#COVID19 70% ya wasiotaka chanjo USA wako tayari kuacha ama kufukuzwa kazi kuliko kuchanja

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,321
Marekani imechanja zaidi ya 50% ya watu wake ambao wanastahili kuchanjwa lakini karibu watu milioni 100 wenye sifa ya kuchanja wamegoma kuchanja ama hawajachanja hadi sasa.

Kutokana na covid, makampuni mengi ama taasisi nyingi zinahimiza ama kulazimisha wafanyakazi wao kuchanjwa na mengine yameenda mbali zaidi kutangaza kama hujachanja unapoteza kazi, no jab no job.

Utafiti umefanyika Marekani unasema 70% ya wasiotaka chanjo wako tayari kuacha kazi kuliko kuchwanjwa kwa lazima. Wengi wanasema hawatachanja kwa sababu zao binafsi na wengine kwa sababu za kidini lakini iwapo watalazimishwa basi bora kuacha kazi kuliko kuchanjwa.

 
Narudia tena chunguza vyanzo vyako vya habari kabla ya kuweka habari hiyo hapa. Baadhi ya waajiri WAMESHASWAGA Wafanyakazi waliokataa chanjo na baadhi wamefungua kesi. Na kwa kuwa maambukizi yanazidi kuongezeka basi idadi ya waajiri ambao chanjo kwao itakuwa mandatory itakuwa kubwa. Na huu uchumi wa COVID-19 nani yuko tayari kupoteza ajira?
Hata CNN ni fake news mkuu.
 
Narudia tena chunguza vyanzo vyako vya habari kabla ya kuweka habari hiyo hapa. Baadhi ya waajiri WAMESHASWAGA Wafanyakazi waliokataa chanjo na baadhi wamefungua kesi. Na kwa kuwa maambukizi yanazidi kuongezeka basi idadi ya waajiri ambao chanjo kwao itakuwa mandatory itakuwa kubwa. Na huu uchumi wa COVID-19 nani yuko tayari kupoteza ajira?
 
Back
Top Bottom