Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Sisi Yanga kuna kitu tulifanywa kwa kweli. Ni mashabiki wa kipumbavu sana. Yaani week nzima tunahangaika na Manara na Mo.
Hatujiandai Wachezaji wetu wapo muda wote busy na mitandao. Insta na twitter kumuunga mkono Manara na kumsema Mo. Tunatolewa mapema mashindano ambayo yangetupa uzoefu wa mashindano ya kimataifa.
Imeniumiza sana. Huu ni wendawazimu. Tulipaswa kujikita kwenye mambo ya maana ya team yetu. Simba wanatuchuuza sana..sasa tunatolewa kwa aibu kwenye mashindano mapema sana. Halafu tunaji biizisha na manara.
This time Simba wametuweza sana. Tunahangaika na mambo ya kipuuzi sana. Tunaacha ku deal na mambo yetu. Inaumiza. Mi naona kama kuna kitu tulifanywa tulipokuwa wadogo
Hatujiandai Wachezaji wetu wapo muda wote busy na mitandao. Insta na twitter kumuunga mkono Manara na kumsema Mo. Tunatolewa mapema mashindano ambayo yangetupa uzoefu wa mashindano ya kimataifa.
Imeniumiza sana. Huu ni wendawazimu. Tulipaswa kujikita kwenye mambo ya maana ya team yetu. Simba wanatuchuuza sana..sasa tunatolewa kwa aibu kwenye mashindano mapema sana. Halafu tunaji biizisha na manara.
This time Simba wametuweza sana. Tunahangaika na mambo ya kipuuzi sana. Tunaacha ku deal na mambo yetu. Inaumiza. Mi naona kama kuna kitu tulifanywa tulipokuwa wadogo