 700,000/= basi apewe 350,000/= tarehe 14 kisha nusu iliyobaki tarehe 28 kwa maana kuna miezi haina tarehe 29, 30 na 31.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ndugu zangu Watanzania;
Mnaonaje kama watumishi wote wa serikali pamoja na wale wa taasisi kubwa binafsi wakianza kulipwa mishahara yao kila baada ya wiki mbili na sio wiki nne (mwezi mmoja) kama ilivyozoeleka sasa?
Kwanini serikali pamoja na taasisi kubwa binafsi hulipa mishahara ya watumishi wao kila baada ya wiki nne (mwezi mmoja) na sio wiki mbili au wiki nane (miezi miwili)?
Huu utaratibu wa mishahara kila mwezi umetokea wapi? What's the logic behind all this?
Leo kuna mtoto wa shangazi yangu ameenda kuanza kazi katika Bank moja kule Mbeya baada ya kufaulu vema usaili wake, na swali la kwanza kuulizwa na wazazi wake pamoja na watu wa karibu ni kwamba, "wanakulipa mshahara kiasi gani kwa mwezi?"
Kwanini mshahara ni wa mwezi (wiki 4) na sio wiki 2 au wiki nane (miezi 2)?
Yaaani kama mtu kwa mwezi take-home salary yake ni 700,000/= basi apewe 350,000/= tarehe 14 kisha nusu iliyobaki tarehe 28 kwa maana kuna miezi haina tarehe 29, 30 na 31.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.