OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,714
BM3 wakili msomi amepiga kwenye mshono
wabongo bana,maneno meeeengi tantalila nyiiiiingi. Jibu hoja acha kutisha watu,As far as I know, Morrison ndo mchezaji wa kwanza Tanzania "kununua ugomvi" wa mahasimu!!! Hii ni mara ya pili Morrison anamjibu Manara!! Cha kushangaza, Manara huwa anatumia Kiswahili! Sasa ni kwamba Morrison huwa anatumia Google kujua Manara ameandika nini ili hatimae aweze kumjibu, au anatumika?!
Kama Morrison ana Wakala, na anamwacha anafanya ujinga kama huu, basi Morrison na Wakala wake wote wajinga, kwa sababu yeye ni Foreigner tu, na amekuja Tanzania kufanya kazi, kwahiyo ni ujinga kama sio upumbavu kujiingiza kwenye Siasa za Mpira wa Tanzania.
Ila Chama alikuwa sawa "kununua ugomvi" wa Haji Manara na Mo? tena nadhani alifanya vile kwakuwa alijua anasepa.Lakini hata kama alikuwa mbioni kusepa,kwa nini afanye vile?As far as I know, Morrison ndo mchezaji wa kwanza Tanzania "kununua ugomvi" wa mahasimu!!! Hii ni mara ya pili Morrison anamjibu Manara!! Cha kushangaza, Manara huwa anatumia Kiswahili! Sasa ni kwamba Morrison huwa anatumia Google kujua Manara ameandika nini ili hatimae aweze kumjibu, au anatumika?!
Kama Morrison ana Wakala, na anamwacha anafanya ujinga kama huu, basi Morrison na Wakala wake wote wajinga, kwa sababu yeye ni Foreigner tu, na amekuja Tanzania kufanya kazi, kwahiyo ni ujinga kama sio upumbavu kujiingiza kwenye Siasa za Mpira wa Tanzania.
Ulishawahi kumuona Chama anaenda kwenye page ya Mwamedi kujibizana kuhusu Manara?! Ina maana hufahamu ambacho kilitokea, au?Ila Chama alikuwa sawa "kununua ugomvi" wa Haji Manara na Mo? tena nadhani alifanya vile kwakuwa alijua anasepa.Lakini hata kama alikuwa mbioni kusepa,kwa nini afanye vile?
Hoja ipi?! Na hivi hapo nimemtisha au nimeeleza uhalisia kwamba kwa mtu kama yeye aliyekuja kutafuta inakuwa ni upumbavu kujiingiza kwenye mabifu yasiyomhusu?!wabongo bana,maneno meeeengi tantalila nyiiiiingi. Jibu hoja acha kutisha watu,
Kumbe kuna wakati anakua na akili! Siku zote nilimchukulia kama mvuta bange tu!
Mkuu binafsi sifahamu lolote na ningependa kufahamu kilijiri nini?ikikupendeza funguka kwa faida yangu na wadau wenye interestUlishawahi kumuona Chama anaenda kwenye page ya Mwamedi kujibizana kuhusu Manara?! Ina maana hufahamu ambacho kilitokea, au?
jadili hoja sio mtu. umesajiliwa humu kama GTUlishawahi kumuona Chama anaenda kwenye page ya Mwamedi kujibizana kuhusu Manara?! Ina maana hufahamu ambacho kilitokea, au?
Msimtishe Morrison, ana haki ya kutoa maoni yake kwenye kazi inayomhusu. Morrison anawajua wote Simba na Yanga so anaongea kitu anachokijua.As far as I know, Morrison ndo mchezaji wa kwanza Tanzania "kununua ugomvi" wa mahasimu!!! Hii ni mara ya pili Morrison anamjibu Manara!! Cha kushangaza, Manara huwa anatumia Kiswahili! Sasa ni kwamba Morrison huwa anatumia Google kujua Manara ameandika nini ili hatimae aweze kumjibu, au anatumika?!
Kama Morrison ana Wakala, na anamwacha anafanya ujinga kama huu, basi Morrison na Wakala wake wote wajinga, kwa sababu yeye ni Foreigner tu, na amekuja Tanzania kufanya kazi, kwahiyo ni ujinga kama sio upumbavu kujiingiza kwenye Siasa za Mpira wa Tanzania.
Kama vile Kelvin Kapumbu alivyofanya.Kapiga kwenye mshono