DustBin
JF-Expert Member
- Jun 3, 2021
- 544
- 558
Nina washkaji zangu kadhaa nilisoma nao wameacha kazi za serikali. Na jana nimekutana na mwanangu nilikua nae room moja chuo ameniambia ameacha kazi aliyokua anaifanya huko serikalini.
Nilipomhoji akanambia ishu ni maslahi ilihali muda mwingi anautumia kazini, hata muda wa kufanya shuguli binafsi za kumuingizia kipato hana, ameamua aache kazi afanye ishu zake.
Swali la kujiuliza, ni kweli hawa wote wana tamaa na hawaridhiki na mshahara wao? Au ni kweli huko serikalini maslahi hamna na unatoil vya kutosha??
Nilipomhoji akanambia ishu ni maslahi ilihali muda mwingi anautumia kazini, hata muda wa kufanya shuguli binafsi za kumuingizia kipato hana, ameamua aache kazi afanye ishu zake.
Swali la kujiuliza, ni kweli hawa wote wana tamaa na hawaridhiki na mshahara wao? Au ni kweli huko serikalini maslahi hamna na unatoil vya kutosha??