kuacha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mohamed Said

    Nyumbani kwa Clement Mohamed mtamila ndipo ulipotoka uamuzi wa julius nyerere kuacha kazi ya ualimu

    HAPA NDIPO ILIPOJADILIWA BARUA YA JULIUS NYERERE KUCHAGUA SIASA AU UALIMU Hapo liliposimama jengo hilo ndipo ilipokuwa nyumba ya Clement Mohamed Mtamila katika miaka ya 1950 harakati za TANU kudai uhuru zilipopamba moto. Huu ni Mtaa wa Kipata (sasa Mtaa wa Kleist Sykes) na unaokatiza ni Mtaa...
  2. Lager

    Usijaribu kuacha usichoweza kukiacha, mapenzi yanauma

    Najitahidi kumsahau huyu mwanamke bado ni mtihani! I miss her japo nimemuacha mwenyewe lkn bado hisia juu yake ni kali,still nawivu nae na naona kabisa nampenda. Swala sio kumuacha swala ni lini hisia juu yake zitakufa?? Someone can feel me..😞
  3. J

    Nyerere: Ukishakula nyama ya mtu huwezi kuacha utaendelea tu

    Ni vema wale wakuu wa wilaya na mikoa wenye tuhuma za kutesa, kuteka, kuumiza na kutupa watu korokoroni bila sababu za msingi wakawekwa pembeni zama hizi za awamu ya 6. Na Kigwangalla akawaombe radhi wale wazee aliowapigisha push up baada ya kuwahoji "mzaha siyo mzaha?" kinyume kabisa na sheria...
  4. The Dictator

    Kwanini unatakiwa kuacha ulevi wa pombe? Hizi ni baadhi ya faida

    1) Utakusaidia sana uhifadhi wa pesa kwa matumizi mengine Umewahi kujiuliza ni kiasi gani cha fedha unatumia kwa unywaji pombe pekee? Sasa jumlisha kiasi chote kwa miezi yote ambayo ungetumia kunywea ungekuwa na kiasi gani. Muda mwingine hata kama kuna kiasi maalum uliweza unaweza jikuta...
  5. mediaman

    Wanaotafuta dawa ya kuacha ulevi tukutane hapa

    Baba yangu mzazi aliishi maisha ya dhiki sana. Alikuwa mfanyakazi aliyepata mshahara mzuri tu lakini mshahara ulikuwa haumsaidii kuishi vizuri kwa sababu ya ulevi. Mwisho wa mwezi, akishapokea mshahara tu alikuwa anakesha sehemu wanazouza bia akinywa na kuwanunulia bia marafiki zake. Wanawake...
  6. Chris wood

    Rasmi nimeamua kuachana na betting. Kubet ni kutafuta umasikini na ufukara

    Kwanza niseme tu mimi ni kati ya watu, waliokuwa wakiamini betting kwa asilimia 100, nilikuwa na imani betting ndio kitu itanitoa kimaisha, kuhusu betting ulikuwa huniambii kitu, kuna ile kauli watu huwa wanasema beti kama starehe, Lakini mimi nimekuwa nikiifanya kama kazi ya kujiingizia kipato...
  7. Memtata

    Ni muhimu kuacha mtoto kabla ya kufa?

    “Dereve taratibu bana usije ukatuua, mi sina mtoto hata mmoja” Msemo kama huu husikika sana katika jamii yetu watu wakimaanisha ni kama mkosi kufariki kabla hujaacha mtoto. Imefikia watu kuona ni bora ufe na kumuacha mwanamke wako mjamzito kuliko kufa hujaacha chochote. Katika jamii yetu kuna...
  8. comte

    Dada wa kazi: Mfanyakazi pekee yake ambaye akitangaza kuacha kazi bosi anatetemeka wengine tuliobaki wala

    Kheri ya siku ya waajiriwa duniani lakini kwa hali ilivyo ni dada wa kazi tu ambaye akitangaza anaacha kazi bosi anatetemeka wengine waliobaki wala.
  9. kadendu

    Msaada: Namna ya kuacha kuvuta ugoro

    Ndugu zangu naomba msaada, nitumie njia gani kuacha kuvuta ugoro? Ni Mwaka wa 4 sasa tangu nianze kuvuta baada ya kushauriwa kuwa inatibu shinikizo la damu. Kwa sasa maji yamenifika shingoni kwani unanikausha mwili wangu balaa.
Back
Top Bottom