Mnaojiita Vyama Pinzani Tanzania msipokubali kuacha ubinafsi na kuwatumikia Wananchi kwa Elimu ya Siasa Ikulu mtapasikiga tuu

mama D

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
19,760
35,205
CHADEMA na Vyama vingine vya upinzani wakati umefika sasa mkae chini na kujitafakari!

Tena mjitafakari na kuwa wakweli nafsini mwenu kwamba siasa mnazofanya ni kwa maslahi ya familia zenu huku vyama vyenu vikiwa havina hata misingi imara kwa jamii

Hakuna mtanzania anayekataa au asiyejua umuhimu wa upinzani katika taifa lakini hakuna mtanzania anayeweza kukubali upinzani usio na dira wala maslahi kwa wananchi walio wengi.

Vyama pinzani Tanzania vimekua vyama vya watu wachache ambao ni viongozi wa vyama hivyo. Vyama pinzani havina msingi imara sababu nguvu yao kubwa iko kwa viongozi huku wananchi wakiwa hajui wala kuona maslahi yoyote toka kwa vyama hivyo zaidi ya wao kutafutwa tuu wakati wa kupiga kura.

CCM wanaielewa jamii ya watanzania kwa uzuri sana ndio maana upinzani mnaishia kupumilia mashine kila uchaguzi.

Na kinachozidi kuwapoteza ni kwamba viongozi wote wa vyama vya upinzani sio wakweli kwa vyama vyenu wala kwenu wenyewe. Mmeshindwa kuwa wakweli sababu hamuangalii nyie na vyama vyenu vinawafanyia nini watanzania na nchi yetu kwa ujumla Ila mnaangalia tuu vyama vinawawezeshaje nyie binafsi na familia zenu kuishi maisha mazuri.
Watanzania wameshawaelewa na wanawapuuza sababu ubinafsi wenu umewafanya mjifikirie wenyewe na kusahau kwamba wananchi ndio mtaji wenu

Upinzani unapogeuka kuwa sehemu ya kujipatia rizki lazima malengo ya chama yasahaulike ili kufanikisha kwanza maslahi ya wachache.

Watanzania sio wajinga mnavyofikiria, ushirikiano wapinzani mliofanya na ccm hadi kufanikisha kumuondoa Lowasa kwenye nafasi ya uwaziri mkuu uliwajengea heshma kubwa na imani kwa jamii, na maana halisi ya upinzani ilidhihirika! Ila sasa, usaliti mlioufanya kwa wananchi kumpa huyohuyo jamaa nafasi ya kugombea urais haujasahaulika, hautosahaulika na hamjasamehewa
Wananchi wanajiuliza, kama Lowasa aliweza kuwanunua chadema wakageuka wasaliti kwao si taifa lolote lenye fedha linaweza kuitumia chadema kuwanunua watanzania?

Mkiweza kupata wataalamu wa siasa na uongozi nje ya vyama (wasiokua na maslahi binafsi) watakaoweza kufanya utafiti wa kueleweka jinsi ya kuimarisha chama na kujenga imani kwa wananchi. Mkamwacha huyo mtaalamu awatengenezee mfumo na mbinu za kujenga vyama
Mkamwacha awasimamie nyie viongozi ili kuhakikisha mnatimiza kile anachowaambia kwa muda uliopangwa mtainuka tena na kuwatumikia wananchi

Vinginevyo CCM itaendelea kuwa chama pekee chenye nguvu Tanzania na wapinzani mtaendelea kulalamika kwa tatizo lilelile miaka30

Na sisi kina mama D tutaendelea kusema KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan🙏
 
Mkuu wajinga ndio waliwao.. acha wenyeviti na viongozi wachache wa vyama hivyo waendelee kula kupitia ujinga wa wafuasi wao.

Wananchi wataendelea kuwakataaa

Wanakaa kulalamika kuwa wabunge na viongozi wao wananunuliwa na CCM wakati mwenyekiti wao, katibu mkuu na mwenezi walinunuliwa na Lowasa walieyemwita fisadipapa

Wanachadema walioamua kurudi CCM ni bora kuliko viongozi waandamizi chadema
 
1628848054061.png


2878995_images_9.jpeg
 
Vyama vya upinzani vyote vimejikita kudai chaka la katiba ambalo hata likiwekwa bado ikulu wataisikia tuu nahisi hata miaka 30 ijayo,, Hakuna siku chama chochote kimezungumzia swala la maisha ya mtanzania na kero zao za maisha bali kutudanganya tu ati wananchi wanadai katiba mpya na wapi alikutana nao wakamtuma hawatuonyeshi.

Katiba mpya takwa na hitaji la hao viongozi wa vyama vya upinzani kwani wanajua labda kwa kupitia chaka la katiba hata tume ya uchaguzi itakuja kuwa kichochoro cha wao kupitia kuelekea magogoni

Hawa watu ni hatari lkn kizuri watanzania wamewajua vizuri,,, Nenda kijijini uliza watu laki moja kama kuna mtu anaijua katiba hakuna sasa upinzani wametumwa na nani?

Wametumwa na tamaa na ndoto zao,,, Msomeni mzee Warioba alienguliwaje kwenye kinyang'anyiro cha urais huko nyuma muone ilikuwaje ili muone kwa nini anaongea kuhusu katiba mpya mpuuzeeni ana lake jambo!!!!
 
Vyama vya upinzani vyote vimejikita kudai chaka la katiba ambalo hata likiwekwa bado ikulu wataisikia tuu nahisi hata miaka 30 ijayo,, Hakuna siku chama chochote kimezungumzia swala la maisha ya mtanzania na kero zao za maisha bali kutudanganya tu ati wananchi wanadai katiba mpya na wapi alikutana nao wakamtuma hawatuonyeshi.

Katiba mpya takwa na hitaji la hao viongozi wa vyama vya upinzani kwani wanajua labda kwa kupitia chaka la katiba hata tume ya uchaguzi itakuja kuwa kichochoro cha wao kupitia kuelekea magogoni

Hawa watu ni hatari lkn kizuri watanzania wamewajua vizuri,,, Nenda kijijini uliza watu laki moja kama kuna mtu anaijua katiba hakuna sasa upinzani wametumwa na nani?

Wametumwa na tamaa na ndoto zao,,, Msomeni mzee Warioba alienguliwaje kwenye kinyang'anyiro cha urais huko nyuma muone ilikuwaje ili muone kwa nini anaongea kuhusu katiba mpya mpuuzeeni ana lake jambo!!!!
Tate Mkuu
 
Kwa kweli Ikulu watapasikia tu. Kama watu wa tume ni akina Jecha, Kaijage na Mahera. Na wachapisha makaratasi ya kura ni Jamana. Na IGP ni Zirro. Na Msajili ni Mutungi wa maji. Na wasimamizi wa uchaguzi ni DEDs. Watapita wapi hapo kwenda Ikulu? Hivi wanahitaji kupigiwa kura na watu wangapi ili kuzishinda kura zile za kwenye vikapu? CCM oyeeee!
CHADEMA na Vyama vingine vya upinzani wakati umefika sasa mkae chini na kujitafakari!

Tena mjitafakari na kuwa wakweli nafsini mwenu kwamba siasa mnazofanya ni kwa maslahi ya familia zenu huku vyama vyenu vikiwa havina hata misingi imara kwa jamii

Hakuna mtanzania anayekataa au asiyejua umuhimu wa upinzani katika taifa lakini hakuna mtanzania anayeweza kukubali upinzani usio na dira wala maslahi kwa wananchi walio wengi.

Vyama pinzani Tanzania vimekua vyama vya watu wachache ambao ni viongozi wa vyama hivyo. Vyama pinzani havina msingi imara sababu nguvu yao kubwa iko kwa viongozi huku wananchi wakiwa hajui wala kuona maslahi yoyote toka kwa vyama hivyo zaidi ya wao kutafutwa tuu wakati wa kupiga kura.

CCM wanaielewa jamii ya watanzania kwa uzuri sana ndio maana upinzani mnaishia kupumilia mashine kila uchaguzi.

Na kinachozidi kuwapoteza ni kwamba viongozi wote wa vyama vya upinzani sio wakweli kwa vyama vyenu wala kwenu wenyewe. Mmeshindwa kuwa wakweli sababu hamuangalii nyie na vyama vyenu vinawafanyia nini watanzania na nchi yetu kwa ujumla Ila mnaangalia tuu vyama vinawawezeshaje nyie binafsi na familia zenu kuishi maisha mazuri.
Watanzania wameshawaelewa na wanawapuuza sababu ubinafsi wenu umewafanya mjifikirie wenyewe na kusahau kwamba wananchi ndio mtaji wenu

Upinzani unapogeuka kuwa sehemu ya kujipatia rizki lazima malengo ya chama yasahaulike ili kufanikisha kwanza maslahi ya wachache.

Watanzania sio wajinga mnavyofikiria, ushirikiano wapinzani mliofanya na ccm hadi kufanikisha kumuondoa Lowasa kwenye nafasi ya uwaziri mkuu uliwajengea heshma kubwa na imani kwa jamii, na maana halisi ya upinzani ilidhihirika! Ila sasa, usaliti mlioufanya kwa wananchi kumpa huyohuyo jamaa nafasi ya kugombea urais haujasahaulika, hautosahaulika na hamjasamehewa
Wananchi wanajiuliza, kama Lowasa aliweza kuwanunua chadema wakageuka wasaliti kwao si taifa lolote lenye fedha linaweza kuitumia chadema kuwanunua watanzania?

Mkiweza kupata wataalamu wa siasa na uongozi nje ya vyama (wasiokua na maslahi binafsi) watakaoweza kufanya utafiti wa kueleweka jinsi ya kuimarisha chama na kujenga imani kwa wananchi. Mkamwacha huyo mtaalamu awatengenezee mfumo na mbinu za kujenga vyama
Mkamwacha awasimamie nyie viongozi ili kuhakikisha mnatimiza kile anachowaambia kwa muda uliopangwa mtainuka tena na kuwatumikia wananchi

Vinginevyo CCM itaendelea kuwa chama pekee chenye nguvu Tanzania na wapinzani mtaendelea kulalamika kwa tatizo lilelile miaka30

Na sisi kina mama D tutaendelea kusema KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan🙏
 
Siyo vyama vya upinzani dada , sema waafrika. Waafrika tumejaa ubinafsi sana ndiyo maana hatuwezi endeleza nchi zetu. Sisi wananchi tunataka nchi isonge mbele lakini wewe mwenyewe ni shahidi ya vituko vya viongozi wa kiafrika.
Naona SA na Ghana wanajitahidi lakini bado hata wao ni vituko tu.
Bara la giza.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
CHADEMA na Vyama vingine vya upinzani wakati umefika sasa mkae chini na kujitafakari!

Tena mjitafakari na kuwa wakweli nafsini mwenu kwamba siasa mnazofanya ni kwa maslahi ya familia zenu huku vyama vyenu vikiwa havina hata misingi imara kwa jamii

Hakuna mtanzania anayekataa au asiyejua umuhimu wa upinzani katika taifa lakini hakuna mtanzania anayeweza kukubali upinzani usio na dira wala maslahi kwa wananchi walio wengi.

Vyama pinzani Tanzania vimekua vyama vya watu wachache ambao ni viongozi wa vyama hivyo. Vyama pinzani havina msingi imara sababu nguvu yao kubwa iko kwa viongozi huku wananchi wakiwa hajui wala kuona maslahi yoyote toka kwa vyama hivyo zaidi ya wao kutafutwa tuu wakati wa kupiga kura.

CCM wanaielewa jamii ya watanzania kwa uzuri sana ndio maana upinzani mnaishia kupumilia mashine kila uchaguzi.

Na kinachozidi kuwapoteza ni kwamba viongozi wote wa vyama vya upinzani sio wakweli kwa vyama vyenu wala kwenu wenyewe. Mmeshindwa kuwa wakweli sababu hamuangalii nyie na vyama vyenu vinawafanyia nini watanzania na nchi yetu kwa ujumla Ila mnaangalia tuu vyama vinawawezeshaje nyie binafsi na familia zenu kuishi maisha mazuri.
Watanzania wameshawaelewa na wanawapuuza sababu ubinafsi wenu umewafanya mjifikirie wenyewe na kusahau kwamba wananchi ndio mtaji wenu

Upinzani unapogeuka kuwa sehemu ya kujipatia rizki lazima malengo ya chama yasahaulike ili kufanikisha kwanza maslahi ya wachache.

Watanzania sio wajinga mnavyofikiria, ushirikiano wapinzani mliofanya na ccm hadi kufanikisha kumuondoa Lowasa kwenye nafasi ya uwaziri mkuu uliwajengea heshma kubwa na imani kwa jamii, na maana halisi ya upinzani ilidhihirika! Ila sasa, usaliti mlioufanya kwa wananchi kumpa huyohuyo jamaa nafasi ya kugombea urais haujasahaulika, hautosahaulika na hamjasamehewa
Wananchi wanajiuliza, kama Lowasa aliweza kuwanunua chadema wakageuka wasaliti kwao si taifa lolote lenye fedha linaweza kuitumia chadema kuwanunua watanzania?

Mkiweza kupata wataalamu wa siasa na uongozi nje ya vyama (wasiokua na maslahi binafsi) watakaoweza kufanya utafiti wa kueleweka jinsi ya kuimarisha chama na kujenga imani kwa wananchi. Mkamwacha huyo mtaalamu awatengenezee mfumo na mbinu za kujenga vyama
Mkamwacha awasimamie nyie viongozi ili kuhakikisha mnatimiza kile anachowaambia kwa muda uliopangwa mtainuka tena na kuwatumikia wananchi

Vinginevyo CCM itaendelea kuwa chama pekee chenye nguvu Tanzania na wapinzani mtaendelea kulalamika kwa tatizo lilelile miaka30

Na sisi kina mama D tutaendelea kusema KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan🙏


Kama ni kweli kwanini CCM wanaiba kura? Msijidanganya upinzani hautakufa Tanzania kama Chadema pekee wana wanachama wachangiaji 7M! ina maana chama chao kinakuwa
 
Kwa kweli Ikulu watapasikia tu. Kama watu wa tume ni akina Jecha, Kaijage na Mahera. Na wachapisha makaratasi ya kura ni Jamana. Na IGP ni Zirro. Na Msajili ni Mutungi wa maji. Na wasimamizi wa uchaguzi ni DEDs. Watapita wapi hapo kwenda Ikulu? Hivi wanahitaji kupigiwa kura na watu wangapi ili kuzishinda kura zile za kwenye vikapu? CCM oyeeee!
Kama ni kweli kwanini CCM wanaiba kura? Msijidanganya upinzani hautakufa Tanzania kama Chadema pekee wana wanachama wachangiaji 7M! ina maana chama chao kinakuwa

Haiwezekani chama cha upinzani chenye malengo ya kushika dola kiwe kinalalamikia mambo yale yale kila siku kwa miaka 30.

Hivi hawa watu wa kulialia na kudeka kila siku wanaweza kuendesha nchi kweli!?

Yaani miaka 30 mnashindwa kupata suluhu ya matatizo mnayoyajua mtaweza kweli kutatua matatizo ya taifa hili!?

Einstein aliwahi kusema "insanity is doing the same thing over and over and expecting a different result"
Viongozi Chadema miaka30 kazi imewashinda sasa mnachotakiwa ni kuacha ubinafsi wenu halafu kukaa chini na kutafuta suluhu au kuachana na siasa kabisa

Mtaji namba moja wa wanasiasa ni wananchi, na Ubinafsi wa viongozi wa upinzani ndio umewafanya washindwe kufika wanakopatamani.

Kama mmeshindwa kabisa na bado mnatamani kufika gaweni kazi ya kutengeneza chama kwa wanaoweza ili wawasaidie kabla hamjasahaulika
 
Haiwezekani chama cha upinzani chenye malengo ya kushika dola kiwe kinalalamikia mambo yale yale kila siku kwa miaka 30.

Hivi hawa watu wa kulialia na kudeka kila siku wanaweza kuendesha nchi kweli!?

Yaani miaka 30 mnashindwa kupata suluhu ya matatizo mnayoyajua mtaweza kweli kutatua matatizo ya taifa hili!?

Einstein aliwahi kusema "insanity is doing the same thing over and over and expecting a different result"
Viongozi Chadema miaka30 kazi imewashinda sasa mnachotakiwa ni kuacha ubinafsi wenu halafu kukaa chini na kutafuta suluhu au kuachana na siasa kabisa

Mtaji namba moja wa wanasiasa ni wananchi, na Ubinafsi wa viongozi wa upinzani ndio umewafanya washindwe kufika wanakopatamani.

Kama mmeshindwa kabisa na bado mnatamani kufika gaweni kazi ya kutengeneza chama kwa wanaoweza ili wawasaidie kabla hamjasahaulika

Endelea kuota hata Raisi wa Misri, Sudan, Idd Amin na Zambia walikuwa wanafikiria wapo juu ya sheria na wana control kila kitu. Mungu anaweza kubadilisha mambo siku yeyote jiulize Magu alikuwa wanamwongelea muhula wa tatu kumbe hata wapili kafanya miezi michache tu ungeuliza watu wakati ule alikuwa kama Mungu ! . Huwezi kujua kesho kitatokea nini acheni kulewa ujinga
 
CHADEMA na Vyama vingine vya upinzani wakati umefika sasa mkae chini na kujitafakari!

Tena mjitafakari na kuwa wakweli nafsini mwenu kwamba siasa mnazofanya ni kwa maslahi ya familia zenu huku vyama vyenu vikiwa havina hata misingi imara kwa jamii

Hakuna mtanzania anayekataa au asiyejua umuhimu wa upinzani katika taifa lakini hakuna mtanzania anayeweza kukubali upinzani usio na dira wala maslahi kwa wananchi walio wengi.

Vyama pinzani Tanzania vimekua vyama vya watu wachache ambao ni viongozi wa vyama hivyo. Vyama pinzani havina msingi imara sababu nguvu yao kubwa iko kwa viongozi huku wananchi wakiwa hajui wala kuona maslahi yoyote toka kwa vyama hivyo zaidi ya wao kutafutwa tuu wakati wa kupiga kura.

CCM wanaielewa jamii ya watanzania kwa uzuri sana ndio maana upinzani mnaishia kupumilia mashine kila uchaguzi.

Na kinachozidi kuwapoteza ni kwamba viongozi wote wa vyama vya upinzani sio wakweli kwa vyama vyenu wala kwenu wenyewe. Mmeshindwa kuwa wakweli sababu hamuangalii nyie na vyama vyenu vinawafanyia nini watanzania na nchi yetu kwa ujumla Ila mnaangalia tuu vyama vinawawezeshaje nyie binafsi na familia zenu kuishi maisha mazuri.
Watanzania wameshawaelewa na wanawapuuza sababu ubinafsi wenu umewafanya mjifikirie wenyewe na kusahau kwamba wananchi ndio mtaji wenu

Upinzani unapogeuka kuwa sehemu ya kujipatia rizki lazima malengo ya chama yasahaulike ili kufanikisha kwanza maslahi ya wachache.

Watanzania sio wajinga mnavyofikiria, ushirikiano wapinzani mliofanya na ccm hadi kufanikisha kumuondoa Lowasa kwenye nafasi ya uwaziri mkuu uliwajengea heshma kubwa na imani kwa jamii, na maana halisi ya upinzani ilidhihirika! Ila sasa, usaliti mlioufanya kwa wananchi kumpa huyohuyo jamaa nafasi ya kugombea urais haujasahaulika, hautosahaulika na hamjasamehewa
Wananchi wanajiuliza, kama Lowasa aliweza kuwanunua chadema wakageuka wasaliti kwao si taifa lolote lenye fedha linaweza kuitumia chadema kuwanunua watanzania?

Mkiweza kupata wataalamu wa siasa na uongozi nje ya vyama (wasiokua na maslahi binafsi) watakaoweza kufanya utafiti wa kueleweka jinsi ya kuimarisha chama na kujenga imani kwa wananchi. Mkamwacha huyo mtaalamu awatengenezee mfumo na mbinu za kujenga vyama
Mkamwacha awasimamie nyie viongozi ili kuhakikisha mnatimiza kile anachowaambia kwa muda uliopangwa mtainuka tena na kuwatumikia wananchi

Vinginevyo CCM itaendelea kuwa chama pekee chenye nguvu Tanzania na wapinzani mtaendelea kulalamika kwa tatizo lilelile miaka30

Na sisi kina mama D tutaendelea kusema KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan🙏
Na Mnaojiita Chama tawala endeleeni kuupiga mwingi ....... Tazameni Zambia na kwake MJIFUNZE!
 
CHADEMA na Vyama vingine vya upinzani wakati umefika sasa mkae chini na kujitafakari!

Tena mjitafakari na kuwa wakweli nafsini mwenu kwamba siasa mnazofanya ni kwa maslahi ya familia zenu huku vyama vyenu vikiwa havina hata misingi imara kwa jamii

Hakuna mtanzania anayekataa au asiyejua umuhimu wa upinzani katika taifa lakini hakuna mtanzania anayeweza kukubali upinzani usio na dira wala maslahi kwa wananchi walio wengi.

Vyama pinzani Tanzania vimekua vyama vya watu wachache ambao ni viongozi wa vyama hivyo. Vyama pinzani havina msingi imara sababu nguvu yao kubwa iko kwa viongozi huku wananchi wakiwa hajui wala kuona maslahi yoyote toka kwa vyama hivyo zaidi ya wao kutafutwa tuu wakati wa kupiga kura.

CCM wanaielewa jamii ya watanzania kwa uzuri sana ndio maana upinzani mnaishia kupumilia mashine kila uchaguzi.

Na kinachozidi kuwapoteza ni kwamba viongozi wote wa vyama vya upinzani sio wakweli kwa vyama vyenu wala kwenu wenyewe. Mmeshindwa kuwa wakweli sababu hamuangalii nyie na vyama vyenu vinawafanyia nini watanzania na nchi yetu kwa ujumla Ila mnaangalia tuu vyama vinawawezeshaje nyie binafsi na familia zenu kuishi maisha mazuri.
Watanzania wameshawaelewa na wanawapuuza sababu ubinafsi wenu umewafanya mjifikirie wenyewe na kusahau kwamba wananchi ndio mtaji wenu

Upinzani unapogeuka kuwa sehemu ya kujipatia rizki lazima malengo ya chama yasahaulike ili kufanikisha kwanza maslahi ya wachache.

Watanzania sio wajinga mnavyofikiria, ushirikiano wapinzani mliofanya na ccm hadi kufanikisha kumuondoa Lowasa kwenye nafasi ya uwaziri mkuu uliwajengea heshma kubwa na imani kwa jamii, na maana halisi ya upinzani ilidhihirika! Ila sasa, usaliti mlioufanya kwa wananchi kumpa huyohuyo jamaa nafasi ya kugombea urais haujasahaulika, hautosahaulika na hamjasamehewa
Wananchi wanajiuliza, kama Lowasa aliweza kuwanunua chadema wakageuka wasaliti kwao si taifa lolote lenye fedha linaweza kuitumia chadema kuwanunua watanzania?

Mkiweza kupata wataalamu wa siasa na uongozi nje ya vyama (wasiokua na maslahi binafsi) watakaoweza kufanya utafiti wa kueleweka jinsi ya kuimarisha chama na kujenga imani kwa wananchi. Mkamwacha huyo mtaalamu awatengenezee mfumo na mbinu za kujenga vyama
Mkamwacha awasimamie nyie viongozi ili kuhakikisha mnatimiza kile anachowaambia kwa muda uliopangwa mtainuka tena na kuwatumikia wananchi

Vinginevyo CCM itaendelea kuwa chama pekee chenye nguvu Tanzania na wapinzani mtaendelea kulalamika kwa tatizo lilelile miaka30

Na sisi kina mama D tutaendelea kusema KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan
Ndio mwisho wa akili zenu kufikiri,
20210818_172313.jpeg
 
Endelea kuota hata Raisi wa Misri, Sudan, Idd Amin na Zambia walikuwa wanafikiria wapo juu ya sheria na wana control kila kitu. Mungu anaweza kubadilisha mambo siku yeyote jiulize Magu alikuwa wanamwongelea muhula wa tatu kumbe hata wapili kafanya miezi michache tu ungeuliza watu wakati ule alikuwa kama Mungu ! . Huwezi kujua kesho kitatokea nini acheni kulewa ujinga

Jipe moyo tuu ndugu yangu sababu vyama pinzani vya nchi yako havina vinachofanya mfanano na huko ulikotaja

Acheni kumsingizia Mungu uzembe wenu
 
Na Mnaojiita Chama tawala endeleeni kuupiga mwingi ....... Tazameni Zambia na kwake MJIFUNZE!

Unafikiri upinzani wa zambia walikua wachumia tumbo wa kutafuna ruzuku kama nyie!??
Endeleeni kujipa moyo ila msipotushawishi wananchi kura mtazisikia na maandamano mtafanya na wake na watoto zenu
 
Baada ya kuingia vyama vingi,Chama cha mapinduzi kilijimilikisha kwa njia za wizi rasilimali nyingi za nchi hii,mashamba,viwanja vya wazi,viwanja vya michezo,majengo makubwa,nyumba za serikali,shule za serikali n.k lakini pamoja na kujilimbikizia vitu vyote hakuna la maana imefanya.

Wameishia kuuza na kugawana baadhi ya nyumba,zilizo baki zipo katika hali mbaya sana,wameuza mashamba,wameuza viwanja vya wazi,na vilivyobaki vimekosa uendelezaji!! Viwanja vya michezo vimekuwa chakavu na magofu,baadhi ya majengo makubwa walioiba hawajawai kuyaendeleza yamebaki magofu mf:bukoba,Singida,Tabora nk,shule walizoiba wakazigeuza za jumuiya yao ya wazazi karibu zote wameuza kwa watu binafsi,zilizobaki hazifahi kuitwa shule ni kama mabanda ya kufungia nguruwe.

Watu hao hao ndio wanaponda na kuwaita wenzao wa upinzani ni wabinafsi,nchi ina vituko sana hii!!mwizi anapiga ukunga kujifanya yeye ndio kaibiwa!! chama limekwapua rasilimali kibao za nchi linazitumia kuingiza mabilioni ya shilingi,na bado linapokea mabilioni ya ruzuku kila mwezi,lakini hakuna chochote cha maana wanafanya kwenye chama chao kulipa tu watumishi wao ni mtihani.
watumishi wa chama chao hawapelekewi michango kwenye mifuko ya kijamii,wanaishia kulalamika kudhulumiwa haki zao,wanadhulumiana hadi wao kwa wao!!
Hizo akili wanazotumia kuendesha chama chao ndio hizo hizo wanatumia kuendesha nchi,ndio maana hata baada ya miaka zaidi ya sitini toka tupate uhuru hakuna maendeleo ya maana yamepatikana.

Maendeleo machache tunayaona ni mikopo ya benki ya dunia,nchi marafiki,na michango ya wahisani,nchi inadaiwa fedha zinazozidi mpaka rasilmali zote tulizonazo kama nchi, na bado wanaendelea kukopa kama wendawazimu,uku wakikandamiza wananchi makodi na michango ya ajabu.
Wananchi hawana pa kupumulia utafikili wako utumwani,kila kitu ni kodi tu,halafu kuna mijitu inasema CCM ni bora!!!na nchi ni tajiri tutembee kifua mbele!! na watu wanashangilia kabisa!! uku kula yao ya siku haijulikani itatoka wapi?!

Chama kinajivunia kuzalisha vijana ambao ni wamachinga na kuwaacha wakizagaa bila mpangilio na kinasema kina mipango mizuri ya kupeleka nchi mbele!

Ukweli usemwe nchi hii inatafunwa na kansa ambayo ni CCM na magenge yake,bila ccm kutoka madarakani hakuna maendeleo ya maana yatapatikana nchi hii.

Ma-ccm yalivyo na roho mbaya zaidi, hata ajira yanapeana yao kwa yao tu kupitia makada wao,leo ajira za kitaalamu wanapewa watu wasio na ujuzi,sifa wala elimu ya maana ili mradi kama ni kijana uwe mnafiki au una roho mbaya ya kikatili na unauzoefu wa kusema CCM oyee kwa sauti kubwa!!

Kama ni binti uwe na makalio makubwa na usiwe na roho mbaya kuwahudumia kimwili viongozi wenye vitambi wa chama waliojilimbikizia mali ndani ya nchi na uko ughaibuni.

Wewe kama ni mtoto wa maskini utaishia kupata ajira za chini ambazo nazo hakuna kupanda madaraja ya ajira,hakuna nyongeza ya mishahara,na ukistaafu mafao utayachukua kwa mafungu na kwa mbinde sana, utafikili wanakupa kwa hisani yao wakati umevuja jasho.

Yaani hadi mafao kukupa wametunga sheria za kiroho mbaya ili mradi tu mtu ateseke!! CCM sio chama ni mtandao na genge la kimafia la kutafuna nchi.
 
Tofauti iko kwenye vyama tawala siyo vyama vya upinzani. Unafikiri kule Zambia angekuwa mtu ambaye hana hofu ya Mungu kama Jecha, Mahera na Kaijage, wangemtangaza HH kuwa kashinda? Na Lungu naye angechapisha makaratasi ya kujiwekea tiki nyumbani kama Magufuli, HH angekuwa Rais kwa njia gani? Unajua kabisa ushetani unaoendelea nchi hii lakini umejitoa ufahamu. Umesimama na shetani na unafurahia mateso ya wenzio. You must be a sadist!!
Jipe moyo tuu ndugu yangu sababu vyama pinzani vya nchi yako havina vinachofanya mfanano na huko ulikotaja

Acheni kumsingizia Mungu uzembe wenu
 
Tofauti iko kwenye vyama tawala siyo vyama vya upinzani. Unafikiri kule Zambia angekuwa mtu ambaye hana hofu ya Mungu kama Jecha, Mahera na Kaijage, wangemtangaza HH kuwa kashinda? Na Lungu naye angechapisha makaratasi ya kujiwekea tiki nyumbani kama Magufuli, HH angekuwa Rais kwa njia gani? Unajua kabisa ushetani unaoendelea nchi hii lakini umejitoa ufahamu. Umesimama na shetani na unafurahia mateso ya wenzio. You must be a sadist!!

Tofauti sio vyama ni strategies. Viongozi wa wapinzani wa nchi hii wanakula ruzuku na familia zao badala ya kuimarisha vyama.

Kama hamtakua waaminifu na wenye dhamira ya dhati ya kujenga nchi hata mkawachukue NEC ya zambia mtashindwa tuuu

Acheni harakati za mitandaoni kaeni chini muimarishe vyama na mjenge nchi
 
Back
Top Bottom